< 1 Nyakati 7 >

1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
Un Īsašara bērni bija: Tolus un Puūs, Jazubs un Šimrons, četri.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
Un Tolus bērni bija: Uzus un Revaja un Jeriēls un Jakmajus un Jebzams un Samuēls, savu tēvu namu virsnieki no Tolus, stipri varoņi savos rados; viņu skaits Dāvida laikā bija divdesmit divi tūkstoši un seši simti.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
Un Uzus bērni bija: Jezraja. Un Jezrajas bērni bija: Mikaēls un Obadija un Joēls, Jezija, - pavisam pieci virsnieki.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
Un tiem pēc saviem radiem, pēc saviem tēvu namiem bija karaspēka pulki trīsdesmit seši tūkstoši, jo tiem bija daudz sievu un bērnu.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Un viņu brāļi visos Īsašara rados bija stipri varoņi pēc uzzīmēšanas pavisam astoņdesmit septiņi tūkstoši.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
Benjamina (bērni) bija: Belus un Beķers un Jediaēls, trīs.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Un Belus bērni bija: Ecbons un Uzus un Uziēls un Jerimots un Īrus, pieci virsnieki savu tēvu namos, stipri varoņi, un pēc uzzīmēšanas divdesmit divtūkstoš trīsdesmit un četri.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
Un Beķera bērni bija: Zemirus un Joas un Eliēzers un Elioēnajus un Omrus un Jerimots un Abija un Anatots un Alemets, šie visi bija Beķera bērni.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
Un pēc uzzīmēšanas savos rados tie bija savu tēvu namu virsnieki, stipri vareni ļaudis, divdesmit tūkstoši divi simti.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
Un Jediaēļa bērni bija: Bilhans. Un Bilhana bērni bija: Jeūs un Benjamins un Eūds un Knaēna un Zetans un Taršišs un Aķizaārs.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
Visi šie ir Jediaēļa bērni, tēvu namu virsnieki, stipri varoņi, septiņpadsmit tūkstoši divsimt, kas karā gāja.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
Un Zupims un Hupims bija Īra bērni, un Hušims - Aķera bērni.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
Naftalus bērni bija: Jakciēls un Gunus un Jecers un Šalums, Bilhas bērni.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
Manasus bērni bija: Ezriēls, kas viņam piedzima. Un viņa lieka sieva no Arama tam dzemdēja Mahiru, Gileāda tēvu.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
Un Mahirs ņēma par sievu Hupima un Zupima māsu, un viņas vārds bija Maēka. Un tā otra vārds bija Celofehads, un Celofehadam bija meitas.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
Un Mahira sieva Maēka dzemdēja dēlu un sauca viņa vārdu Peres, un viņa brāļa vārds bija Zares, un šā dēli bija Ulams un Raķems.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
Un Ulama bērni bija: Bedans. Šie bija Gileāda bērni, tas bija Mahira, tas Manasus dēls.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
Un viņa māsa Moleķete dzemdēja Izudu un Abiēzeru un Maēlu.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
Un Zemidas bērni bija: Aķejans un Šehems un Likus un Aniams.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
Un Efraīma bērni bija: Zutelaks, tā dēls Bereds, tā Takats, tā Elada, tā Takats,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
Tā Zabads, tā Zutelaks un Ezers un Eleads. Un Gatas vīri, tās zemes iedzīvotāji, šos nokāva, tāpēc ka tie bija nākuši lejā, viņu lopus atņemt.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Un Efraīms, viņu tēvs, žēlojās ilgu laiku, un viņa brāļi nāca to iepriecināt.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
Un viņš gāja pie savas sievas, un tā tapa grūta un dzemdēja dēlu un viņš nosauca viņa vārdu Briju, tāpēc ka bēdas aizņēmušas viņa namu.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
Un viņa meita bija Zeēra; tā uztaisīja Lejas un Kalna BetOronu un UzenZeēru.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
Un Repus bija viņa dēls, tā dēls Rezeps un Telus, tā dēls Taāns,
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
Tā Laēdans, tā Amjuds, tā Elišama,
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Tā Nuns, tā Jozuas.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
Un viņu īpašums un mājvieta bija Bētele ar saviem ciemiem un pret rītiem Naērana un pret vakara pusi Ģezera ar saviem ciemiem, un Šeheme ar saviem ciemiem, līdz Gazai un viņas ciemiem.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
Un sānis Manasus bērniem bija Betzeana ar saviem ciemiem, Taēnaka ar saviem ciemiem, Meģidus ar saviem ciemiem, Dora ar saviem ciemiem. Tanīs dzīvoja Jāzepa, Israēla dēla, bērni.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
Ašera bērni bija: Jemnus un Ješvus un Jisvi un Berius un Zera, viņu māsa.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
Un Berius bērni bija: Hebers un Malķiēls, šis ir Birzavita tēvs.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
Un Hebers dzemdināja Javletu un Zomeru un Otamu un Zuū, viņu māsu.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
Un Javleta bērni bija: Pazaks un Bimeals un Azvats; šie bija Javleta bērni.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
Un Zomera bērni bija: Akus un Ragus un Jeūbus un Arams.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Un viņa brāļa Elema bērni bija: Zefus un Jemnus un Zeles un Amals.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
Covas bērni bija: Zuūs un Arnevers un Zuals un Berus un Jemrus,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Becers un Ods un Šamus un Zilza un Jetrans un Beēra.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
Un Jetera bērni bija: Jefunnus, Vizvus un Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
Un Ulas bērni bija: Araks un Aniēls un Ricja.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
Visi šie bija Ašera bērni, tēvu nama virsnieki, izlasīti stipri varoņi, lielkungu virsnieki. Un pēc uzzīmēšanas kara spēkā tie bija skaitā divdesmit seštūkstoš vīri.

< 1 Nyakati 7 >