< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adamu, Seti, Enoshi,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenani, Maalalele, Yeredi,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoki, Metusalemi, Lemeki,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noa, Semi, Cham mpe Jafeti.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Bana mibali ya Jafeti: Gomeri, Magogi, Madayi, Yavani, Tubali, Mesheki mpe Tirasi.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Bana mibali ya Gomeri: Ashikenazi, Difati mpe Togarima.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Bana mibali ya Yavani: Elisha, Tarsisi, Kitimi mpe Dodanimi.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Bana mibali ya Cham: Kushi, Mitsirayimi, Puti mpe Kanana.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Bana mibali ya Kushi: Seba, Avila, Sabita, Raema mpe Sabiteka. Bana mibali ya Raema: Sheba mpe Dedani.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Kushi azalaki tata ya Nimirodi oyo azalaki elombe ya liboso ya bitumba kati na mokili.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mitsirayimi azalaki koko ya bato ya Ludi, ya Anami, ya Leabi, ya Nafitu,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
ya Patrusi, ya Kasilu (oyo babimisa bato ya Filisitia) mpe ya Kereti.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Kanana azalaki tata ya Sidoni, mwana na ye ya liboso, ya Eti,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
ya Yebusi, ya Amori, ya Girigazi,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
ya Evi, ya Ariki, ya Sini,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
ya Arivadi, ya Tsemari mpe ya Amati.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Bana mibali ya Semi: Elami, Asuri, Aripakishadi, Ludi mpe Arami. Bana mibali ya Arami: Utsi, Uli, Geteri mpe Mesheki.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Aripakishadi abotaki Shela, mpe Shela abotaki Eberi.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Eberi abotaki bana mibali mibale; moko, kombo na ye ezalaki « Pelegi » oyo elingi koloba: Kokabola; pamba te ezalaki na tango na ye nde bakabolaki mabele. Kombo ya mwana mosusu ezalaki « Yokitani. »
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Yokitani abotaki Alimodadi, Shelefi, Atsarimaveti, Yera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Adorami, Uzali, Dikila,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Obali, Abimaeli, Saba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ofiri, Avila mpe Yobabi. Bango nyonso wana bazalaki bakitani ya Yokitani.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Semi, Aripakishadi, Shela,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eberi, Pelegi, Rewu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serugi, Naori, Tera,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
mpe Abrami oyo azali Abrayami.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Bana mibali ya Abrayami: Izaki mpe Isimaeli.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Tala bakitani na bango: Nebayoti, mwana mobali ya liboso ya Isimaeli; Kedari, Adibeli, Mibisami,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishima, Duma, Masa, Adadi, Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Yeturi, Nafishi mpe Kedima. Bango nde bazalaki bana mibali ya Isimaeli.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Bana mibali oyo Abrayami abotaki na Ketura, makangu na ye: Zimirani, Yokishani, Medani, Madiani, Ishibaki mpe Shuwa. Bana mibali ya Yokishani: Saba mpe Dedani.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Bana mibali ya Madiani: Efa, Eferi, Enoki, Abida mpe Elida. Bango nyonso wana bazalaki bakitani ya Ketura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abrayami azalaki tata ya Izaki. Bana mibali ya Izaki: Ezawu mpe Isalaele.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Bana mibali ya Ezawu: Elifazi, Reweli, Yewushi, Yaelami mpe Kora.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Bana mibali ya Elifazi: Temani, Omari, Tsefo, Gaetami, Kenazi, Timina mpe Amaleki.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Bana mibali ya Reweli: Naati, Zera, Shama mpe Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Bana mibali ya Seiri: Lotani, Shobali, Tsibeoni, Ana, Dishoni, Etseri mpe Dishani.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Bana mibali ya Lotani: Ori mpe Omani. Timina azalaki ndeko mwasi ya Lotani.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Bana mibali ya Shobali: Alivani, Manaati, Ebali, Shefo mpe Onami. Bana mibali ya Tsibeoni: Aya mpe Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Mwana mobali ya Ana: Dishoni. Bana mibali ya Dishoni: Emidani, Eshibani, Yitirani mpe Kerani.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Bana mibali ya Etseri: Bilani, Zavani mpe Yaakani. Bana mibali ya Dishani: Utsi mpe Arani.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Tala bakonzi oyo bakambaki Edomi liboso ete Isalaele ekoma kokambama na mokonzi: Bela, mwana mobali ya Beori, oyo kombo ya engumba na ye ezalaki « Dinaba. »
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Tango Bela akufaki, Yobabi, mwana mobali ya Zera, moto ya mokili ya Botsira, akitanaki na ye na bokonzi.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Tango Yobabi akufaki, Ushami, moto ya mokili ya Temani, akitanaki na ye na bokonzi.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Tango Ushami akufaki, Adadi, mwana mobali ya Bedadi, akitanaki na ye na bokonzi. Alongaki bato ya Madiani na mokili ya bato ya Moabi. Engumba na ye ezalaki Aviti.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Tango Adadi akufaki, Samila, moto ya engumba Masireka, akitanaki na ye na bokonzi.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Tango Samila akufaki, Saulo, moto ya engumba Reoboti, engumba oyo etongama pembeni ya ebale, akitanaki na ye na bokonzi.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Tango Saulo akufaki, Bala-Anani, mwana mobali ya Akibori, akitanaki na ye na bokonzi.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Tango Bala-Anani akufaki, Adadi akitanaki na ye na bokonzi. Engumba na ye ezalaki « Pawu, » mpe kombo ya mwasi na ye ezalaki « Meetabeli. » Meetabeli azalaki mwana mwasi ya Matiredi mpe koko ya Mezaabi.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Adadi mpe akufaki. Tala bakombo ya bakambi ya Edomi: Timina, Aliva, Yeteti,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Olibama, Ela, Pinoni,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Kenazi, Temani, Mibitsari,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Magidieli mpe Irami. Bango nde bazalaki bakonzi ya Edomi.

< 1 Nyakati 1 >