< 1 Nyakati 7 >

1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
And [as] to the sons of Issachar, [they were] Thola, and Phua, and Jasub, and Semeron, four.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
And the sons of Thola; Ozi, Raphaia, and Jeriel, and Jamai, and Jemasan, and Samuel, chiefs of their fathers' houses [belonging to] Thola, men of might according to their generations; their number in the days of David [was] twenty and two thousand and six hundred.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
And the sons of Ozi; Jezraia: and the sons of Jezraia; Michael, Abdiu, and Joel, and Jesia, five, all rulers.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
And with them, according to their generations, according to the houses of their families, [were men] mighty to set [armies] in array for war, thirty and six thousand, for they had multiplied [their] wives and children.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
And their brethren among all the families of Issachar, also mighty men, [were] eighty-seven thousand—[this was] the number of them all.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
The sons of Benjamin; Bale, and Bachir, and Jediel, three.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
And the sons of Bale; Esebon, and Ozi, and Oziel, and Jerimuth, and Uri, five; heads of houses of families, mighty men; and their number [was] twenty and two thousand and thirty-four.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
And the sons of Bachir; Zemira, and Joas, and Eliezer, and Elithenan, and Amaria, and Jerimuth, and Abiud, and Anathoth, and Eleemeth: all these [were] the sons of Bachir.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
And their number according to their generations, ([they were] chiefs of their fathers' houses, men of might), [was] twenty thousand and two hundred.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
And the sons of Jediel; Balaan: and the sons of Balaan; Jaus, and Benjamin, and Aoth, and Chanana, and Zaethan, and Tharsi, and Achisaar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
All these [were] the sons of Jediel, chiefs of their families, men of might, seventeen thousand and two hundred, going forth to war with might.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
And Sapphin, and Apphin, and the sons of Or, Asom, whose son [was] Aor.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
The sons of Nephthali; Jasiel, Goni, and Aser, and Sellum, his sons, Balam his son.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
The sons of Manasse; Esriel, whom his Syrian concubine bore; and she bore to him also Machir the father of Galaad.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
And Machir took a wife for Apphin and Sapphin, and his sister's name was Moocha; and the name of the second [son] was Sapphaad; and to Sapphaad were born daughters.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
And Moocha the wife of Machir bore a son, and called his name Phares; and his brother's name [was] Surus; his sons [were] Ulam, and Rocom.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
And the sons of Ulam; Badam. These [were] the sons of Galaad, the son of Machir, the son of Manasse.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
And his sister Malecheth bore Isud, and Abiezer, and Maela.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
And the sons of Semira were, Aim, and Sychem, and Lakim, and Anian.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
And the sons of Ephraim; Sothalath, and Barad his son, and Thaath his son, Elada his son, Saath his son,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
and Zabad his son, Sothele his son, and Azer, and Elead: and the men of Geth who were born in the land slew them, because they went down to take their cattle.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
And their father Ephraim mourned many days, and his brethren came to comfort him.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
And he went in to his wife, and she conceived, and bore a son, and he called his name Beria, because, [said he], he was afflicted in my house.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
And his daughter [was] Saraa, and he was among them that were left, and he built Baethoron the upper and the lower. And the descendants of Ozan [were] Seera,
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
and Raphe his son, Saraph and Thalees his sons, Thaen his son.
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
To Laadan his son [was born his] son Amiud, his son Helisamai, [his] son
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Nun, [his] son Jesue, [these were] his sons.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
And their possession and their dwelling [were] Baethel and her towns, to the east Noaran, westward Gazer and her towns, and Sychem and her towns, as far as Gaza and her towns.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
And as far as the borders of the sons of Manasse, Baethsaan and her towns, Thanach and her towns, Mageddo and her towns, Dor and her towns. In this the children of Joseph the son of Israel dwelt.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
The sons of Aser; Jemna, and Suia, and Isui, and Beria, and Sore their sister.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
And the sons of Beria; Chaber, and Melchiel; he [was] the father of Berthaith.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
And Chaber begot Japhlet, and Samer, and Chothan, and Sola their sister.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
And the sons of Japhlet; Phasec, and Bamael, and Asith: these [are] the sons of Japhlet.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
And the sons of Semmer; Achir, and Rooga, and Jaba, and Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
And the sons of Elam his brother; Sopha, and Imana, and Selles, and Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
The sons of Sopha; Sue, and Arnaphar, and Suda, and Barin, and Imran,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
and Basan, and Oa, and Sama, and Salisa, and Jethra, and Beera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
And the sons of Jether, Jephina, and Phaspha, and Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
And the sons of Ola; Orech, Aniel, and Rasia.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
All these [were] the sons of Aser, all heads of families, choice, mighty men, chief leaders: their number for battle array—their number [was] twenty-six thousand men.

< 1 Nyakati 7 >