< 1 Nyakati 7 >

1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
ED I figliuoli d'Issacar[furono] quattro; Tola e Pua, Iasub e Simron.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
Ed i figliuoli di Tola [furono] Uzzi, e Refaia, e Ieriel, e Iamai, ed Ibsam, e Samuele, capi delle lor nazioni paterne [discese] di Tola; [ed erano] uomini di valore nelle lor generazioni. Il numero loro, al tempo di Davide, fu di ventiduemila seicento.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
E il figliuolo di Uzzi fu Izrahia; ed i figliuoli d'Izrahia [furono] Micael, ed Obadia, e Ioel, ed Isia; in tutto cinque capi.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
Ed [aveano] con loro, per le lor generazioni, e per le famiglie loro paterne, delle schiere di gente, [in numero di] trentaseimila [uomini]; perciocchè essi aveano molte mogli, e molti figliuoli.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Ed i lor fratelli, di tutte le [altre] nazioni d'Issacar, uomini di gran valore, annoverati tutti insieme, secondo le lor generazioni, [furono] ottantasettemila.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
I [FIGLIUOLI di] Beniamino[furono] Bela, e Becher, e Iediael; tre [in tutto].
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Ed i figliuoli di Bela [furono] Esbon, ed Uzzi, ed Uzziel, e Ierimot, ed Iri; cinque capi di famiglie paterne, uomini di gran valore. E [quando] furono annoverati secondo le lor generazioni, [il numero loro fu di] ventiduemila trentaquattro.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
Ed i figliuoli di Becher [furono] Zemira, e Ioas, ed Eliezer, ed Elioenai, ed Omri, e Ieremot, ed Abia, ed Anatot, ed Alemet. Tutti questi [furono] figliuoli di Becher.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
Ed essendo annoverati per le lor generazioni, nazioni, e capi delle famiglie paterne, [il numero] loro [fu di] ventimila dugent'uomini di valore.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
E di Iedial [fu] figliuolo Bilhan. Ed i figliuoli di Bilhan [furono] Ieus, e Beniamino, ed Ehud, e Chenaana, e Zetan, e Tarsis, ed Ahisahar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
Tutti questi [furono] figliuoli di Iediael, [che furono] per capi di [famiglie] paterne, [uomini] di gran valore, [in numero di] diciassettemila dugent'[uomini], che potevano andare alla guerra.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
E Suppim, ed Huppim, [furono] figliuoli d'Ir; ed Husim [fu] figliuolo di Aher.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
I figliuoli di Neftali[furono] Iaoel, e Guni, e Ieser, e Sallum; discendenti di Bilha.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
DI MANASSE [fu] figliuolo Asriel, il quale [la moglie di Galaad] partorì (la concubina Sira di Manasse avea partorito Machir, padre di Galaad.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
E Machir prese per moglie la sorella di Huppim, e di Suppim, il cui nome [era] Maaca); il nome dell'altro fu Selofad; Selofad ebbe [solo] figliuole femmine.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
E Maaca, moglie di Machir, partorì un figliuolo, al quale ella pose nome Peres; poi [un altro] suo fratello, [al quale pose] nome Seres, i cui figliuoli [furono] Ulam e Rechem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
E di Ulam [fu] figliuolo Bedan. Questi [furono] i figliuoli di Galaad figliuolo di Machir, figliuolo di Manasse.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
E Molechet, sua sorella, partorì Ishod, ed Abiezer, e Mala.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
Ed i figliuoli di Semida furono Ahian, e Sechem, e Lichi, ed Aniam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
E D'EFRAIM[fu] figliuolo Sutela, di cui [fu] figliuolo Bered, di cui [fu] figliuolo Tahad, di cui [fu] figliuolo Elada, di cui [fu] figliuolo Tahat,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
di cui [fu] figliuolo Zabad, di cui [furono] figliuoli Sutela, ed Ezer, ed Elad. Ma que' di Gat, natii del paese, li uccisero; perciocchè erano scesi per predare i lor bestiami.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Ed Efraim, lor padre, ne fece cordoglio molti giorni; ed i suoi fratelli vennero a consolarlo.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
Poi egli entrò dalla sua moglie, la quale concepette, e partorì un figliuolo; ed egli chiamò il nome di esso Beria; perciocchè [egli era nato] nell'afflizione [ch]'era avvenuta alla sua casa.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
E la sua figliuola [fu] Seera, la quale edificò Bet-horon disopra, e Bet-horon disotto, e Uzzen-Seera.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
E d'esso [Beria fu] figliuolo Refa, di cui [furono] figliuoli Resef e Tela, di cui [fu] figliuolo Tahan,
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
di cui [fu] figliuolo Ladan, di cui [fu] figliuolo Ammihud, di cui [fu] figliuolo Elisama,
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
di cui [fu] figliuolo Non, di cui [fu] figliuolo Giosuè.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
E la lor possessione, e le loro abitazioni [furono] Betel, e le terre del suo territorio; e dall'Oriente: Naaran; e dall'Occidente: Ghezer, e le terre del suo territorio; e Sichem, e le terre del suo territorio; ed Aza, e le terre del suo territorio.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
E nella contrada de' figliuoli di Manasse: Betsean, e le terre del suo territorio; Tanac, e le terre del suo territorio; Meghiddo, e le terre del suo territorio; Dor, e le terre del suo territorio. In questi [luoghi] abitarono i figliuoli di Giuseppe, figliuolo d'Israele.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
I FIGLIUOLI di Aser [furono] Imna, ed Isua, ed Isui, e Beria, e Sera, lor sorella.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
Ed i figliuoli di Beria [furono] Heber, e Malchiel, che [fu] padre di Birzavit.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
Ed Heber generò Iaflet, e Somer, ed Hotam; e Sua, lor sorella.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
Ed i figliuoli di Iaflet [furono] Pasac, e Bimhal, ed Asvat. Questi [furono] i figliuoli di Iaflet.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
Ed i figliuoli di Semer [furono] Ahi, e Rohega, e Iehubba, ed Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Ed i figliuoli di Helem, fratello di esso, [furono] Sofa, ed Imna, e Seles, ed Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
I figliuoli di Sofa [furono] Sua, ed Harnefer, e Sual, e Beri, ed Imra,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
e Beser, ed Hod, e Samma, e Silsa, ed Itran, e Beera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
Ed i figliuoli di Ieter [furono] Gefunne, e Pispa, ed Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
Ed i figliuoli di Ulla [furono] Ara, ed Hanniel, e Risia.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
Tutti costoro [furono] figliuoli di Aser, capi di famiglie paterne, [uomini] scelti, e di gran valore, capi de' principali. Ed essendo annoverati per le lor generazioni, il numero loro, per andare alla guerra, [fu di] ventiseimila uomini.

< 1 Nyakati 7 >