< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benjamin engendra Bela, son premier-né, Ashbel le second, Ahara le troisième,
2 Noha, na Rafa.
Noha le quatrième et Rapha le cinquième.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Bela eut des fils: Addar, Gera, Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Shephuphan et Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Voici les fils d'Ehud. Voici les chefs de famille des habitants de Guéba, qui ont été emmenés captifs à Manahath:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naaman, Achija et Guéra, qui les a emmenés captifs; et il est devenu le père d'Uzza et d'Achihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Shaharaim engendra des enfants dans les champs de Moab, après les avoir renvoyés. Hushim et Baara furent ses femmes.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Par Hodesh, sa femme, il engendra Jobab, Zibia, Mesha, Malcam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jeuz, Shachia et Mirmah. Ce sont là ses fils, chefs de famille.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Par Hushim, il engendra Abitub et Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Fils d'Elpaal: Eber, Misham et Shemed, qui bâtirent Ono et Lod, avec ses villes;
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
et Beriah et Shema, chefs de famille des habitants d'Aijalon, qui mirent en fuite les habitants de Gath;
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
et Ahio, Shashak, Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Zebadiah, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michael, Ishpah, Joha, fils de Beriah,
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Zebadiah, Meshullam, Hizki, Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Ishmerai, Izliah, Jobab, fils d'Elpaal,
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zichri, Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaiah, Beraja, Schimrath, les fils de Schimeï,
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Ishpan, Eber, Éliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zichri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hanania, Élam, Anthothija,
25 Ifdeia, na Penueli.
Iphdée, Penuel, les fils de Schaschak,
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Shamschéraï, Scheharia, Athalie,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaaréschiah, Élie, Zichri, les fils de Jerocham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Ce sont là des chefs de famille de génération en génération, des hommes de premier plan. Ils habitaient à Jérusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Le père de Gabaon, dont la femme s'appelait Maaca, habitait à Gabaon
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
avec son fils aîné Abdon, Tsur, Kish, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Ahio, Zecher,
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
et Mikloth, qui devint le père de Shimea. Ils habitaient aussi avec leurs familles à Jérusalem, près de leurs parents.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner engendra Kish. Kis est devenu le père de Saül. Saül engendra Jonathan, Malkishua, Abinadab et Eschbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Le fils de Jonathan était Merib-Baal. Merib-Baal engendra Michée.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Fils de Michée: Pithon, Mélec, Taréa et Achaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Achaz engendra Jéhoadda. Jehoadda engendra Alemeth, Azmaveth et Zimri. Zimri engendra Moza.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Moza engendra Binea. Raphah était son fils, Éléasa son fils, et Azel son fils.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Azel eut six fils, dont les noms sont les suivants: Azrikam, Bocheru, Ismaël, Sheariah, Abdias et Hanan. Tous ceux-là étaient les fils d'Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Fils d'Eschek, son frère: Ulam, son premier-né, Jeusch le second, et Eliphelet le troisième.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Les fils d'Ulam étaient de vaillants hommes, des archers, et ils eurent beaucoup de fils et de petits-fils, au nombre de cent cinquante. Tous ceux-là étaient des fils de Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >