< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benjamin's five sons were Bela his firstborn, Ashbel, Aharah,
2 Noha, na Rafa.
Nohah, and Rapha.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Bela's sons were Addar, Gera, Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abishua, Naaman, Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Shephuphan, and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
These were the descendants of Ehud who were heads of fathers' houses for the inhabitants of Geba, who were compelled to move to Manahath:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naaman, Ahijah, and Gera. The last, Gera, led them in their move. He was the father of Uzza and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Shaharaim became the father of children in the land of Moab, after he had divorced his wives Hushim and Baara.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
By his wife Hodesh, Shaharaim became the father of Jobab, Zibia, Mesha, Malkam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jeuz, Sakia, and Mirmah. These were his sons, heads of fathers' houses.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
He had already become the father of Abitub and Elpaal by Hushim.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Elpaal's sons were Eber, Misham, and Shemed (who built Ono and Lod with its surrounding villages).
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
There were also Beriah and Shema. They were heads of the fathers' houses of those living in Aijalon, who drove out the inhabitants of Gath.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
Beriah had these sons: Ahio, Shashak, Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Zebadiah, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Michael, Ishpah, and Joha were the sons of Beriah.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Elpaal had these sons: Zebadiah, Meshullam, Hizki, Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Ishmerai, Izliah, and Jobab.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Shimei had these sons: Jakim, Zikri, Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elienai, Zillethai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaiah, Beraiah, and Shimrath.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Shashak had these sons: Ishpan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zikri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hananiah, Elam, Anthothijah,
25 Ifdeia, na Penueli.
Iphdeiah, and Penuel.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Jeroham had these sons: Shamsherai, Shehariah, Athaliah,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaareshiah, Elijah, and Zikri.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These were heads of fathers' houses and chief men who lived in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
The father of Gibeon, Jeiel, whose wife's name was Maakah, lived in Gibeon.
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
His firstborn was Abdon, followed by Zur, Kish, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Ahio, and Zeker.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Another of Jeiel's sons was Mikloth, who became the father of Shimeah. They also lived near their relatives in Jerusalem.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner was the father of Kish. Kish was the father of Saul. Saul was the father of Jonathan, Malki-Shua, Abinadab, and Esh-Baal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
The son of Jonathan was Merib-Baal. Merib-Baal was the father of Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
The sons of Micah were Pithon, Melek, Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahaz became the father of Jehoaddah. Jehoaddah was the father of Alemeth, Azmaveth, and Zimri. Zimri was the father of Moza.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Moza was the father of Binea. Binea was the father of Raphah. Raphah was the father of Eleasah. Eleasah was the father of Azel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Azel had six sons: Azrikam, Bokeru, Ishmael, Sheariah, Obadiah, and Hanan. All these were sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
The sons of Eshek, his brother, were Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Ulam's sons were fighting men and archers. They had many sons and grandsons, a total of 150. All these belonged to the descendants of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >