< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoch, Methusalah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Sena, Ham, Japhet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Japhets barn äro desse: Gomer, Magog, Madai, Javan, Thubal, Mesech, Thiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Men Gomers barn äro: Ascenas, Riphath, Thogarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Javans barn äro: Elisa, Tharsisa, Chittim, Dodam, Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Hams barn äro: Chus, Mizraim, Phut, Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Men Chus barn äro desse: Seda, Havila, Sabtha, Raema, Sabtecha, Raema barn äro: Seba och Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Men Chus födde Nimrod. Han begynte vara väldig på jordene.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim födde Ludim, Anamim, Lehabim, Naphthuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Patrusim, Casluhim; af hvilkom utkomne äro de Philistim och Caphthorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Men Canaan födde Zidon, sin första son, och Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
Jebusi, Emori, Girgasi,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
Hivi, Arki, Sini,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
Arvadi, Zemari och Hamathi.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Sems barn äro desse: Elam, Assur, Arphachsad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether och Maseeh.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Men Arphachsad födde Salah; Salah födde Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Men Eber vordo födde två söner; den ene het Peleg, derföre, att i hans tid vardt landet deladt; och hans broder het Jaketan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jaketan födde Almodad, Saleph, Hazarmaveth, Jarah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikela,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Seba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ophir, Havila och Jobab. Desse äro alle Jaketans barn.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arphachsad, Salah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Regu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Tharah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, det är Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Men Abrahams barn äro: Isaac och Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Detta är deras ätter: den förste Ismaels son Nebajoth; Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Massa, Hadad, Thema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jethur, Naphis, Kedma. Desse äro Ismaels barn.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Men Keturas barn, Abrahams frillos: hon födde Simran, Jaksan, Medan, Midian, Jisbak, Suah. Och Jaksans barn äro: Seba och Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Och Midians barn äro: Epha, Epher, Hanoch, Abida, Eldaa. Desse äro alle Keturas barn.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham födde Isaac. Isaacs barn äro: Esau och Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Esau barn äro: Eliphas, Reguel, Jeus, Jaelam, Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Eliphas barn äro: Teman, Omar, Zephi, Gatham, Kenas, Thimna, Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Reguels barn äro: Nahath, Serah, Samma och Missa.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Seirs barn äro: Lotan, Sobal, Zibeon, Ana, Dison, Ezer, Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Lotans barn äro: Hori, Homam; och Thimna var Lotans syster.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Sobals barn äro: Aljan, Manahat, Ebal, Zephi, Onam. Zibeons barn: Aja och Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Ana barn äro: Dison. Disons barn äro: Hamran, Esban, Jithran, Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Ezers barn äro: Bilhan, Saavan, Jaachan. Disans barn äro: Uz och Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Desse äro de Konungar, som regerade uti Edoms land, förra än någor Konung regerade ibland Israels barn: Bela, Geors son; och hans stad het Dinhaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Och då Bela blef död, vardt Konung i hans stad Jobab, Serahs son af Bozra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Då Jobab blef död, vardt Konung i hans stad Husam, utaf de Themaniters land.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Då Husam blef död, vardt Konung i hans stad Hadad, Badads son, hvilken slog de Midianiter på de Moabiters mark; och hans stad het Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Då Hadad blef död, vardt Konung i hans stad Samla af Masreka.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Då Samla blef död, vardt Konung i hans stad Saul af Rehoboth vid älfvena.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Då Saul blef död, vardt Konung i hans stad Baalhanan, Achbors son.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Då Baalhanan blef död, vardt Konung i hans stad Hadad; och hans stad het Pagi; och hans hustru het Mehetabeel, Matreds dotter, och Mesahabs dotter.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Då Hadad blef död, vordo Förstar i Edom: den Försten Thimna, den Försten Alja, den Försten Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Den Försten Aholibama, den Försten Ela, den Försten Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Den Försten Kenas, den Försten Theman, den Försten Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Den Försten Magdiel, den Försten Iram. Desse äro de Förstar i Edom.

< 1 Nyakati 1 >