< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Set, Enos,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kainan, Mahalaleel, Járed,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Matuzalém, Lámech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noé, Sem, Cham a Jáfet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Synové Jáfetovi: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Mešech a Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Synové pak Gomerovi: Ascenez, Difat a Togorma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Synové pak Javanovi: Elisa, Tarsis, Cetim a Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Synové Chamovi: Chus, Mizraim, Put a Kanán.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
A synové Chusovi: Sába, Evila, Sabata, Regma, Sabatacha. Synové pak Regmovi: Sába a Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Zplodil také Chus Nimroda; ten počal mocným býti na zemi.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim pak zplodil Ludim, Anamim, Laabim a Neftuim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Fetruzim také a Chasluim, (odkudž pošli Filistinští), a Kafturim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Kanán pak zplodil Sidona, prvorozeného svého, a Het,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
A Jebuzea, Amorea a Gergezea,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
A Hevea, Aracea a Sinea,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
A Aradia, Samarea a Amatea.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Synové Semovi: Elam, Assur, Arfaxad, Lud, Aram, Hus a Hul, Geter a Mas.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
A Arfaxad zplodil Sále, Sále pak zplodil Hebera.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Heberovi pak narodili se dva synové, z nichž jednoho jméno Peleg, proto že za dnů jeho rozdělena byla země, jméno pak bratra jeho Jektan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Kterýžto Jektan zplodil Elmodada, Salefa, Azarmota a Járe,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
A Adoráma, Uzala a Dikla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
A Ebale, Abimahele a Sebai,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
A Ofira, Evila a Jobaba. Všickni ti byli synové Jektanovi.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arfaxad, Sále,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Heber, Peleg, Réhu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Sárug, Náchor, Táre,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram, ten jest Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Synové Abrahamovi: Izák a Izmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Tito jsou rodové jejich: Prvorozený Izmaelův Nabajot, Cedar, Adbeel a Mabsan,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Masma, Dumah, Massa, Hadad a Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Nafis a Cedma. Ti jsou synové Izmaelovi.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Synové pak Cetury, ženiny Abrahamovy: Ta porodila Zamrana, Jeksana, Madana, Madiana, Jezbocha a Suecha. Synové pak Jeksanovi: Sába a Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Synové pak Madianovi: Efa, Efer, Enoch, Abida a Helda. Všickni ti synové Cetury.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Zplodil tedy Abraham Izáka. Synové pak Izákovi: Ezau a Izrael.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Synové Ezau: Elifaz, Rahuel, Jehus, Jhelom a Kore.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Synové Elifazovi: Teman, Omar, Sefi, Gatam, Kenaz a syn Tamny, totiž Amalech.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Synové Rahuelovi: Nahat, Zára, Samma a Méza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Synové pak Seir: Lotan, Sobal, Sebeon, Ana, Dison, Eser a Dízan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Synové pak Lotanovi: Hori a Homam. Sestra pak Lotanova: Tamna.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Synové Sobalovi: Alian, Manáhat, Ebal, Sefi a Onam. Synové pak Sebeonovi: Aia a Ana.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Synové Anovi: Dison. A synové Disonovi: Hamran, Eseban, Jetran a Charan.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Synové Eser: Balaan, Závan a Jakan. Synové Dízonovi: Hus a Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Tito pak jsou králové, kteříž kralovali v zemi Idumejské, prvé než kraloval který král z synů Izraelských: Béla syn Beorův, jehožto město jméno mělo Denaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
A když umřel Béla, kraloval na místě jeho Jobab, syn Záre z Bozra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
A když umřel Jobab, kraloval místo něho Husam z země Temanské.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
A když umřel Husam, kraloval místo něho Adad syn Badadův, kterýž porazil Madianské v krajině Moábské; jehož město jméno mělo Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
A když umřel Adad, kraloval na místě jeho Semla z Masreka.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
A když umřel Semla, kraloval místo něho Saul z Rohobot řeky.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
A když umřel Saul, kraloval místo něho Bálanan, syn Achoborův.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
A když umřel Bálanan, kraloval místo něho Adad, jehož město řečené Pahu; jméno pak ženy jeho Mehetabel, dcera Matredy, dcery Mezábovy.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
A když umřel Adad, byli vývodové Idumejští: Vývoda Tamna, vývoda Alja, vývoda Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
Vývoda Olibama, vývoda Ela, vývoda Finon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
Vývoda Kenaz, vývoda Teman, vývoda Mabsar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
Vývoda Magdiel, vývoda Híram. Ti byli vývodové Idumejští.

< 1 Nyakati 1 >