< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Sheth, Enosh,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mehalalel, Jered,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Methushelah, Lemech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Shem, Ham, and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
The sons of Japheth: Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Thubal, and Meshech, and Thirass.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
And the sons of Gomer: Ashkenas, and Diphath, and Thogarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
And the sons of Javan: Elishah, and Tharshishah, Kittim, and Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
The sons of Ham: Cush, and Misrayim, Put, and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
And the sons of Cush: Seba, and Chavilah, and Sabta, and Ra'mah, and Sabtecha. And the sons of Ra'mah: Sheba, and Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
And Cush begat Nimrod: this one began to be a mighty man upon the earth.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
And Mizrayim begat the Ludim, and there the 'Anamim, and the Lehabim, and the Naphtuchim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
And the Pathrussim, and the Cassluchim, of whom came the Philistines, and the Caphthorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
And Canaan begat Zidon, his first-born, and Heth.
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
And the Jebusite, and the Emorite, and the Girgashite,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
And the Hivite, and the Arkite, and the Sinite,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
And the Arvadite, and the Zemarite, and the Chamathite.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
The sons of Shem: 'Elam, and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram, and 'Uz, and Chul, and Gether, and Meshech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
And Arpachshad begat Shelach, and Shelach begat 'Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
And unto 'Eber were born two sons: the name of the one was Peleg; because in his days the earth was divided; and his brother's name was Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
And Joktan begat Almodad, and Sheleph, and Chazarmaveth, and Jerach,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
And Hadoram, and Uzal, and Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
And 'Ebal and Abimael, and Sheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
And Ophir, and Chavilah, and Jobab. All these were the sons of Joktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Shem, Arpachshad, Shelach,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
'Eber, Peleg, Re'u,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nachor, Terach,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, the same is Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
The sons of Abraham: Isaac, and Ishma'el.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
These are their generations: The first-born of Ishma'el, Nebayoth, then Kedar, and Adbeel, and Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma', and Dumah, Massa, Chadad, and Thema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphish, and Kedemah. These are the sons of Ishma'el.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
And the sons of Keturah, the concubine of Abraham: she bore Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Yishbak, and Shuach. And the sons Jokshan: Sheba, and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
And the sons of Midian: 'Ephah, and 'Epher, and Chanoch, and Abida', and Elda'ah. All these are the sons of Keturah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
And Abraham begat Isaac. The sons of Isaac: Esau and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
The sons of Esau: Eliphaz, Re'uel, and Ye'ush, and Ya'lam, and Korach.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
The sons of Eliphaz: Theman, and Omar, Zephi, and Ga'tam, Kenas, and Thimna', and 'Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
The sons of Re'uel: Nachath, Zerach, Shammah, and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
And the sons of Se'ir: Lotan, and Shobal, and Zib'on, and 'Anah, and Dishon, and Ezer, and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
And the sons of Lotan: Chori, and Homam: and the sister of Lotan: Thimna'.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
The sons of Shobal: 'Alyan, and Manachath, and 'Ebal, Shephi, and Onam. And the sons of Zib'on: 'Ayah, and 'Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
The sons of 'Anah: Dishon. And the sons of Dishon: Chamran, and Eshban, and Yithran, and Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
The sons of Ezer: Bilhan, and Za'avan, and Ja'akan. The sons of Dishan: 'Uz, and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
And these are the kings that reigned in the land of Edom before there reigned any king over the children of Israel: Bela' the son of Be'or; and the name of his city was Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
And Bela' died, and there reigned in his stead Jobab the son of Zerach of Bozrah.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
And Jobab died, and there reigned in his stead Chusham of the land of Theman.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
And Chusham died and there reigned in his stead Hadad the son of Bedad, who smote Midian in the field of Moab; and the name of his city was 'Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
And Hadad died, and there reigned in his stead Samlah of Massrekah.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
And Samlah died, and there reigned in his stead Saul of Rechoboth by the river.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
And Saul died, and there reigned in his stead Ba'al-chanan the son of 'Achbor.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
And Ba'al-chanan died, and there reigned in his stead Hadad; and the name of his city was Pa'i; and the name of his wife was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Me-zahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Hadad died also. And the dukes of Edom were: Thimna', duke 'Alvah, duke Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Duke Aholibamah, duke Elah, duke Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Duke Kenas, duke Theman, duke Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Duke Magdiel, duke 'Iram. These are the dukes of Edom.

< 1 Nyakati 1 >