< 1 Nyakati 7 >
1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
Et les fils d’Issacar: Thola, et Pua, Jashub, et Shimron, quatre.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
Et les fils de Thola: Uzzi, et Rephaïa, et Jeriel, et Jakhmaï, et Jibsam, et Samuel, chefs de leurs maisons de pères, de Thola, hommes forts et vaillants, dans leurs générations; leur nombre, aux jours de David, fut de 22 600.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
– Et les fils d’Uzzi: Jizrakhia; et les fils de Jizrakhia: Micaël, et Abdias, et Joël, [et] Jishija, cinq, tous des chefs.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
Et avec eux, suivant leurs générations, selon leurs maisons de pères, il y eut des bandes de guerre pour combattre, 36 000 hommes; car ils avaient beaucoup de femmes et de fils.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Et leurs frères de toutes les familles d’Issacar, hommes forts et vaillants, furent en tout 87 000, enregistrés dans les généalogies.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
[Fils de] Benjamin: Béla, et Béker, et Jediaël, trois.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Et les fils de Béla: Etsbon, et Uzzi, et Uziel, et Jerimoth, et Iri, cinq, chefs de maisons de pères, hommes forts et vaillants, et, enregistrés dans les généalogies, 22 034.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
– Et les fils de Béker: Zemira, et Joash, et Éliézer, et Élioénaï, et Omri, et Jerémoth, et Abija, et Anathoth, et Alémeth; tous ceux-là étaient fils de Béker;
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
et, enregistrés dans les généalogies, selon leurs générations, des chefs de leurs maisons de pères, hommes forts et vaillants, 20 200.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
– Et les fils de Jediaël: Bilhan; et les fils de Bilhan: Jehush, et Benjamin, et Éhud, et Kenaana, et Zéthan, et Tarsis, et Akhishakhar;
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
tous ceux-là étaient fils de Jediaël, selon les chefs des pères, hommes forts et vaillants, 17 200, formés au service pour la guerre.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
– Et Shuppim et Huppim, fils d’Ir. – Hushim: les fils d’Akher.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
Les fils de Nephthali: Jahtsiel, et Guni, et Jétser, et Shallum, les fils de Bilha.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
Les fils de Manassé: Asriel, … qu’elle enfanta. Sa concubine syrienne enfanta Makir, père de Galaad.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
Et Makir prit une femme, [la sœur] de Huppim et de Shuppim; et le nom de leur sœur était Maaca. Et le nom du second [fils] était Tselophkhad; et Tselophkhad n’eut que des filles.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
Et Maaca, femme de Makir, enfanta un fils, et l’appela du nom de Péresh; et le nom de son frère, Shéresh; et ses fils: Ulam et Rékem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
Et les fils d’Ulam: Bedan. Ce sont là les fils de Galaad, fils de Makir, fils de Manassé.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
– Et sa sœur Moléketh enfanta Ishhod, et Abiézer, et Makhla.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
– Et les fils de Shemida furent Akhian, et Sichem, et Likkhi, et Aniam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
Et les fils d’Éphraïm: Shuthélakh; et Béred, son fils; et Thakhath, son fils; et Elhada, son fils; et Thakhath, son fils;
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
et Zabad, son fils; et Shuthélakh, son fils; et Ézer, et Elhad. Et les gens de Gath, qui étaient nés dans le pays, les tuèrent; car ils étaient descendus pour prendre leurs troupeaux.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Et Éphraïm, leur père, mena deuil pendant nombre de jours; et ses frères vinrent pour le consoler.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
Et il vint vers sa femme; et elle conçut, et enfanta un fils; et elle l’appela du nom de Beriha, car [il était né] quand le malheur était dans sa maison.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
Et sa fille fut Shééra; et elle bâtit Beth-Horon, la basse et la haute, et Uzzen-Shééra.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
Et son fils fut Réphakh; et Résheph, et Thélakh, son fils; et Thakhan, son fils;
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
Lahdan, son fils; Ammihud, son fils; Élishama, son fils;
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Nun, son fils; Josué, son fils.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
Et leur possession et leurs habitations furent Béthel et les villages de son ressort; et au levant, Naaran; et au couchant, Guézer et les villages de son ressort, et Sichem et les villages de son ressort, jusqu’à Gaza et les villages de son ressort.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
Et aux mains des fils de Manassé étaient: Beth-Shean et les villages de son ressort, Thaanac et les villages de son ressort, Meguiddo et les villages de son ressort, Dor et les villages de son ressort. Les fils de Joseph, fils d’Israël, habitèrent dans ces [villes].
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
Les fils d’Aser: Jimna, et Jishva, et Jishvi, et Beriha, et Sérakh, leur sœur.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
Et les fils de Beriha: Héber et Malkiel; (il était père de Birzavith).
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
Et Héber engendra Japhleth, et Shomer, et Hotham, et Shua, leur sœur.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
Et les fils de Japhleth: Pasac, et Bimhal, et Ashvath; ce sont là les fils de Japhleth.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
– Et les fils de Shémer: Akhi, et Rohga, et Hubba, et Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
– Et les fils d’Hélem, son frère: Tsophakh, et Jimnah, et Shélesh, et Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
Les fils de Tsophakh: Suakh, et Harnépher, et Shual, et Béri, et Jimra,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Bétser, et Hod, et Shamma, et Shilsha, et Jithran, et Beéra.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
– Et les fils de Jéther: Jephunné, et Pispa, et Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
– Et les fils d’Ulla: Arakh, et Hanniel, et Ritsia.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
– Tous ceux-là étaient fils d’Aser, chefs de maisons de pères, hommes d’élite, forts et vaillants hommes, chefs des princes; et, selon leur enregistrement généalogique dans l’armée pour la guerre, leur nombre fut de 26 000 hommes.