< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benjamin autem genuit Bale primogenitum suum, Asbel secundum, Ahara tertium,
2 Noha, na Rafa.
Nohaa quartum, et Rapha quintum.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Fueruntque filii Bale: Addar, et Gera, et Abiud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisue quoque et Naaman, et Ahoë,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
sed et Gera, et Sephuphan, et Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Hi sunt filii Ahod, principes cognationum habitantium in Gabaa, qui translati sunt in Manahath.
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naaman autem, et Achia, et Gera, ipse transtulit eos, et genuit Osa, et Ahiud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Porro Saharaim genuit in regione Moab, postquam dimisit Husim et Bara uxores suas.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Genuit autem de Hodes uxore sua Jobab, et Sebia, et Mosa, et Molchom,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jehus quoque, et Sechia, et Marma: hi sunt filii ejus principes in familiis suis.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Mehusim vero genuit Abitob et Elphaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Porro filii Elphaal: Heber, et Misaam, et Samad: hic ædificavit Ono, et Lod, et filias ejus.
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Baria autem et Sama principes cognationum habitantium in Ajalon: hi fugaverunt habitatores Geth.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
Et Ahio, et Sesac, et Jerimoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
et Zabadia, et Arod, et Heder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michaël quoque, et Jespha, et Joha filii Baria.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Et Zabadia, et Mosollam, et Hezeci, et Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
et Jesamari, et Jezlia, et Jobab filii Elphaal,
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
et Jacim, et Zechri, et Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
et Elioënai, et Selethai, et Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
et Adaia, et Baraia, et Samarath, filii Semei.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Et Jespham, et Heber, et Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
et Abdon, et Zechri, et Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
et Hanania, et Ælam, et Anathothia,
25 Ifdeia, na Penueli.
et Jephdaia, et Phanuel, filii Sesac.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Et Samsari, et Sohoria, et Otholia,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
et Jersia, et Elia, et Zechri, filii Jeroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Hi patriarchæ, et cognationum principes, qui habitaverunt in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
In Gabaon autem habitaverunt Abigabaon, et nomen uxoris ejus Maacha:
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
filiusque ejus primogenitus Abdon, et Sur, et Cis, et Baal, et Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor quoque, et Ahio, et Zacher, et Macelloth:
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
et Macelloth genuit Samaa: habitaveruntque ex adverso fratrum suorum in Jerusalem cum fratribus suis.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner autem genuit Cis, et Cis genuit Saul. Porro Saul genuit Jonathan, et Melchisua, et Abinadab, et Esbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Filius autem Jonathan, Meribbaal: et Meribbaal genuit Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Filii Micha, Phithon, et Melech, et Tharaa, et Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Et Ahaz genuit Joada, et Joada genuit Alamath, et Azmoth, et Zamri: porro Zamri genuit Mosa,
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
et Mosa genuit Banaa, cujus filius fuit Rapha, de quo ortus est Elasa, qui genuit Asel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Porro Asel sex filii fuerunt his nominibus: Ezricam, Bocru, Ismahel, Saria, Obdia, et Hanan: omnes hi filii Asel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Filii autem Esec fratris ejus, Ulam primogenitus, et Jehus secundus, et Eliphalet tertius.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Fueruntque filii Ulam viri robustissimi, et magno robore tendentes arcum: et multos habentes filios ac nepotes, usque ad centum quinquaginta. Omnes hi filii Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >