< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benyamin mmammarima na ɛdidi soɔ yi: Bela (abakan), Asbel, Ahra,
2 Noha, na Rafa.
Noha ne Rafha.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Bela mmammarima yɛ: Adar, Gera, Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naaman, Ahoa,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Sefufan ne Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Ehud mmammarima, mmusua ntuanofoɔ, a na wɔte Geba a wɔpamoo wɔn firii hɔ kɔɔ Manahat nie:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naaman, Ahiya ne Gera. Gera a na ɔyɛ Usa ne Ahihud agya no na ɛberɛ a wɔretu no, ɔdii wɔn anim.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Saharaim gyaee ne yerenom Husim ne Baara akyi no, ɔwoo mma wɔ Moab asase so.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Ne yere foforɔ Hodes woo Yobab, Sibia, Mesa, Malkam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Yeus, Sakia ne Mirma. Saa mmammarima yi bɛyɛɛ mmusua ntuanofoɔ.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Na Saharaim yere Husim awo Abitub ne Elpaal dada.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Elpaal mmammarima yɛ: Eber, Misam ne Semed a ɔkyekyeree Ono ne Lod ne wɔn nkuraaseɛ no,
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Beria ne Sema. Na wɔyɛ mmusua ntuanofoɔ a na wɔte Ayalon, na wɔpamoo ɔmanfoɔ a wɔte Gat no.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
Beria mmammarima yɛ Ahio, Sasak, Yeremot,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Sebadia, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Mikael, Yispa ne Yoha.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Elpaal mmammarima yɛ Sebadia, Mesulam, Hiski, Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Ismerai, Yislia ne Yobab.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Simei mmammarima yɛ Yakim, Sikri, Sabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elienai, Siletai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaia, Beraia ne Simrat.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Sasak mmammarima yɛ Yispan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Sikri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hanania, Elam, Antotia,
25 Ifdeia, na Penueli.
Yifdeia ne Penuel.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Yeroham mmammarima yɛ: Samserai, Seharia, Atalia,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Yaaresia, Elia ne Sikri.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Yeinom ne agyanom mmusua ntuanofoɔ a wɔatwerɛ wɔn din wɔ wɔn mu biara abusuadua nkrataa mu. Na wɔn nyinaa tenaa Yerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Yeiel (Gibeon agya) tenaa Gibeon. Na ne yere din de Maaka
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
a na ne babarima piesie din de Abdon. Na Yeiel mmammarima a wɔaka no din de Sur, Kis, Baal, Ner, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Ahio, Seker,
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
ne Miklot a ɔyɛ Simea agya. Na saa mmusuafoɔ yi tete bemmɛn wɔn ho wɔn ho wɔ Yerusalem.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner na ɔwoo Kis. Kis na ɔwoo Saulo, Saulo na ɔwoo Yonatan, Malki-Sua, Abinadab ne Esbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Yonatan babarima ne: Merib-Baal (anaa Mefiboset) na Merib-Baal woo Mika.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Mika mmammarima ne: Piton, Melek, Tarea ne Ahas.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahas woo Yehoada na Yehoada woo Alemet, Asmawet ne Simri. Na Simri woo Mosa.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Mosa woo Binea. Binea woo Rafha. Rafha woo Elasa. Elasa woo Asel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Asel woo mmammarima baasia a wɔne: Asrikam, Bokeru, Ismael, Searia, Obadia ne Hanan. Na yeinom yɛ Asel mma.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Na Asel nuabarima Esek wɔ mmammarima baasa a wɔne Ulam a ɔyɛ abakan, Yeus a ɔtɔ so mmienu ne Elifelet a ɔtɔ so mmiɛnsa.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Ulam mmammarima nyinaa yɛ akofoɔ a wɔakwadare wɔ akodie mu, na wɔyɛ agyantofoɔ toamfom. Na wɔwɔ mma ne mmanananom bebree a na wɔn nyinaa dodoɔ yɛ ɔha aduonum. Yeinom nyinaa yɛ Benyamin asefoɔ.

< 1 Nyakati 8 >