< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Beniamin also begate Bela his eldest sonne, Ashbel the second, and Aharah the third,
2 Noha, na Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fift.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
And the sonnes of Bela were Addar, and Gera, and Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
And Abishua, and Naaman and Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
And Gera, and Shephuphan, and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
And these are the sonnes of Ehud: these were the chiefe fathers of those that inhabited Geba: and they were caryed away captiues to Monahath,
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
And Naaman, and Ahiah, and Gera, he caryed them away captiues: and he begate Vzza, and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
And Shaharaim begate certaine in the coutrey of Moab, after he had sent away Hushim and Baara his wiues.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
He begate, I say, of Hodesh his wife, Iobab and Zibia, and Mesha, and Malcham,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
And Ieuz and Shachia and Mirma: these were his sonnes, and chiefe fathers.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
And of Hushim he begat Ahitub and Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
And the sonnes of Elpaal were Eber, and Misham and Shamed (which built Ono, and Lod, and the villages thereof)
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
And Beriah and Shema (which were the chiefe fathers among the inhabitants of Aialon: they draue away the inhabitants of Gath)
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
And Ahio, Shashak and Ierimoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
And Sebadiah, and Arad, and Ader,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
And Michael, and Ispah, and Ioha, the sonnes of Beriah,
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
And Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
And Ishmerai and Izliah, and Iobab, the sonnes of Elpaal,
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Iakim also, and Zichri, and Sabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
And Elienai, and Zillethai, and Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
And Adaiah, and Beraiah, and Shimrah the sonnes of Shimei,
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
And Ishpan, and Eber, and Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
And Abdon, and Zichri, and Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
And Hananiah, and Elam, and Antothiiah,
25 Ifdeia, na Penueli.
Iphedeiah and Penuel ye sonnes of Shashak,
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
And Iaareshiah, and Eliah, and Zichri, the sonnes of Ieroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These were the chiefe fathers according to their generations, euen princes, which dwelt in Ierusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
And at Gibeon dwelt the father of Gibeon, and the name of his wife was Maachah.
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
And his eldest sonne was Abdon, then Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
And Gidor, and Ahio, and Zacher.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
And Mikloth begate Shimeah: these also dwelt with their brethren in Ierusalem, euen by their brethren.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
And Ner begate Kish, and Kish begat Saul, and Saul begate Ionathan, and Malchishua, and Abinadab, and Eshbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
And the sonne of Ionathan was Merib-baal, and Merib-baal begate Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
And the sonnes of Micah were Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
And Ahaz begate Iehoadah, and Iehoadah begate Alemeth, and Azmaueth, and Zimri, and Zimri begate Moza,
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
And Moza begate Bineah, whose sonne was Raphah, and his sonne Eleasah, and his sonne Azel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
And Azel had sixe sonnes, whose names are these, Azrikam, Bocheru and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan: all these were the sonnes of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
And the sonnes of Eshek his brother were Vlam his eldest sonne, Iehush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
And the sonnes of Vlam were valiant men of warre which shot with the bow, and had many sonnes and nephewes, an hundreth and fiftie: all these were of the sonnes of Beniamin.

< 1 Nyakati 8 >