< 1 Nyakati 7 >
1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
Los hijos de Isacar fueron Tola, Fua, Jasub, y Simerón, cuatro.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
Los hijos de Tola: Ozi, Rafaias, Jeriel, Jemai, Jebsem, y Samuel, cabezas en las familias de sus padres. De Tola fueron contados por sus linajes en el tiempo de David, veinte y dos mil y seiscientos varones valerosos de esfuerzo.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
Hijo de Ozi fue Izraías: y los hijos de Izraías fueron Micael, Abdías, Joel, y Jesías, todos cinco príncipes.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
Y había con ellos en sus linajes por las familias de sus padres treinta y seis mil hombres de guerra: porque tuvieron muchas mujeres e hijos.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Y sus hermanos por todas las familias de Isacar eran contados, todos por sus genealogías, ochenta y siete mil hombres valientes de esfuerzo.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
Los hijos de Ben-jamín fueron tres, Bela, Becor, y Jadiel.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Los hijos de Bela fueron Esbón, Ozi, Oziel, Jerimot, y Uraí, cinco cabezas de casas de linajes, hombres valientes de esfuerzo. Y de su linaje fueron contados veinte y dos mil y treinta y cuatro.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
Los hijos de Becor fueron Zamira, Joas, Eliezer, Elioenai, Amri, Jerimot, Abías, Anatot, y Almat, todos estos fueron hijos de Becor.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
Y cuando fueron contados por sus descendencias, por sus linajes, los que eran cabezas de sus familias, veinte mil y doscientos hombres valientes de esfuerzo.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
Hijo de Jadiel fue Balán: y los hijos de Balán, Jehús, Ben-jamín, Aod, Canaana, Zetán, Társis, y Ahi-sahar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
Todos estos fueron hijos de Jadiel, cabezas de familias, varones valientes de esfuerzo, diez y siete mil y doscientos que salían a la guerra en batalla.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
Y Suppim y Huppim, hijos de Hir: y Hasim, hijo de Aher.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
Los hijos de Neftalí fueron Jasiel, Guni, Jezer, y Sellum, hijos de Bala.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
Ítem, los hijos de Manasés fueron Esriel, el cual le parió su concubina la Sira, la cual también le parió a Maquir, padre de Galaad.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
Y Maquir tomó mujeres a Huppim, y a Suppim, el cual tuvo una hermana llamada Maaca. Y el nombre del segundo fue Salfaad. Y Salfaad tuvo hijas.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
Y Maaca mujer de Maquir le parió un hijo, y llamóle Fares. Y el nombre de su hermano fue Sares, cuyos hijos fueron Ulam, y Recem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
Hijo de Ulam fue Badán. Estos fueron los hijos de Galaad, hijo de Maquir, hijo de Manasés.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
Y su hermana Molehed parió a Iscud, y a Abiezer, y a Mohola.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
Y los hijos de Semida fueron Ahín, Sequem, Leci, y Aniam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
Los hijos de Efraím fueron Sutala, Bared su hijo, Tahat su hijo, Elada su hijo, Tahat su hijo,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
Zabad su hijo, y Sutala su hijo, Ezer y Elad. Mas los hijos de Get, naturales de aquella tierra, los mataron, porque vinieron a tomarles sus ganados.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Y Efraím su padre puso luto por muchos días, y vinieron sus hermanos a consolarle.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
Y entrando él a su mujer, ella concibió, y parió un hijo al cual puso nombre Beria; por cuanto había estado en dolor en su casa.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
Y su hija fue Sara, la cual edificó a Bet-orón la baja y la alta, y a Ozen-sara.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
Hijo de este fue Rafa, y Resef, y Tale su hijo, y Taán su hijo,
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
Ladaán su hijo, Ammiud su hijo, Elisama su hijo,
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Nun su hijo, Josué su hijo.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
Y su heredad y habitación fue Bet-el con sus aldeas; y hacia el oriente Norán; y a la parte del occidente Gazer y sus aldeas: asimismo Siquem con sus aldeas, hasta Asa y sus aldeas.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
Y a la parte de los hijos de Manasés, Bet-sán con sus aldeas, Tanac con sus aldeas, Mageddo con sus aldeas, Dor con sus aldeas. En estas habitaron los hijos de José, hijo de Israel.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
Los hijos de Aser fueron Jamna, Jesua, Jesui, Baria, y su hermana Sara.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
Los hijos de Baria fueron Jeber, y Melquiel, el cual fue padre de Barsait.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
Y Jeber engendró a Jeflat, Somer, Hotam, y Suaa hermana de ellos.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
Los hijos de Jeflat: Fosec, Camaal, y Asot, estos fueron los hijos de Jeflat.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
Y los hijos de Somer: Ahi, Roaga, Haba, y Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Los hijos de Helem su hermano: Sufa, Jemna, Selles, y Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
Los hijos de Sufa: Sue, Harnafet, Sual, Beri, Jamra,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Bosor, Hod, Samma, Salusa, Jetrán, y Bera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
Los hijos de Jeter: Jefone, Fasfa y Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
Y los hijos de Ulla: Arree, Haniel, y Resia.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
Todos estos fueron hijos de Aser, cabezas de familias de padres, escogidos, poderosos en fuerzas, cabezas de príncipes; y cuando fueron contados por sus linajes entre los hombres de guerra, el número de ellos fue veinte y seis mil varones.