< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Set, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Yared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henokh, Metusalah, Lamekh,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Nuh, Sem, Ham dan Yafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Keturunan Yafet ialah Gomer, Magog, Madai, Yawan, Tubal, Mesekh dan Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Keturunan Gomer ialah Askenas, Difat dan Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Keturunan Yawan ialah Elisa, Tarsis, orang Kitim dan orang Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Keturunan Ham ialah Kush, Misraim, Put dan Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Keturunan Kush ialah Seba, Hawila, Sabta, Raema dan Sabtekha; keturunan Raema ialah Syeba dan Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Kush memperanakkan Nimrod; dialah orang yang mula-mula sekali berkuasa di bumi.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Misraim memperanakkan orang Ludim, orang Anamim, orang Lehabim, orang Naftuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
orang Patrusim, orang Kasluhim--dari mereka inilah berasal orang Filistin--dan orang Kaftorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Kanaan memperanakkan Sidon, anak sulungnya dan Het,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
serta orang Yebusi, orang Amori, orang Girgasi,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
orang Hewi, orang Arki, orang Sini,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
orang Arwadi, orang Semari dan orang Hamati.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Keturunan Sem ialah Elam, Asyur, Arpakhsad, Lud, Aram, Us, Hul, Geter dan Mesekh.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arpakhsad memperanakkan Selah, dan Selah memperanakkan Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Bagi Eber lahir dua anak laki-laki; nama yang seorang ialah Peleg, sebab dalam zamannya penduduk bumi terbagi, dan nama adiknya ialah Yoktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Yoktan memperanakkan Almodad, Selef, Hazar-Mawet, Yerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Syeba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ofir, Hawila dan Yobab; itulah semuanya anak-anak Yoktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arpakhsad, Selah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Rehu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, itulah Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Anak-anak Abraham ialah Ishak dan Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Inilah keturunan mereka: anak sulung Ismael ialah Nebayot, lalu Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misyma, Duma, Masa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Yetur, Nafish dan Kedma; mereka itulah anak-anak Ismael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Keturunan Ketura, gundik Abraham: perempuan itu melahirkan Zimran, Yoksan, Medan, Midian, Isybak dan Suah. Anak-anak Yoksan ialah Syeba dan Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Anak-anak Midian ialah: Efa, Efer, Hanokh, Abida dan Eldaa. Itulah semuanya keturunan Ketura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham memperanakkan Ishak. Anak-anak Ishak ialah Esau dan Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Anak-anak Esau ialah Elifas, Rehuel, Yeush, Yaelam dan Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Anak-anak Elifas ialah Teman, Omar, Zefi, Gaetam, Kenas, Timna dan Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Anak-anak Rehuel ialah Nahat, Zerah, Syama dan Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Anak-anak Seir ialah Lotan, Syobal, Zibeon, Ana, Disyon, Ezer dan Disyan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Anak-anak Lotan ialah Hori dan Homam; adik perempuan Lotan ialah Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Anak-anak Syobal ialah Alyan, Manahat, Ebal, Syefi dan Onam; anak-anak Zibeon ialah Aya dan Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Keturunan Ana ialah Disyon; anak-anak Disyon ialah Hamran, Esyban, Yitran dan Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Anak-anak Ezer ialah Bilhan, Zaawan dan Yaakan. Anak-anak Disyan ialah Us dan Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Inilah raja-raja yang memerintah di tanah Edom, sebelum seorang raja dari orang Israel memerintah: Bela bin Beor, dan kotanya bernama Dinhaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Setelah Bela mati, Yobab bin Zerah, dari Bozra, menjadi raja menggantikan dia.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Setelah Yobab mati, Husyam, dari negeri orang Teman, menjadi raja menggantikan dia.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Setelah Husyam mati, Hadad bin Bedad menjadi raja menggantikan dia; dialah yang memukul kalah orang Midian di daerah Moab, dan kotanya bernama Awit.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Setelah Hadad mati, Samla, dari Masyreka menjadi raja menggantikan dia.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Setelah Samla mati, Saul, dari Rehobot-Sungai, menjadi raja menggantikan dia.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Setelah Saul mati, Baal-Hanan bin Akhbor menjadi raja menggantikan dia.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Setelah Baal-Hanan mati, Hadad menjadi raja menggantikan dia, dan kotanya bernama Pahi dan isterinya bernama Mehetabeel binti Matred binti Mezahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Setelah Hadad mati, maka yang menjadi kepala-kepala kaum di Edom ialah kepala kaum Timna, kepala kaum Alya, kepala kaum Yetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
kepala kaum Oholibama, kepala kaum Ela, kepala kaum Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
kepala kaum Kenas, kepala kaum Teman, kepala kaum Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
kepala kaum Magdiel dan kepala kaum Iram. Itulah kepala-kepala kaum di Edom.

< 1 Nyakati 1 >