< 1 Nyakati 8 >
1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Beniamin autem genuit Bale primogenitum suum Asbal secundum Ohora tertium
Nuaha quartum et Rapha quintum
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
fueruntque filii Bale Addaor et Gera et Abiud
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisue quoque et Neman et Ahoe
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
sed et Gera et Sephuphan et Uram
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
hii sunt filii Aod principes cognationum habitantium in Gabaa qui translati sunt in Manath
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Nooman autem et Achia et Gera ipse transtulit eos et genuit Oza et Ahiud
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
porro Saarim genuit in regione Moab postquam dimisit Usim et Bara uxores suas
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
genuit autem de Edes uxore sua Iobab et Sebia et Mosa et Molchom
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Iehus quoque et Sechia et Marma hii sunt filii eius principes in familiis suis
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Meusim vero genuit Abitob et Elphaal
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
porro filii Elphaal Heber et Misaam et Samad hic aedificavit Ono et Lod et filias eius
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Bara autem et Samma principes cognationum habitantium in Aialon hii fugaverunt habitatores Geth
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
et Haio et Sesac et Ierimoth
et Zabadia et Arod et Eder
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michahel quoque et Iespha et Ioaa filii Baria
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
et Zabadia et Mosollam et Ezeci et Heber
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
et Iesamari et Iezlia et Iobab filii Elphaal
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
et Iacim et Zechri et Zabdi
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
et Helioenai et Selethai et Helihel
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
et Adaia et Baraia et Samarath filii Semei
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
et Iesphan et Heber et Helihel
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
et Abdon et Zechri et Hanan
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
et Anania et Ailam et Anathothia
et Iephdaia et Phanuhel filii Sesac
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
et Samsari et Sooria et Otholia
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
et Iersia et Helia et Zechri filii Ieroam
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
hii patriarchae et cognationum principes qui habitaverunt in Hierusalem
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
in Gabaon autem habitaverunt Abigabaon et nomen uxoris eius Maacha
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
filiusque eius primogenitus Abdon et Sur et Cis et Baal et Nadab
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor quoque et Ahio et Zacher
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
et Macelloth genuit Samaa habitaveruntque ex adverso fratrum suorum in Hierusalem cum fratribus suis
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner autem genuit Cis et Cis genuit Saul porro Saul genuit Ionathan et Melchisuae et Abinadab et Esbaal
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
filius autem Ionathan Meribbaal et Meribbaal genuit Micha
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
filii Micha Phithon et Melech et Thara et Ahaz
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
et Ahaz genuit Ioada et Ioada genuit Almoth et Azmoth et Zamari porro Zamari genuit Mosa
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
et Mosa genuit Baana cuius filius fuit Rapha de quo ortus est Elasa qui genuit Asel
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
porro Asel sex filii fuere his nominibus Ezricam Bochru Ismahel Saria Abadia Anan omnes hii filii Asel
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
filii autem Esec fratris eius Ulam primogenitus et Us secundus et Eliphalet tertius
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
fueruntque filii Ulam viri robustissimi et magno robore tendentes arcum et multos habentes filios ac nepotes usque ad centum quinquaginta omnes hii filii Beniamin