< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enosch,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoch, Metusalah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Sem, Ham und Japhet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Die Söhne Japhets: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meschech und Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Und die Söhne Gomers: Aschkenas, Diphat und Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Und die Söhne Javans: Elischa und Tarschisch, die Kittim und die Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Die Söhne Hams: Kusch und Mizraim, Put und Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Und die Söhne Kuschs: Seba, Chavila, Sabta, Rama und Sabtecha. Und die Söhne Ramas: Scheba und Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Und Kusch zeugte Nimrod; der war der erste Gewalthaber auf Erden.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Und Mizraim zeugte die Luditer, die Anamiter, die Lehabiter, die Naphtuchiter, die Patrusiter, die Kasluchiter
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
(von welchen ausgegangen sind die Philister) und die Kaphtoriter.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Und Kanaan zeugte Zidon, seinen Erstgeborenen,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
und Het und den Jebusiter, den Amoriter und den Girgasiter
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
und den Heviter, den Arkiter und den Siniter und den Arvaditer,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
den Zemariter und den Chamatiter.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Die Söhne Sems: Elam, Assur, Arpakschad, Lud, Aram, Uz, Chul, Geter und Meschech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Und Arpakschad zeugte Schelach, und Schelach zeugte Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Und Eber wurden zwei Söhne geboren; der Name des einen war Peleg, weil in seinen Tagen die Erde geteilt ward, und der Name seines Bruders war Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Und Joktan zeugte Almodad, Scheleph, Chazarmavet und Jerach,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal und Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael und Scheba, Ophir, Chavila und Jobab.
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Alle diese sind Söhne Joktans.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arpakschad, Schelach.
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Regu, Serug, Nahor,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Terach,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, das ist Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Die Söhne Abrahams: Isaak und Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Das ist ihr Geschlecht: der Erstgeborene Ismaels: Nebajot; und Kedar und Adbeel und Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mischma und Duma, Massa, Chadad und Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphisch und Kedema. Das sind die Söhne Ismaels.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Und die Söhne der Ketura, der Nebenfrau Abrahams: sie gebar Simran, Jokschan, Medan, Midian, Jischbak und Schuach. Und die Söhne Jokschans: Scheba und Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Und die Söhne Midians: Epha, Epher, Hanoch, Abida, Eldaa. Alle diese sind Söhne der Ketura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Und Abraham zeugte Isaak. Die Söhne Isaaks: Esau und Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Die Söhne Esaus: Eliphas, Reguel, Jehusch, Jalam und Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Die Söhne Eliphas: Teman und Omar, Zephi und Gatam, Kenas und Timna und Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Die Söhne Reguels: Nachat, Serach, Schamma und Missa.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Und die Söhne Seirs: Lotan, Schobal, Zibeon, Ana, Dischon, Ezer und Dischan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Und die Söhne Lotans: Chori und Homam und die Schwester Lotans, Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Die Söhne Schobals: Aljan, Manachat und Ebal, Schephi und Onam. Und die Söhne Zibeons:
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Aija und Ana. Die Söhne Anas: Dischon. Und die Söhne Dischons: Chamran, Eschban, Jitran und Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Und die Söhne Ezers: Bilhan, Saawan und Jaakan. Die Söhne Dischans: Uz und Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Und das sind die Könige, welche im Lande Edom regiert haben, bevor ein König über die Kinder Israel regierte: Bela, der Sohn Beors, und der Name seiner Stadt war Dinhaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Und Bela starb, und es ward König an seiner Statt Jobab, der Sohn Serachs, aus Bozra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Und Jobab starb, und es ward König an seiner Statt Chuscham, aus dem Lande der Temaniter.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Und Chuscham starb, und es ward König an seiner Statt Hadad, der Sohn Bedads, der die Midianiter schlug auf dem Gefilde von Moab; und der Name seiner Stadt war Awit.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Und Hadad starb, und es ward König an seiner Statt Samla von Masreka.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Und Samla starb, und es ward König an seiner Statt Saul von Rechobot am Strome.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Und Saul starb, und es ward König an seiner Statt Baal-Chanan, der Sohn Achbors.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Und Baal-Chanan starb, und es ward König an seiner Statt Hadad, und der Name seiner Stadt war Pagi, und der Name seines Weibes Mehetabeel, die Tochter Matreds, der Tochter Me-Sahabs. Und Hadad starb.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Und [dies] waren die Fürsten von Edom: der Fürst von Timna, der Fürst von Alva,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
der Fürst von Jetet, der Fürst von Oholibama, der Fürst von Ela, der Fürst von Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
der Fürst von Kenas, der Fürst von Teman,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
der Fürst von Mibzar, der Fürst von Magdiel, der Fürst von Iram. Das sind die Fürsten von Edom.

< 1 Nyakati 1 >