< 1 Nyakati 8 >
1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Or Benjamin engendra Balé son premier-né, Asbel le second, Ahara le troisième,
Nohaa le quatrième, et Rapha le cinquième.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Et les fils de Balé furent Addar, Géra et Ahiud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisué aussi, Naaman, et Ahoé;
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Mais encore Géra, Séphuphan et Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Ceux-là sont fils d’Ahod, et princes des familles habitant à Gabaa, lesquels furent transférés à Manahath:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
C’est-à-dire Naaman, et Achia, et Géra; lui-même, Ahod, les transféra, et il engendra Oza et Ahiud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Mais Saharaïm engendra dans la contrée de Moab, après qu’il eut renvoyé Husim et Bara, ses femmes.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Il engendra donc de Hodès, sa femme, Joab, Sébia, Mosa et Molchom:
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jéhus aussi, et Séchia, et Marma; ceux-là sont ses fils et princes dans leurs familles.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Or Méhusim engendra Abitob et Elphaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Mais les fils d’Elphaal sont Héber, Misaam, et Samad: celui-ci bâtit Ono, et Lod et ses filles,
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Baria et Sama lurent princes des familles habitant à Aïalon: ce sont eux qui chassèrent les habitants de Geth.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
De plus, Ahio, Sésac, Jérimoth,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michaël, Jespha et Joha, sont les fils de Baria,
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Et Zabadia, Mosollam, Hézéci, Aéber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Jésamari, Jezlia et Johab, les fils d’Elphaal;
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Jacim, Zéchri, Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elioénaï, Séléthaï, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaïa. Baraïa et Samarath, les fils de Séméi;
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Jespham, Héber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zéchri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hanania, Aelam, Anathothia,
Jephdaïa et Phanuel, les fils de Sésac;
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Samsari, Sohoria, Otholia,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jersia, Elia et Zéchri, les fils de Jéroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Ce sont là les patriarches et les princes des familles qui ont habité à Jérusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Mais à Gabaod habitèrent Abigabaaon, dont le nom de la femme était Maacha;
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
Son fils, premier-né, Abdon, et les autres, Sur, Cis, Baal et Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Et aussi Gédor, Ahio, Zacher et Macelloth;
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Et Macelloth engendra Samaa; et ils habitèrent vis-à-vis de leurs frères, à Jérusalem, avec leurs frères.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Or Ner engendra Cis, et Cis engendra Saül. Mais Saül engendra Jonathan, Melchisua, Abinadab et Esbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Et le fils de Jonathan fut Méribbaal, et Méribbaal engendra Micha.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Les fils de Micha furent Phithon, Mélech, Tharaa et Ahaz,
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Et Ahaz engendra Joada, et Joada engendra Alamath, Azmoth et Zamri: or Zamri engendra Mosa;
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Et Mosa engendra Banaa, dont le fils fut Rapha, de qui est né Elasa, qui engendra Asel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Or Asel eut six fils de ces noms: Ezricam, Bocru, Ismaël, Saria, Obdia et Hanan: tous ceux-là furent fils d’Asel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Mais les fils d’Esec, son frère: Ulam, le premier-né, Jéhus, le second, et Eliphalet, le troisième.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Et les fils d’Ulam furent des hommes très vigoureux et tendant l’arc avec une grande force; ayant beaucoup de fils et de petits-fils, jusqu’à cent cinquante. Tous ceux-là sont les fils de Benjamin.