< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalaleel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoch, Methusalah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Sem, Ham, Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Die Kinder Japheths sind diese: Gomer, Magog, Madai, Javan, Thubal, Mesech, Thiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Die Kinder aber Gomers sind: Askenas, Riphath, Thogarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Die Kinder Javans sind: Elisa, Tharsisa, Chitim, Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Die Kinder Hams sind: Chus, Mizraim, Put, Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Die Kinder aber Chus sind: Seba, Hevila, Sabtha, Ragema, Sabthecha. Die Kinder aber Ragemas sind: Scheba und Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Chus aber zeugete Nimrod; der fing an gewaltig zu sein auf Erden.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim zeugete Ludim, Anamim, Lehabim, Naphthuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Pathrusim, Kasluhim (von welchen sind auskommen die Philistim) und Kaphthorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Kanaan aber zeugete Zidon, seinen ersten Sohn, und Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
Jebusi, Amori, Girgosi,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
Hevi, Arki, Sini,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
Arwadi, Zemari und Hemathi.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Die Kinder Sems sind diese: Elam, Assur, Arphachsad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether und Masech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arphachsad aber zeugete Salah; Salah zeugete Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Eber aber wurden zween Söhne geboren; der eine hieß Peleg, darum daß zu seiner Zeit das Land zerteilet ward; und sein Bruder hieß Jaktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jaktan aber zeugete Almodad, Saleph, Hazarmaveth, Jarah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Usal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Scheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ophir, Hevila und Jobab. Das sind alle Kinder Jaktans.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arphachsad, Salah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Regu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Tharah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, das ist Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Die Kinder aber Abrahams sind: Isaak und Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Dies ist ihr Geschlecht: der erste Sohn Ismaels Nebajoth, Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Masa, Hadad, Thema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jethur, Naphis, Kedma. Das sind die Kinder Ismaels.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Die Kinder aber Keturas, des Kebsweibes Abrahams: die gebar Simran, Jaksan, Medan, Midian, Jesbak, Suah. Aber die Kinder Jaksans sind: Scheba und Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Und die Kinder Midians sind: Epha, Epher, Henoch, Abida, Eldaa. Dies sind alle Kinder der Ketura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham zeugete Isaak. Die Kinder aber Isaaks sind: Esau und Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Die Kinder Esaus sind: Eliphas, Reguel, Jeus, Jaelam, Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Die Kinder Eliphas sind: Theman, Omar, Zephi, Gaetham, Kenas, Thimna, Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Die Kinder Reguels sind: Nahath, Serah, Samma und Misa.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Die Kinder Seirs sind: Lothan, Sobal, Zibeon, Ana, Dison, Ezer, Disan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Die Kinder Lothans sind: Hori, Homam; und Thimna war eine Schwester Lothans.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Die Kinder Sobals sind: Alian, Manahath, Ebal, Sephi, Onam. Die Kinder Zibeons sind: Aja und Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Die Kinder Anas: Dison. Die Kinder Disons sind: Hamran, Esban, Jethran, Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Die Kinder Ezers sind: Bilhan, Saewan, Jaekan. Die Kinder Disans sind: Uz und Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Dies sind die Könige, die regieret haben im Lande Edom, ehe denn ein König regierete unter den Kindern Israel: Bela, der Sohn Beors; und seine Stadt hieß Dinhaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Und da Bela starb, ward König an seiner Statt Jobab, der Sohn Serahs, von Bazra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Und da Jobab starb, ward König an seiner Statt Husam aus der Themaniter Lande.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Da Husam starb, ward König an seiner Statt Hadad, der Sohn Bedads, der die Midianiter schlug in der Moabiter Felde; und seine Stadt hieß Awith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Da Hadad starb, ward König an seiner Statt Samla von Masrek.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Da Samla starb, ward König an seiner Statt Saul von Rehoboth am Wasser.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Da Saul starb, ward König an seiner Statt Baal-Hanan, der Sohn Achbors.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Da Baal-Hanan starb, ward König an seiner Statt Hadad, und seine Stadt hieß Pagi; und sein Weib hieß Mehetabeel, eine Tochter Matreds, die Mesahabs Tochter war.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Da aber Hadad starb, wurden Fürsten zu Edom: Fürst Thimna, Fürst Alwa, Fürst Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Fürst Ahalibama, Fürst Ela, Fürst Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Fürst Kenas, Fürst Theman, Fürst Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Fürst Magdiel, Fürst Iram. Das sind die Fürsten zu Edom.

< 1 Nyakati 1 >