< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
बिन्यामिन अपने पहलौठे बेला का पिता हुआ: दूसरा पुत्र था अशबेल, तीसरा अहाराह,
2 Noha, na Rafa.
चौथा नोहाह और पांचवा पुत्र था राफ़ा.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
बेला के पुत्र: अद्दार, गेरा, अबीहूद,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
अबीशुआ, नामान, अहोह,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
गेरा, शपूपान और हूरम.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
एहूद के पुत्र ये गेबा निवासियों के अधिकारी थे, इन्हें ही मानाहाथ को बंधुआई में ले जाया गया था:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
नामान, अहीयाह और गेरा, अर्थात् हेगलाम, जो उज्जा और अहीहूद का पिता हुआ.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
शाहराइम जब हुषीम और बआरा नामक अपनी पत्नियों को विदा कर चुका, मोआब देश में वह पुत्रों का पिता हुआ.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
वह अपनी पत्नी होदेश के द्वारा इन पुत्रों का पिता हुआ: योबाब, ज़िबियाह, मेषा, मालकम,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
येऊत्स, साकिया और मिरमाह. उसके ये पुत्र पूर्वजों के परिवारों के प्रधान हुए.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
हुषीम के द्वारा भी वह पुत्रों का पिता हुआ: अबीतूब और एलपाल.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
एलपाल के पुत्र: एबर, मिशाम और शेमेद, (जितने ओनो और लोद को और उसके आस-पास के गांव सहित बसाया),
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
बेरियाह और शेमा अय्जालोन के उन निवासियों के पूर्वजों के परिवारों के प्रधान थे, जिन्होंने गाथ में बसे हुए लोगों को नगर छोड़ भागने के लिए विवश कर दिया था.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
और आहियो, शाशक और येरेमोथ,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
ज़ेबादिया, अराद, एदर,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
मिखाएल, इशपाह और योहा बेरियाह के पुत्र थे.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
ज़ेबादिया, मेशुल्लाम, हिज़की, हेबेर,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
इशमेराइ, इज़लियाह और योबाब एलपाल के पुत्र थे.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
याकिम, ज़ीकरी, ज़ब्दी,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
एलिएनाइ, ज़िल्लेथाइ, एलिएल,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
अदाइयाह, बेराइयाह और शिमराथ शिमेई के पुत्र थे.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
इशपान, एबर, एलिएल,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
अबदोन, ज़ीकरी, हानन,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
हननियाह, एलाम, अन्तोतियाह,
25 Ifdeia, na Penueli.
इफदेइयाह और पेनुएल शाशक के पुत्र थे,
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
शमशेराइ, शेहरियाह, अथालियाह,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
यआरेशियाह, एलियाह और ज़ीकरी येरोहाम के पुत्र थे.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
ये अपनी पीढ़ियों के अनुसार अपने-अपने परिवारों के प्रधान नायक थे, ये सभी येरूशलेम में रहते थे.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
गिबयोन का पिता येइएल गिबयोन में रहता था. उसकी पत्नी का नाम माकाह था,
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
उसका पहलौठा पुत्र था अबदोन, इसके बाद पैदा हुए ज़ुर, कीश, बाल, नेर, नादाब,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
गेदोर, आहियो और ज़ेकर.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
मिकलोथ सिमअह का पिता हो गया. ये लोग भी येरूशलेम में अपने दूसरे रिश्तेदारों के सामने रह रहे थे.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
नेर कीश का पिता था, कीश शाऊल का, शाऊल योनातन, मालखी-शुआ, अबीनादाब और एशबाल का.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
योनातन का पुत्र था: मेरिब-बाल; मेरिब-बाल जो मीकाह का पिता था.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
मीकाह के पुत्र: पिथोन, मेलेख, तारिया और आहाज़.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
आहाज़ पिता हुआ यहोआदाह का, यहोआदाह पिता था अलेमेथ, अज़मावेथ और ज़िमरी का. ज़िमरी पिता था मोत्सा का.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
मोत्सा पिता था बिनिया का; उसके पुत्र थे राफाह, एलासाह उसके पुत्र, आज़ेल उसके पुत्र.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
आज़ेल के छः पुत्र थे, जिनके नाम निम्न लिखित है: अज़रीकाम, बोखेरु, इशमाएल, शिआरियाह, ओबदिया और हनान. ये सभी आज़ेल के पुत्र थे.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
उसके भाई एशेक के पुत्र: उलाम उसका पहिलौंठा, यीऊश दूसरा पुत्र, एलिफेलेत उसका तीसरा पुत्र.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
उलाम के सभी पुत्र बलवान योद्धा और धनुर्धारी थे. उनके अनेक पुत्र और पोते हुए, गिनती में 150. ये सभी बिन्यामिन वंश के थे.

< 1 Nyakati 8 >