< 1 Wakorintho 10 >

1 Nataka ninyi mjue kaka na dada zangu, ya kuwa baba zetu walikuwa chini ya wingu na wote walipita katika bahari.
Na fi dunu! Ninia aowalali dunu ilia Mousesema fa: no bobogei, amo ilia hou bu dawa: ma. Ilia huluane mu mobi ganumu amoga ouligili, hahawane Maga: me Hano Wayabo degei dagoi.
2 Wote walibatizwa wawe wa Musa ndani ya wingu na ndani ya bahari,
Mu mobi ganumu amola hano wayabo bagade amo ganodini ilia huluane da fedege agoane Mousesema fa: no bobogema: ne, ba: bodaise hamoi dagoi.
3 na wote walikula chakula kile kile cha roho.
Ilia huluane defele a: silibu agi mai dagoi.
4 Wote walikunywa kinywaji kile kile cha roho. Maana walikunywa kutoka katika mwamba wa roho uliowafuata, na mwamba ule ulikuwa ni Kristo.
Ilia huluane defele a: silibu hano mai dagoi. Ilia a: silibu igi amo da ili sigi asi, amoga hano mai. Amo igi da Yesu Gelesu Hisu.
5 Lakini Mungu hakupendezwa sana na wengi wao, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
Be Gode da ilia hou hahawane hame ba: i. Ilia bogoi da: i hodo dunu hame esalebe hafoga: i sogega afagogoi dagoi ba: i.
6 Basi mambo haya yote yalikuwa mifano kwetu, ili sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya kama na wao walivyofanya.
7 Msiwe waabudu sanamu, kama wengine wao walivyokuwa. Hii ni kama ilivyoandikwa, “Watu walikaa chini wakila na kunywa, na waliinuka kucheza kwa tamaa za mapenzi.”
Amo hou da ninima sisasu olelemusa: doaga: i. Ninia da ilia hou defele wadela: i hou amoma hanai hou amola loboga hamoi ‘gode’ liligi amoma sia: ne gadosu hou, amo ninia mae dawa: ma: ne, ilia hou da ninima sisasu olelesu liligi. Gode Sia: da agoane dedei diala, “Dunu huluane da lolo manusa: fi galu. Be asili, ilia adini bagade mai amola wadela: i uda lasu hou bagade hamoi.”
8 Tusifanye uasherati kama wengi wao walivyofanya. Wakafa siku moja watu ishirini na tatu elfu kwa sababu hiyo.
Ninia da ilia hou defele, wadela: i uda lasu hou hamomu da defea hame. Eso afadafa ganodini, amo dunu 23,000 agoane dafane bogoi.
9 Wala tusimjaribu Kristo, kama wengi wao walivyofanya na wakaharibiwa kwa nyoka.
Ninia ili mogili defele, Hina Godema adoba: su hou hamomu da defea hame. Agoane hamobeba: le, ilia sania amoga gasomaiba: le, bagohame bogoi.
10 Na pia msinung'unike, kama wengi wao walivyonung'unika na kuharibiwa na malaika wa mauti.
Ninia ili mogili defele egane sia: mu da defea hame. Ilia da agoane hamobeba: le, Bogosu A: igele amoga fabeba: le, bogogia: i.
11 Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn g165)
Amo liligi huluane da eno dunu dawa: ma: ne, ilima doaga: i dagoi. Nini wali esalebe dunuma sisasu olelema: ne, amo sia: da dedei diala. Bai soge wadela: mu eso da gadenene, ninia dawa: (aiōn g165)
12 Kwa hiyo kila ajionaye amesimama awe makini asije akaanguka.
Nowa dunu da gasawane lela hi dawa: sea, e da dafasa: besa: le bagade dawa: mu da defea.
13 Hakuna jaribu lililowapata ninyi lisilo kawaida ya wanadamu. Ila Mungu ni mwaminifu. Hatawaacha mjaribiwe kupita uwezo wenu. Pamoja na jaribu yeye atawapa mlango wa kutokea, ili mweze kustahimili.
Dafama: ne: su hou da dilima doaga: sea, mae beda: ma. Amo hou da dunu huluane ilima defele doaga: sa. Be Gode Ea hou da dafawane. Dilima adoba: su hou da dilia gasa defele amo baligimusa: , Gode da logo hame fodomu. Amasea, amo hou dilima mae osa: la heda: ma: ne, Gode da hobeale ahoasu logo dilima olelemu.
14 Kwa hiyo, wapendwa wangu, ikimbieni ibada ya sanamu.
Amaiba: le, na fi dunu! Loboga hamoi ‘gode’ ilima nodone sia: ne gadosu hou maedafa hamoma!
15 Nasema nanyi kama watu wenye akili, ili muamue juu ya ninalosema.
Dilia da dawa: su dunu. Amaiba: le, na dilima sia: sa. Dilisu na sia: nabalu, dilia dogo ganodini fofada: nanu, noga: le dawa: digima.
16 Kikombe cha baraka tubarikicho, si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
Ninia da Hina Gode Ea lolo nasea, faigelei amoga waini nasea ninia Godema nodone sia: sa. Amo waini nasea, ninia fedege agoane Yesu Gelesuma gilisili Ea maga: me sa: i dawa: sa. Agi ninia fifili nasea, ninia gilisili Yesu Gelesu Ea da: i hodo ninima fifi dawa: le naha.
17 Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja. Sisi sote twapokea mkate mmoja kwa pamoja.
Agi ga: gi da liligi afadafa fawane. Amaiba: le, ninia da hisu hisu bagohame, be agi ga: gi afadafa amoga nabeba: le, da: i hodo afadafa hamosa.
