< 1 Nyakati 9 >
1 Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
The [names of all the] people of Israel were listed/written with the names of their clans, and that information was written in the scroll/book named ‘The Record of the Kings of Israel’. [Many of] the people of Judah were captured and forced to go to Babylon. That happened because they did not faithfully [do what was pleasing to] God.
2 Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
The first people who returned [to Judah 70 years later] and lived in their own land and in their own cities and towns were some Israeli priests, other descendants of Levi, and men who worked in the temple.
3 Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
[Other] people from the tribes of Judah, Benjamin, Ephraim, and Manasseh [also returned to Judah and] lived in Jerusalem. This is a list of those people [of the tribe of Judah]:
4 Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
Uthai the son of Ammihud. Ammihud was the son of Omri; Omri was the son of Imri; Imri was the son of Bani; Bani was a descendant of Perez; Perez was the son of Judah.
5 Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
Asaiah and his sons were descendants of Shelah. Asaiah was the oldest son in his family.
6 Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
Jeuel and others of his relatives in Zerah’s clan. There were 690 people in this clan.
7 Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
From the tribe of Benjamin, Sallu, the son of Meshullam. Meshullam was the son of Hodaviah; Hodaviah was the son of Hassenuah.
8 Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
Ibneiah the son of Jeroham. Elah the son of Uzzi. Uzzi was the son of Micri. Meshullam the son of Shephatiah. Shephatiah was the son of Reuel; Reuel was the son of Ibnijah.
9 Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
In other records of the people descended from Benjamin, there are the names of 956 people who were living in Jerusalem. All these were leaders of their clans.
10 Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
Some of the priests [who returned to Judah were]: Jedaiah, Jehoiarib, Jakin,
11 Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
and Azariah who was the son of Hilkiah. Hilkiah who was the son of Meshullam; Meshullam who was the son of Zadok, Zadok who was the son of Meraioth; Meraioth who was the son of Ahitub; Ahitub who supervised the temple guards;
12 Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
Adaiah who was the son of Jeroham; Jeroham who was the son of Pashhur; Pashhur who was the son of Malchijah; Maasai who was the son of Adiel; Adiel who was the son of Jahzerah; Jahzerah who was the son of Meshullam; Meshullam who was the son of Meshillemith; Meshillemith who was the son of Immer.
13 Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
Altogether there were 1,760 priests [who returned to Judah]. They were leaders of their clans, and they all were responsible for doing work in the temple of God.
14 Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
From the descendants of Levi [who returned to Judah] there was Shemaiah the son of Hasshub. Hasshub was the son of Azrikam; Azrikam was the son of Hashabiah; Hashabiah was a descendant of [Levi’s youngest son] Merari.
15 Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
[Other descendants of Levi who returned to Judah were] Bakbakkar, Heresh, Galal, and Mattaniah the son of Mica. Mica was the son if Zicri; Zicri was the son of Asaph.
16 Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
There was also Obadiah the son of Shemaiah. Shemaiah was the son of Galal. Galal was the son of Jeduthun. There was also Berekiah the son of Asa. Asa was the son of Elkanah, who lived in one of the villages where the Netophath people-clan lived.
17 Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
From the [descendants of Levi who returned to Judah] who guarded the temple gates there were Shallum, Akkub, Talmon, Ahiman, and some of their relatives. Shallum was their leader.
18 Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
Those gatekeepers from the tribe of Levi stood at the King’s Gate on the east side [of the temple].
19 Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
Shallum was the son of Kore. Kore was the son of Ebiasaph. Ebiasaph was the son of Korah. Shallum and his relatives were gatekeepers, and they were responsible to guard the gates of the Sacred Tent of Yahweh, like their ancestors had done.
20 Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
Previously Phinehas, the son of Eleazar, had supervised the gatekeepers, and Yahweh (was with/helped) Phinehas.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
Zechariah the son of Meshelemiah was the gatekeeper at the entrance of the Sacred Tent.
22 Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
Altogether, there were 212 men who were chosen to guard the gates. Their names were written in the records of the clans in their villages. [King] David and the prophet Samuel appointed/chose those men because those men (were dependable/always did what they were told to do).
23 Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
The work of those gatekeepers and their descendants was to guard the entrances of the Sacred Tent of Yahweh. That was before the temple was built to replace the Sacred Tent.
24 Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
There were gatekeepers on each of the four sides of the Sacred Tent.
25 Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
Sometimes it was necessary for the relatives of the gatekeepers who lived in those villages to come and help them. Each time some of them came, they helped the gatekeepers for seven days.
26 Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
There were four descendants of Levi who [worked every day, and they] supervised the gatekeepers. They also took care of the rooms and treasures in the Sacred Tent of God.
27 Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
They remained awake all during the night to guard the Sacred Tent, and each morning they opened the gates.
28 Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
Some of the gatekeepers took care of the articles that were used in worship. They also took care of the flour, wine, olive oil, incense, and spices [that were used in the sacrifices].
29 Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
Other gatekeepers were appointed to take care of the other things in the Sacred Tent.
30 Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
But some of the priests had the work of mixing the spices.
31 Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
There was a descendant of Levi named Mattithiah, the oldest son of Shallum, who was a descendant of Korah. He (was very dependable/always did what he was told to do), so they gave him {he was given} the work of baking the bread that was used in the offerings [on the altar].
32 Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
Some of the gatekeepers who were descended from Kohath prepared the freshly baked loaves of sacred bread that were placed on the table [inside the Sacred Tent] every Sabbath/rest day.
33 Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
Some of the descendants of Levi were musicians who worked in the Sacred Tent. The leaders of those families [stayed/slept] in the rooms [of the Sacred Tent]. They did not do [any other work] in the Sacred Tent because they were responsible to serve [as musicians] day and night.
34 Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
Those are [the names of] the leaders of the clans descended from Levi. Their names were written in the records of the clans. They all lived in Jerusalem.
35 Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
[One of the descendants of Benjamin, ] Jeiel, lived in Gibeon [city]. He was the city leader. His wife’s name was Maacah.
36 Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
His oldest son was Abdon. His other sons were Zur, Kish, Baal, Ner, Nadab,
37 Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
Gedor, Ahio, Zechariah, and Mikloth.
38 Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
Mikloth was the father of Shimeam. Jeiel’s family lived near their relatives in Jerusalem.
39 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner was the father of Kish. Kish was the father of [King] Saul. Saul was the father of Jonathan, Malchishua, Abinadab, and Esh-Baal.
40 Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
Jonathan’s son was Merib-Baal. Merib-Baal was the father of Micah.
41 Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
Micah’s sons were Pithon, Melech, Tahrea, [and Ahaz].
42 Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahaz was the father of Jadah (OR, Jarah). Jadah was the father of Alemeth, Azmaveth, and Zimri. Zimri was the father of Moza.
43 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Moza was the father of Binea. The son of Binea was Rephaiah. The son of Rephaiah was Eleasah. The son of Eleasah was Azel.
44 Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli
Azel had six sons: Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, and Hanan.