< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Énosch,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kénan, Mahalaleel, Jéred,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Hénoc, Metuschélah, Lémec,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noé. Sem, Cham et Japhet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Fils de Japhet: Gomer, Magog, Madaï, Javan, Tubal, Méschec et Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Fils de Gomer: Aschkenaz, Diphat et Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Fils de Javan: Élischa, Tarsisa, Kittim et Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Fils de Cham: Cusch, Mitsraïm, Puth et Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Fils de Cusch: Saba, Havila, Sabta, Raema et Sabteca. Fils de Raema: Séba et Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Cusch engendra Nimrod; c’est lui qui commença à être puissant sur la terre.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mitsraïm engendra les Ludim, les Ananim, les Lehabim, les Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
les Patrusim, les Casluhim, d’où sont sortis les Philistins, et les Caphtorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Canaan engendra Sidon, son premier-né, et Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
et les Jébusiens, les Amoréens, les Guirgasiens,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
les Héviens, les Arkiens, les Siniens,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
les Arvadiens, les Tsemariens, les Hamathiens.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Fils de Sem: Élam, Assur, Arpacschad, Lud et Aram; Uts, Hul, Guéter et Méschec.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arpacschad engendra Schélach; et Schélach engendra Héber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Il naquit à Héber deux fils: le nom de l’un était Péleg, parce que de son temps la terre fut partagée, et le nom de son frère était Jokthan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Jokthan engendra Almodad, Schéleph, Hatsarmaveth, Jérach,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ébal, Abimaël, Séba, Ophir, Havila et Jobab.
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Tous ceux-là furent fils de Jokthan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arpacschad, Schélach,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Héber, Péleg, Rehu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nachor, Térach,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, qui est Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Fils d’Abraham: Isaac et Ismaël.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Voici leur postérité. Nebajoth, premier-né d’Ismaël, Kédar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mischma, Duma, Massa, Hadad, Téma,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jethur, Naphisch et Kedma. Ce sont là les fils d’Ismaël.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Fils de Ketura, concubine d’Abraham. Elle enfanta Zimran, Jokschan, Medan, Madian, Jischbak et Schuach. Fils de Jokschan: Séba et Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Fils de Madian: Épha, Épher, Hénoc, Abida et Eldaa. Ce sont là tous les fils de Ketura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham engendra Isaac. Fils d’Isaac: Ésaü et Israël.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Fils d’Ésaü: Éliphaz, Reuel, Jeusch, Jaelam et Koré.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Fils d’Éliphaz: Théman, Omar, Tsephi, Gaetham, Kenaz, Thimna et Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Fils de Reuel: Nahath, Zérach, Schamma et Mizza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Fils de Séir: Lothan, Schobal, Tsibeon, Ana, Dischon, Étser et Dischan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Fils de Lothan: Hori et Homam. Sœur de Lothan: Thimna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Fils de Schobal: Aljan, Manahath, Ébal, Schephi et Onam. Fils de Tsibeon: Ajja et Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Fils d’Ana: Dischon. Fils de Dischon: Hamran, Eschban, Jithran et Keran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Fils d’Étser: Bilhan, Zaavan et Jaakan. Fils de Dischan: Uts et Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Voici les rois qui ont régné dans le pays d’Édom, avant qu’un roi régnât sur les enfants d’Israël. Béla, fils de Beor; et le nom de sa ville était Dinhaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Béla mourut; et Jobab, fils de Zérach, de Botsra, régna à sa place.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Jobab mourut; et Huscham, du pays des Thémanites, régna à sa place.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Huscham mourut; et Hadad, fils de Bedad, régna à sa place. C’est lui qui frappa Madian dans les champs de Moab. Le nom de sa ville était Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Hadad mourut; et Samla, de Masréka, régna à sa place.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Samla mourut; et Saül, de Rehoboth sur le fleuve, régna à sa place.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Saül mourut; et Baal-Hanan, fils d’Acbor, régna à sa place.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Baal-Hanan mourut; et Hadad régna à sa place. Le nom de sa ville était Pahi; et le nom de sa femme Mehéthabeel, fille de Mathred, fille de Mézahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Hadad mourut. Les chefs d’Édom furent: le chef Thimna, le chef Alja, le chef Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
le chef Oholibama, le chef Éla, le chef Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
le chef Kenaz, le chef Théman, le chef Mibtsar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
le chef Magdiel, le chef Iram. Ce sont là des chefs d’Édom.

< 1 Nyakati 1 >