< 1 Nyakati 7 >
1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
Des fils d'Issachar: Tola, Puah, Jashub et Shimron, quatre.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
Fils de Tola: Uzzi, Rephaja, Jeriel, Jahmaï, Ibsam et Shemuel, chefs des maisons de leurs pères, de Tola; hommes vaillants dans leurs générations. Leur nombre, du temps de David, était de vingt-deux mille six cents.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
Fils d'Uzzi: Jizrachia. Fils de Jizrachiah: Micaël, Abdias, Joël et Jischja, au nombre de cinq; tous étaient des chefs.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
Avec eux, selon leurs générations, selon les maisons de leurs pères, il y avait des troupes pour la guerre, au nombre de trente-six mille; car ils avaient beaucoup de femmes et de fils.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Leurs frères, parmi toutes les familles d'Issacar, hommes vaillants, tous enregistrés selon leur généalogie, étaient quatre-vingt-sept mille.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
Fils de Benjamin: Bela, Becher et Jediael, trois.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Fils de Béla: Ezbon, Uzzi, Uzziel, Jerimoth et Iri, cinq; chefs de maisons paternelles, vaillants hommes; ils étaient au nombre de vingt-deux mille trente-quatre par généalogie.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
Fils de Becher: Zemirah, Joas, Eliezer, Eliœnai, Omri, Jeremoth, Abijah, Anathoth et Alemeth. Tous ceux-là étaient les fils de Bécher.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
Ils furent classés par généalogie, selon leurs générations, chefs des maisons de leurs pères, vaillants hommes, au nombre de vingt mille deux cents.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
Fils de Jediaël: Bilhan. Fils de Bilhan: Jeush, Benjamin, Ehud, Chenaana, Zethan, Tarsis et Ahishahar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
Tous ceux-là étaient fils de Jediaël, selon les chefs de famille de leurs pères, hommes vaillants, au nombre de dix-sept mille deux cents, aptes à aller à l'armée pour la guerre.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
Il en était de même de Shuppim, de Huppim, des fils de Ir, de Hushim et des fils de Aher.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
Fils de Nephtali: Jahziel, Guni, Jezer, Shallum, et les fils de Bilha.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
Fils de Manassé: Asriel, qu'a porté sa concubine l'Aramitesse. Elle enfanta Makir, père de Galaad.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
Machir prit une femme de Huppim et de Shuppim, dont la sœur s'appelait Maaca. Le nom de la seconde était Zelophehad; et Zelophehad eut des filles.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
Maaca, femme de Makir, enfanta un fils, qu'elle appela Peresh. Le nom de son frère était Sheresh; ses fils étaient Ulam et Rakem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
Fils d'Ulam: Bedan. Ce sont là les fils de Galaad, fils de Makir, fils de Manassé.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
Sa sœur Hammolecheth enfanta Ishhod, Abiezer et Mahla.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
Les fils de Shemida furent: Ahian, Sichem, Likhi et Aniam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
Fils d'Ephraïm: Shuthelah, Bered, son fils, Tahath, son fils, Eleada, son fils, Tahath, son fils,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
Zabad, son fils, Shuthelah, son fils, Ezer et Elead, que les hommes de Gath, nés dans le pays, tuèrent, parce qu'ils étaient descendus pour prendre leurs troupeaux.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Ephraïm, leur père, fut longtemps dans le deuil, et ses frères vinrent le consoler.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
Il alla vers sa femme; elle conçut et enfanta un fils, qu'il appela Beriah, parce qu'il y avait du trouble dans sa maison.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
Sa fille était Schéérah, qui bâtit Beth Horon le bas et le haut, et Uzzen Schéérah.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
Il eut pour fils Repha, pour fils Resheph, pour fils Telah, pour fils Tahan, pour fils
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
Ladan, pour fils Ammihud, pour fils Elishama, pour fils
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Nun, pour fils et Josué, pour fils.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
Leurs possessions et leurs établissements étaient Béthel et ses villes, à l'orient Naaran, à l'occident Guézer et ses villes, Sichem et ses villes, jusqu'à Azza et ses villes,
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
et, sur le territoire des fils de Manassé, Beth-Shean et ses villes, Taanac et ses villes, Meguiddo et ses villes, Dor et ses villes. Les enfants de Joseph, fils d'Israël, habitèrent dans ces localités.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
Fils d'Asher: Imnah, Ishvah, Ishvi et Beriah. Sérah était leur sœur.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
Fils de Beria: Héber et Malkiel, qui fut le père de Birzaith.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
Héber engendra Japhlet, Shomer, Hotham et Shua, leur sœur.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
Fils de Japhlet: Pasach, Bimhal et Ashvath. Ce sont les fils de Japhlet.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
Fils de Shemer: Ahi, Rohga, Jehubba et Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Fils de Helem, son frère: Zopha, Imna, Shelesh et Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
Fils de Zopha: Sua, Harnépher, Schual, Beri, Imrah,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Bezer, Hod, Shamma, Schilsha, Ithran et Beera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
Fils de Jéther: Jephunné, Pispa et Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
Fils d'Ulla: Arach, Hanniel et Rizia.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
Tous ceux-là étaient les fils d'Aser, chefs des maisons paternelles, hommes de choix et vaillants, chefs des princes. Le nombre de ceux qui étaient inscrits sur les listes généalogiques pour servir à la guerre était de vingt-six mille hommes.