18 Watazameni watu wa Israeli: Je! Wale wote walao dhabihu si washiriki katika madhabahu?
Isala: ili dunu ilia hou dawa: ma. Ilia gobele salasu liligi nabeba: le, gilisili Godema gobele salasu hou oloda da: iya hamosa.
19 Nasema nini basi? Ya kuwa sanamu ni kitu? Au ya kuwa chakula kilichotolewa sadaka kwa sanamu ni kitu?
Amaiba: le, loboga hamoi ‘gode’ liligi amola ha: i manu liligi ilima i, amo da liligi bagade na da sia: sala: ?
20 Lakini nasema juu ya vitu vile wavitoavyo sadaka watu wapagani wa Mataifa, ya kuwa wanatoa vitu hivi kwa mapepo na sio kwa Mungu. Nami sitaki ninyi kushirikiana na mapepo!
Hame mabu! Be na da amane sia: sa, “Adi liligi hame lalegagui dunu ilia oloda da: iya gobele sala, amo liligi da Godema mae iawane, Fio liligi ilima gobele sala. Amola dilia da Fio liligi ilima gilisili hawa: hamomu na higa: i.
21 Hamwezi kunywea kikombe cha Bwana na kikombe cha mapepo. Hamwezi kuwa na ushirika katika meza ya Bwana na katika meza ya mapepo.
Dilia da Gode Ea faigelei amola Fio a: silibu ea faigelei amo elega gilisili manu da hamedei. Dilia gilisili Gode Ea lolo nasu amola wadela: i a: silibu ilia lolo nasu manu da hamedei.
22 Au twamtia Bwana wivu? Tuna nguvu zaidi yake?
Dilia da Gode mudama: ne hamomusa: dawa: sala: ? Ninia gasa da Gode Ea gasa baligi dagoi, ninia dawa: sala: ?
23 “Vitu vyote ni halali,” lakini si vyote vifaavyo. “Vitu vyote ni halali,” lakini si vyote viwajengavyo watu.
Dunu da amane sia: sa, ‘Ninia liligi huluane hamomu da defea! Sema hame!’ Dafawane! Be liligi eno da noga: i amola eno da noga: i hame. Hou huluane hamomu da defea. Sema hame! Be hou mogili da ninia hou hame fidisa.
24 Hakuna hata mmoja angetafuta mazuri yake tu. Badala yake, kila mmoja angetafuta mazuri ya mwenzake.
Dunu huluane ilia da ilisu hou fidima: ne mae dawa: le, eno dunu ilia hou fidimu da defea.
25 Mnaweza kula kila kitu kiuzwacho sokoni bila kuuliza -uliza kwa ajili ya dhamiri.
Ha: i manu huluane bidi lama: ne diasuga bidi lai liligi, amo huluane dilia asigi dawa: su ganodini mae adole ba: le, manu da defea.
26 Maana “dunia ni mali ya Bwana, na vyote viijazavyo.”
Bai Gode Sia: amane dedei diala, ‘Osobo bagadega, liligi huluane amo ganodini diala da Gode Ea:’ Amaiba: le, mae dawa: le moma!
27 Na mtu asiyeamini akiwaalika kula, na mnataka kwenda, kuleni chochote awapacho pasipo kuuliza maswali ya dhamiri.
Gode Ea hou hame lalegagui dunu da dilima lolo manusa: misa: ne sia: sea, defea, asili, ha: i manu e dilima iabe liligi huluane, dilia asigi dawa: su dawa: beba: le, ema ha: i manu ea hou mae adole ba: ma.
28 Lakini mtu akiwaambia, “Chakula hiki kimetokana na sadaka ya wapagani,” msile. Hii ni kwa ajili yake aliyewaambia, na kwa ajili ya dhamiri.
Be dunu eno da amane sia: sea, “Amo ha: i manu da loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima i dagoi!” defea, dilima adosu dunu amo ea hou dawa: beba: le amola dilisu asigi dawa: su dawa: beba: le, amo ha: i manu mae moma.
29 Nami simaanishi dhamiri zenu, bali dhamiri ya yule mwingine. Maana kwanini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?
Amo da dilia asigi dawa: su ganodini beda: iba: le hame, be eno dunu ea asigi dawa: su dawa: beba: le. Be eno dunu da amane sia: mu, “Abuliba: le eno dunu ea asigi dawa: su da na halegale lalalebe logo hedofama: bela: ?
30 Ikiwa mimi natumia chakula kwa shukrani, kwanini nitukanwe kwa kitu ambacho nimeshukuru kwacho?
Na da ha: i manuba: le Godema nodone sia: ne gadosa. Amaiba: le abuliba: le na amo ha: i manuba: le, eno dunu da nama lasogole sia: sala: ?”
31 Kwa hiyo, chochote mnachokula au kunywa, au chochote mfanyacho, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
Defea! Dilia adi hou hamosea, ha: i manu o hano manu, hou huluane Gode Ea hahawane dogolegele ba: ma: ne hamoma.
32 Msiwakoseshe Wayahudi au Wayunani, au kanisa la Mungu.
Dilia hou hamoiba: le, Yu dunu, Dienadaile dunu amola Gode Ea fa: no bobogesu fi dunu huluane ilia da se hame nabimu da defea. Amaiba: le, agoane esaloma!
33 Jaribuni kama mimi ninavyojaribu kuwapendeza watu wote kwa mambo yote. Sitafuti faida yangu mwenyewe, bali ya wengi. Nami nafanya hivi ili wapate kuokolewa.
Dilia na hou defele hamoma! Na da hou huluane dunu huluane hahawane dogolegele ba: ma: ne hamosa. Na da na hou fidima: ne mae dawa: le, be dunu huluane ilia gaga: su hou ba: ma: ne amola ilia hou fidima: ne, na da hawa: hamosa.

< 1 Wakorintho 10 >