< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Und Benjamin erzeugte Bela, seinen Erstgeborenen, Asbel, den zweiten, Ahrah, den dritten,
2 Noha, na Rafa.
Noha, den vierten, und Rapha den fünften.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Und Bela hatte folgende Söhne: Addar, Gera, Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naahman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Sephuphan und Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Und dies sind die Söhne Ehuds (Diese sind Familienhäupter der Bewohner von Geba, und sie führten sie als Gefangene hinweg nach Manahath;
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naaman, Ahia und Gera, der führte sie hinweg) und er erzeugte Ussa und Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Saharaim aber erzeugte im Gefilde der Moabiter, nachdem er sie verstoßen hatte - seine Weiber Husim und Baara -,
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
da erzeugte er mit seinem Weibe Hodes: Jobab, Zibja, Mesa, Malkam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jenz, Sochja und Mirma. Das sind seine Söhne, Familienhäupter.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Und mit Husim erzeugte er Abitub und Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Die Söhne Elpaals waren: Eber, Miseam und Semer. Dieser erbaute Ono und Lod samt den zugehörigen Ortschaften.
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Und Beria und Sema (das sind die Familienhäupter der Bewohner Ajalons; diese verjagten die Bewohner von Gath)
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
und sein Bruder Elpaal und Sasak und Jeremoth.
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Und Sebadja, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michael, Jispa und Joha waren die Söhne Berias.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Und Sebadja, Mesullam, Hiski, Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Jismerai, Jislia und Jobab waren die Söhne Elpaals.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Und Jakim, Sichri, Sabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaja, Beraja und Simrath waren die Söhne Simeis.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Und Jispan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Sichri, Hanon,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hananja, Elam, Anthothija,
25 Ifdeia, na Penueli.
Jiphdeja und Penuel waren die Söhne Sasaks.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Und Samserai, Seharja, Athalja,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaaresja, Elia und Sichri waren die Söhne Jerohams.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Diese waren Familienhäupter in ihren Geschlechtern, Oberhäupter; diese wohnten zu Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Und zu Gibeon wohnten: der Vater von Gibeon, Jeiel, und sein Weib hieß Maacha.
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
Und sein erstgeborener Sohn war Abdon, und Zur, Kis, Baal, Ner, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Ahjo und Secher.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Mikloth aber erzeugte Simea. Und auch sie wohnten ihren Brüdern gegenüber in Jerusalem bei ihren Brüdern.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Und Ner erzeugte Abner, und Kis erzeugte Saul, und Saul erzeugte Jonathan, Malchisua, Abinadab und Esbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Und der Sohn Jonathans war Meribaal, und Meribaal erzeugte Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Und die Söhne Michas waren Pithon, Melech, Tharea und Ahas.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahas aber erzeugte Joadda, Joadda erzeugte Alemeth, Asmaweth und Simri. Simri erzeugte Moza,
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Moza erzeugte Binea; dessen Sohn war Rapha, dessen Sohn war Eleasa, dessen Sohn war Azel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Azel aber hatte sechs Söhne; die hießen: Asrikam, Bochru, Ismael, Searja, Obadja und Hanan. Diese alle waren Söhne Azels.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Und die Söhne seines Bruders Esek waren: Ulam, sein Erstgeborener, Jeus, der zweite, und Eliphelet, der dritte.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Und die Söhne Ulams waren kriegstüchtige Männer, die den Bogen zu spannen wußten, und hatten zahlreiche Söhne und Enkel, 150 an der Zahl. Diese alle gehören zu den Benjaminiten.

< 1 Nyakati 8 >