< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jered,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Henoch, Methusalah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Sem, Ham, und Japhet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Die Söhne Japhets: [1. Mose 10,2] Gomer und Magog und Madai und Jawan und Tubal, und Mesech und Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Und die Söhne Gomers: Askenas und Diphath und Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Und die Söhne Jawans: Elisa und Tarsis, die Kittim und die Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Die Söhne Hams: Kusch und Mizraim, Put und Kanaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Und die Söhne Kuschs: Seba und Hawila, und Sabta und Raghma und Sabteka. Und die Söhne Raghmas: Scheba und Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Und Kusch zeugte Nimrod; der fing an, ein Gewaltiger zu sein auf der Erde. -
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Und Mizraim zeugte die Ludim und die Anamim und die Lehabim und die Naphtuchim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
und die Pathrusim und die Kasluchim [von welchen die Philister ausgegangen sind] und die Kaphtorim. -
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Und Kanaan zeugte Zidon, seinen Erstgeborenen, und Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
und den Jebusiter und den Amoriter und den Girgasiter,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
und den Hewiter und den Arkiter und den Siniter,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
und den Arwaditer und den Zemariter und den Hamathiter.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Die Söhne Sems: Elam und Assur und Arpaksad und Lud und Aram, und Uz und Hul und Gether und Mesech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Und Arpaksad zeugte Schelach, und Schelach zeugte Heber. [O. Eber]
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Und Heber wurden zwei Söhne geboren: der Name des einen war Peleg, denn in seinen Tagen wurde die Erde verteilt; und der Name seines Bruders war Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Und Joktan zeugte Almodad und Scheleph und Hazarmaweth und Jerach,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
und Hadoram und Usal und Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
und Ebal und Abimael und Scheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
und Ophir und Hawila und Jobab; diese alle waren Söhne Joktans.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arpaksad, Schelach,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Heber, Peleg, Reghu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Tarah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, das ist Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Die Söhne Abrahams: Isaak und Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Dies sind ihre Geschlechter: Der Erstgeborene Ismaels: [1. Mose 25,13] Nebajoth; und Kedar und Adbeel und Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mischma und Duma, Massa, Hadad und Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphisch und Kedma; das sind die Söhne Ismaels. -
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Und die Söhne der Ketura, [1. Mose 25,1] des Kebsweibes Abrahams: sie gebar Simran und Jokschan und Medan und Midian und Jischbak und Schuach. Und die Söhne Jokschans: Scheba und Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Und die Söhne Midians: Epha und Epher und Hanok und Abida und Eldaa. Diese alle waren Söhne der Ketura. -
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Und Abraham zeugte Isaak. Die Söhne Isaaks: Esau und Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Die Söhne Esaus: [1. Mose 36] Eliphas, Reghuel, und Jeghusch und Jaghlam und Korach.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Die Söhne Eliphas: Teman und Omar, Zephi und Gaetam, Kenas und Timna und Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Die Söhne Reghuels: Nachath, Serach, Schamma und Missa.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Und die Söhne Seirs: Lotan und Schobal und Zibeon und Ana und Dischon und Ezer und Dischan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Und die Söhne Lotans: Hori und Homam; und die Schwester Lotans: Timna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Die Söhne Schobals: Aljan und Manachath und Ebal, Schephi und Onam. Und die Söhne Zibeons: Aja und Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Die Söhne Anas: Dischon. Und die Söhne Dischons: Hamran und Eschban und Jithran und Keran. -
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Die Söhne Ezers: Bilhan und Saawan und Jaakan. Die Söhne Dischans: Uz und Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Und dies sind die Könige, welche im Lande Edom regiert haben, ehe ein König über die Kinder Israel regierte: Bela, der Sohn Beors; und der Name seiner Stadt war Dinhaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Und Bela starb; und es ward König an seiner Statt Jobab, der Sohn Serachs, aus Bozra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Und Jobab starb; und es ward König an seiner Statt Huscham, aus dem Lande der Temaniter.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Und Huscham starb; und es ward König an seiner Statt Hadad, der Sohn Bedads, welcher Midian schlug im Gefilde Moabs; und der Name seiner Stadt war Awith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Und Hadad starb; und es ward König an seiner Statt Samla aus Masreka.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Und Samla starb; und es ward König an seiner Statt Saul, aus Rechoboth am Strome.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Und Saul starb; und es ward König an seiner Statt Baal-Hanan, der Sohn Akbors.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Und Baal-Hanan starb; und es ward König an seiner Statt Hadad; und der Name seiner Stadt war Paghi, und der Name seines Weibes Mehetabeel, die Tochter Matreds, der Tochter Mesahabs.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Und Hadad starb. Und die Fürsten [Eig. die Stammhäupter, Häuptlinge] von Edom waren: der Fürst Timna, der Fürst Alja, der Fürst Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
der Fürst Oholibama, der Fürst Ela, der Fürst Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
der Fürst Kenas, der Fürst Teman, der Fürst Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
der Fürst Magdiel, der Fürst Iram. Das sind die Fürsten von Edom.

< 1 Nyakati 1 >