< 1 Nyakati 7 >

1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
The sons of Issachar: Tola, Puah, Jashub and Shimron—a total of four.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
The sons of Tola: Uzzi, Rephaiah, Jeriel, Jahmai, Ibsam, and Samuel—leaders of their families. In the time of David, the descendants of Tola listed in their genealogy a total of 22,600 warriors.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
The son of Uzzi: Izrahiah. The sons of Izrahiah: Michael, Obadiah, Joel, and Isshiah. All five were family heads.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
They had many wives and sons and so in their genealogy they list 36,000 battle-ready fighting men.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
The relatives who were warriors belonging to all the families of Issachar, according to their genealogy, were 87,000 in total.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
Three sons of Benjamin: Bela, Beker, and Jediael.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
The sons of Bela: Ezbon, Uzzi, Uzziel, Jerimoth, and Iri, leaders of their families—a total of five. They had 22,034 fighting men according to their genealogy.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
The sons of Beker: Zemirah, Joash, Eliezer, Elioenai, Omri, Jeremoth, Abijah, Anathoth, and Alemeth. These were all the sons of Beker.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
Their genealogy included the family heads and 20,200 fighting men.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
The son of Jediael: Bilhan. The sons of Bilhan: Jeush, Benjamin, Ehud, Kenaanah, Zethan, Tarshish, and Ahishahar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
All these sons of Jediael were family heads. They had 17,200 battle-ready warriors.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
Shuppim and Huppim were sons of Ir, and Hushim was the son of Aher.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
The sons of Naphtali: Jahziel, Guni, Jezer, and Shallum—the descendants of Bilhah.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
The sons of Manasseh: Asriel whose mother was his Aramean concubine. She was also the mother of Makir, the father of Gilead.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
Makir found a wife for Huppim and a wife for Shuppim. His sister's name was Maacah. The second was called Zelophehad. She only had daughters.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
Maacah, Makir's wife, had a son and called him Peresh. His brother was called Sheresh, and his sons were Ulam and Rakem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
The son of Ulam: Bedan. These were all the sons of Gilead, son of Makir, son of Manasseh.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
His sister Hammoleketh was the mother of Ishhod, Abiezer, and Mahlah.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
The sons of Shemida were: Ahian, Shechem, Likhi, and Aniam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
The descendants of Ephraim: Shuthelah, Bered his son, Tahath his son, Eleadah his son, Tahath his son,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
Zabad his son, and Shuthelah his son. Ezer and Elead were killed by the men who were living in Gath when they went there to try and steal their livestock.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Their father Ephraim mourned for them a long time, and his relatives came to comfort him.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
Then he slept with his wife again. She became pregnant and gave birth to a son, whom he named him Beriah because of this family tragedy.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
Sheerah, his daughter, founded Lower and Upper Beth Horon together with Uzzen Sheerah.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
Rephah was his son, Resheph his son, Telah his son, Tahan his son,
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
Ladan his son, Ammihud his son, Elishama his son,
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Nun his son and Joshua his son.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
The land they owned and the places they lived included Bethel and nearby towns, from Naaran to the east to Gezer and its towns to the west, and Shechem and its towns up to Ayyah and its towns.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
On the border with Manasseh were Beth Shan, Taanach, Megiddo, and Dor, along with their towns. These were the towns where the descendants of Joseph son of Israel lived.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
The sons of Asher: Imnah, Ishvah, Ishvi, and Beriah. Their sister was Serah.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
The sons of Beriah: Heber and Malkiel, the father of Birzaith.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
Heber was the father of Japhlet, Shomer, and Hotham, and of their sister Shua.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
The sons of Japhlet: Pasach, Bimhal, and Ashvath. These were all the sons of Japhlet.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
The sons of Shomer: Ahi, Rohgah, Hubbah, and Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
The sons of his brother Helem: Zophah, Imna, Shelesh, and Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
The sons of Zophah: Suah, Harnepher, Shual, Beri, Imrah,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Bezer, Hod, Shamma, Shilshah, Ithran, and Beera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
The sons of Jether: Jephunneh, Pispah, and Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
The sons of Ulla: Arah, Hanniel, and Rizia.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
These were all descendants of Asher—family heads, proven men, strong warriors, and great leaders. According to their genealogy, they had 26,000 battle-ready warriors.

< 1 Nyakati 7 >