< 1 Nyakati 8 >
1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Вениамин же роди Валу первенца своего, и Азвила втораго, и Диеру третияго,
и Науила четвертаго, и Рафу пятаго.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Быша же сынове Вале: Адир, Гира и Авиуд,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
и Ависуй и Ноаман, и Ахиа
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
и Гира, и Сефуфам и Урам.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Сии сынове Аоди, сии суть князи племен обитающым в Гаваи, ихже преселиша в Мануаф:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
и Нааман и Ахиа, и Гира, тойже иглаам, и (Гира) роди Азана и Нуа.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
И Сеорим роди на поли Моавли, повнегда отпустити ему Осиму и Вааду жены своя:
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
роди же от Валы жены своея Иовава и Самию, и Мису и Мелхома,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
и Иоаса и Сехию и Мармию: сии сынове его князи отечеств:
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
от Осимы же роди Амитова и Елифаада.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Сынове же Елифаадовы: Евер и Мисоам и Самиил: той созда Анон и Лодон и веси их, еод и веси его:
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Вериа же и Сама. Сии князи племенем живущим во Еламе, и тии изгнаша живущих в Гефе.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
И братия их Сосил и Иеримоф,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
и Мосоллам, и Иесфа и Иезиа, сынове Вериины.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
И Завадиа и Мосоллам, и Азаки и Авер,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
и Иассий и Самари, и Иезелиа и Иовав, сынове Елфаали.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
И Иаким и Хезрий, и Завдий
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
и Елиоинай, и Салафий и Елиил,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
и Адаиа и Вареа и Самараф, сынове Семеины.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
И Иесфан и Авер, и Елеил (и Адриа),
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
и Авдон и Зехрий, и Анан
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
и Ананиа, и Илам и Анафафиа,
и Иефадиа и Фануил, сынове Сосиковы.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
И Самоас и Сареа, и Ефниа
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
и Иарасиа, и Илиа и Зехриа, сынове Иеромоимли.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Сии князи отечеств по племенем их: началницы сии обиташа во Иерусалиме.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
В Гаваоне же вселися Иеиль отец Гаваона и имя жене его Мааха:
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
сын же его первенец Авдон, и Сур и Кис, и Ваел и Надав, и Нир
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
и Геддор и Аиуй и братия его, и Саур и Махелод.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Махелод же роди Самаа. Сии же обиташа прямо братии своей во Иерусалиме с братиею своею.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Нир же роди Киса, и Кис роди Саула, Саул же роди Ионафана и Мелхисуа, и Аминадава и Иесваала.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Сын же Ионафанов Мемфиваал (или Мемфивосфей): и Мемфиваал роди Миху.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Сынове же Михины: Фифоф и Малоф, и Фарес и Хааз.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Хааз же роди Иаду, Иада же роди Салемефа и Асмофа и Замвриа, Замврий же роди Месу,
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Меса же роди Ваану: Рафеа сын его, Еласа сын его, Асаил сын его.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Асаилу же шесть сынов, и сия имена их: Езрикам первенец его, и Исмаил и Азариа, и Авдиа и Сараиа и Анан: вси тии сынови Асаилевы.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Сынове же Асена брата его: Улам первенец его, и Иесус вторый, и Елифас третий.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Быша же сынове Уламли мужие крепцы силою, напрязающе лук и умножающе сыны и сыны сынов, сто пятьдесят. Вси сии от сынов Вениаминих.