< 1 Nyakati 7 >
1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
A synowie Isascharowi: Tola i Fua, Jasub, i Semram, czterej.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
A synowie Tolego: Uzy, i Rafajasz, i Jeryjel, i Jachamaj, i Jebsam, i Samuel; a cić byli książętami według domów ojców swych, którzy poszli z Tole, mężowie bardzo duży według narodów swych; poczet ich był za dni Dawodowych dwadzieścia i dwa tysiące i sześć set.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
A synowie Uzego: Izrahyjasz; a synowie Izrahyjaszowi: Michael i Obadyjasz, i Joel, Jesyjasz; pięć książąt wszystkich.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
A z nimi w narodach ich, według domów ojców ich, poczet mężów walecznych trzydzieści i sześć tysięcy; bo mieli wiele żon i synów.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
A braci ich według wszystkich rodzajów Isascharowych, mężów dużych było ośmdziesiąt i siedm tysięcy, wszystkich policzonych.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
Synowie Benjaminowi: Bela i Bechor, i Jedyjael, trzej.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Synowie zaś Belego: Esbon i Uzy, i Uzyjel, i Jerymot, i Iry; pięć książąt domów ojcowskich, mężów dużych; naliczono dwadzieścia i dwa tysiące, i trzydzieści i cztery.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
A synowie Bechorowi; Zamirai i Joaz, i Eliezer, i Elienaj, i Amry, i Jerymot, i Abijasz, i Anatot, i Alamat; wszyscy ci synowie Bechorowi.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
A naliczono ich według rodzajów ich, książąt domów ojców ich, mężów udatnych dwadzieścia tysięcy i dwieście.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
A synowie Jedyjaelowi: Bilan; a synowie Bilanowi: Jehus, i Banjamin, i Ehod, i Chanaan, i Zetan, i Tarsys, i Achysachar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
Tych wszystkich synów Jadyjaelowych według książąt domów ojcowskich, mężów bardzo dużych siedmnaście tysięcy i dwieście, wychodzących na wojnę do bitwy;
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
Oprócz Suppim i Ofim, synów w domu zrodzonych, i Husym, i synów w obcym kraju zrodzonych.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
A synowie Neftalimowi: Jachsel, i Guni, i Jesser, i Selem, synowie Bali.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
A synowie Manasesowi: Asryjel, którego mu urodziła Zona, (a założnica jego Syryjanka urodziła Machyra, ojca Galaadowego.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
A Machyr wziął sobie za żonę siostrę Ofimową i Suppimową, której imię było Maacha; ) a imię drugiego Salfaad, i miał Salfaad córki.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
A urodziła Maacha, żona Machyrowa, syna, i nazwała imię jego Fares; a imię brata jego Sares, a synowie jego Ulam i Rekiem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
A synowie Ulamowi Bedon. Cić są synowie Galaada, syna Machyrowego, syna Manasesowego.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
A siostra jego Molechet urodzi×a Isoda, i Abiezera, i Machala.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
A synowie Semidowi byli Ahyjan, i Sechem, i Likchy, i Anijam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
A synowie Efraimowi: Sutala, i Bered syn jego, i Tachat syn jego, i Elada syn jego, i Tachat syn jego;
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
I Zabad syn jego, i Sutala syn jego, i Eser, i Elad. A pobili ich mężowie z Get, co się byli zrodzili w onej ziemi; albowiem byli wtargnęli, aby pobrali dobytki ich.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Przetoż płakał Efraim, ojciec ich, przez wiele dni; i przyszli bracia jego, aby go cieszyli.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
Córkę też jego Seerę, która pobudowała Betoron niższe i wyższe, i Uzenzeera;
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
I Refacha syna jego, i Resefa, i Telacha syna jego, i Techena syna jego;
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
I Laadana syna jego, Ammiuda syna jego, Elisama syna jego;
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Nuna syna jego, Jozuego syna jego.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
A osiadłość ich i mieszkania ich, Betel i wsi jego; a na wschód słońca Naaran; a na zachód słońca Gazer i wsi jego, i Sychem i wsi jego, aż do Aza i wsi jego.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
A podle miejsc synów Manasesowych: Betsan, i wsi jego, Tanach i wsi jego, Magieddon i wsi jego, Dor i wsi jego. W tych mieszkali synowie Józefowi, syna Izraelowego.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
Synowie Aserowi: Jemna i Jesua, Iswy i Beryja, i Sera, siostra ich.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
A synowie Beryjaszowi: Heber i Melchyjel; ten jest ojciec Birsawitów,
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
A Heber spłodził Jafleta, i Somera, i Hotama, i Suę, siostrę ich.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
A synowie Jafletowi: Pasach i Bimhal i Aswat. Cić są synowie Jafletowi.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
A synowie Somerowi: Ahy i Rohaga, Jechuba i Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
A synowie Helema, brata jego: Sofach, Jemna, i Seles, i Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
Synowie Sofachowi: Suach, Harnefer, i Sual, i Bery, i Imra.
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Beser, i Hod, i Sema, i Silsa, i Jetram, i Bera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
A synowie Jeterowi: Jefone, i Fispa, i Ara, i Ulla.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
A synowie Ullowi: Arach, i Haniel, i Rysyjasz.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
Ci wszyscy są synowie Aserowi, książęta domów rodzajów swych, wybrani i duży mężowie, przedniejsi z książąt, którzy policzeni są na wojnę do bitwy; poczet tych mężów dwadzieścia i sześć tysięcy.