< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
فرزندان بنیامین به ترتیب سن اینها بودند: بالع، اشبیل، اخرخ،
2 Noha, na Rafa.
نوحه و رافا.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
پسران بالع اینها بودند: ادار، جیرا، ابیهود،
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
ابیشوع، نعمان، اخوخ،
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
جیرا، شفوفان و حورام.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
پسران احود اینها بودند: نعمان، اخیا و جیرا. اینها رؤسای طوایفی بودند که در جبع زندگی می‌کردند، اما در جنگ اسیر شده به مناحت تبعید شدند. جیرا (پدر عزا و اخیحود) ایشان را در این تبعید رهبری کرد.
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
شحرایم زنان خود حوشیم و بعرا را طلاق داد، ولی از زن جدید خود خُدِش در سرزمین موآب صاحب فرزندانی به اسامی زیر شد: یوباب، ظبیا، میشا، ملکام، یعوص، شکیا و مرمه. تمام این پسران رؤسای طوایف شدند.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
حوشیم، زن سابق شحرایم، ابیطوب و الفعل را برایش زاییده بود.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
پسران الفعل عبارت بودند از: عابر، مشعام و شامد. (شامد شهرهای اونو و لود و روستاهای اطراف آنها را بنا کرد.)
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
پسران دیگر او بریعه و شامع، رؤسای طایفه‌هایی بودند که در ایلون زندگی می‌کردند. آنها ساکنان جت را بیرون راندند.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
پسران بریعه اینها بودند: اخیو، شاشق، یریموت، زبدیا، عارد، عادر، میکائیل، یشفه و یوخا.
15 Zebadia, Aradi, Eda,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
افراد زیر هم پسران الفعل بودند: زبدیا، مشلام، حزقی، حابر، یشمرای، یزلیاه و یوباب.
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
پسران شمعی: یعقیم، زکری، زبدی، الیعینای، صلتای، ایلی‌ئیل، ادایا، برایا و شمرت.
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
پسران شاشق: یشفان، عابر، ایلی‌ئیل، عبدون، زکری، حانان، حننیا، عیلام، عنتوتیا، یفدیا و فنوئیل.
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
25 Ifdeia, na Penueli.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
پسران یرحام: شمشرای، شحریا، عتلیا،
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
یعرشیا، ایلیا و زکری.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
اینها رؤسای طوایفی بودند که در اورشلیم زندگی می‌کردند.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
یعی‌ئیل، شهر جبعون را بنا کرد و در آنجا ساکن شد. نام زن او معکه بود.
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
پسر ارشد او عبدون نام داشت و پسران دیگرش عبارت بودند از: صور، قیس، بعل، ناداب،
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
جدور، اخیو، زاکر
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
و مقلوت پدر شماه. تمام این خانواده‌ها با هم در شهر اورشلیم زندگی می‌کردند.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
نیر پدر قیس، و قیس پدر شائول بود. یهوناتان، ملکیشوع، ابیناداب و اشبعل پسران شائول بودند.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
مفیبوشت پسر یوناتان و میکا پسر مفیبوشت بود.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
پسران میکا: فیتون، مالک، تاریع، آحاز.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
آحاز پدر یهوعده، و یهوعده پدر علمت و عزموت و زمری بود. زمری پدر موصا بود.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
موصا پدر بنعا، بنعا پدر رافه، رافه پدر العاسه و العاسه پدر آصیل بود.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
آصیل شش پسر داشت: عزریقام، بکرو، اسماعیل، شعریا، عوبدیا و حانان.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
عیشق برادر آصیل سه پسر داشت: اولام، یعوش و الیفلط.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
پسران اولام جنگاورانی شجاع و تیراندازانی ماهر بودند. این مردان ۱۵۰ پسر و نوه داشتند،

< 1 Nyakati 8 >