< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
LOS hijos de Leví: Gersón, Coath, y Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Los hijos de Coath: Amram, Ishar, Hebrón y Uzziel.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
Los hijos de Amram: Aarón, Moisés, y Mariam. Los hijos de Aarón: Nadab, Abiú, Eleazar, é Ithamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Eleazar engendró á Phinees, y Phinees engendró á Abisua:
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Y Abisua engendró á Bucci, y Bucci engendró á Uzzi;
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Y Uzzi engendró á Zeraías, y Zeraías engendró á Meraioth;
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Y Meraioth engendró á Amarías, y Amarías engendró á Achîtob;
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Y Achîtob engendró á Sadoc, y Sadoc engendró á Achîmaas;
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Y Achîmaas engendró á Azarías, y Azarías engendró á Johanan;
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Y Johanan engendró á Azarías, el que tuvo el sacerdocio en la casa que Salomón edificó en Jerusalem;
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Y Azarías engendró á Amarías, y Amarías engendró á Achîtob;
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Y Achîtob engendró á Sadoc, y Sadoc engendró á Sallum;
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Y Sallum engendró á Hilcías, é Hilcías engendró á Azarías;
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Y Azarías engendró á Seraíah, y Seraíah engendró á Josadec.
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
Y Josadec fué [cautivo] cuando Jehová trasportó á Judá y á Jerusalem por mano de Nabucodonosor.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Los hijos de Leví: Gersón, Coath, y Merari.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
Y estos son los nombres de los hijos de Gersón: Libni, y Simi.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Los hijos de Coath: Amram, Ishar, Hebrón, y Uzziel.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Los hijos de Merari: Mahali, y Musi. Estas son las familias de Leví, según sus descendencias.
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
Gersón: Libni su hijo, Joath su hijo, Zimma su hijo,
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
Joab su hijo, Iddo su hijo, Zera su hijo, Jeothrai su hijo.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Los hijos de Coath: Aminadab su hijo, Coré su hijo, Asir su hijo,
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
Elcana su hijo, Abiasaph su hijo, Asir su hijo,
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
Thahath su hijo, Uriel su hijo, Uzzia su hijo, y Saúl su hijo.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
Los hijos de Elcana: Amasai, Achîmoth, y Elcana.
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
Los hijos de Elcana: Sophai su hijo, Nahath su hijo,
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
Eliab su hijo, Jeroham su hijo, Elcana su hijo.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
Los hijos de Samuel: el primogénito Vasni, y Abías.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Los hijos de Merari: Mahali, Libni su hijo, Simi su hijo, Uzza su hijo,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
Sima su hijo, Haggía su hijo, Assía su hijo.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
Y estos son á los que David dió cargo de las cosas de la música de la casa de Jehová, después que el arca tuvo reposo:
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
Los cuales servían delante de la tienda del tabernáculo del testimonio en cantares, hasta que Salomón edificó la casa de Jehová en Jerusalem: después estuvieron en su ministerio según su costumbre.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
Estos pues con sus hijos asistían: de los hijos de Coath, Hemán cantor, hijo de Joel, hijo de Samuel;
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
Hijo de Elcana, hijo de Jeroham, hijo de Eliel, hijo de Thoa;
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
Hijo de Suph, hijo de Elcana, hijo Mahath, hijo de Amasai;
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
Hijo de Elcana, hijo de Joel, hijo de Azarías, hijo de Sophonías;
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
Hijo de Thahat, hijo de Asir, hijo de Abiasaph, hijo de Core;
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
Hijo de Ishar, hijo de Coath, hijo de Leví, hijo de Israel.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
Y su hermano Asaph, el cual estaba á su mano derecha: Asaph, hijo de Berachîas, hijo de Sima;
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
Hijo de Michâel, hijo de Baasías, hijo de Malchîas;
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
Hijo de Athanai, hijo de Zera, hijo de Adaia;
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
Hijo de Ethán, hijo de Zimma, hijo de Simi;
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
Hijo de Jahat, hijo de Gersón, hijo de Leví.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
Mas los hijos de Merari sus hermanos estaban á la mano siniestra, [es á saber], Ethán hijo de Chîsi, hijo de Abdi, hijo de Maluch;
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
Hijo de Hasabías, hijo de Amasías, hijo de Hilcías;
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
Hijo de Amasai, hijo de Bani, hijo de Semer;
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
Hijo de Mahali, hijo de Musi, hijo de Merari, hijo de Leví.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
Y sus hermanos los Levitas fueron puestos sobre todo el ministerio del tabernáculo de la casa de Dios.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
Mas Aarón y sus hijos ofrecían perfume sobre el altar del holocausto, y sobre el altar del perfume, en toda la obra del lugar santísimo, y para hacer las expiaciones sobre Israel, conforme á todo lo que Moisés siervo de Dios había mandado.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
Y los hijos de Aarón son estos: Eleazar su hijo, Phinees su hijo, Abisua su hijo;
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
Bucci su hijo, Uzzi su hijo, Zeraías su hijo;
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
Meraioth su hijo, Amarías su hijo, Achîtob su hijo;
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
Sadoc su hijo, Achîmaas su hijo.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
Y estas son sus habitaciones, conforme á sus domicilios y sus términos, [las] de los hijos de Aarón por las familias de los Coathitas, porque de ellos fué la suerte:
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
Les dieron pues á Hebrón en tierra de Judá, y sus ejidos alrededor de ella.
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Mas el territorio de la ciudad y sus aldeas se dieron á Caleb, hijo de Jephone.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Y á los hijos de Aarón dieron las ciudades de Judá de acogimiento, [es á saber], á Hebrón, y á Libna con sus ejidos;
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
A Jathir, y Esthemoa con sus ejidos, y á Hilem con sus ejidos, y á Debir con sus ejidos;
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
A Asán con sus ejidos, y á Beth-semes con sus ejidos:
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
Y de la tribu de Benjamín, á Geba con sus ejidos, y á Alemeth con sus ejidos, y á Anathoth con sus ejidos. Todas sus ciudades fueron trece ciudades, [repartidas] por sus linajes.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
A los hijos de Coath, que quedaron de su parentela, [dieron] diez ciudades de la media tribu de Manasés por suerte.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
Y á los hijos de Gersón, por sus linajes, [dieron] de la tribu de Issachâr, y de la tribu de Aser, y de la tribu de Nephtalí, y de la tribu de Manasés en Basán, trece ciudades.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Y á los hijos de Merari, por sus linajes, de la tribu de Rubén, y de la tribu de Gad, y de la tribu de Zabulón, [se dieron] por suerte doce ciudades.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Y dieron los hijos de Israel á los Levitas ciudades con sus ejidos.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
Y dieron por suerte de la tribu de los hijos de Judá, y de la tribu de los hijos de Simeón, y de la tribu de los hijos de Benjamín, las ciudades que nombraron por sus nombres.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
Y á los linajes de los hijos de Coath [dieron] ciudades con sus términos de la tribu de Ephraim.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
Y diéronles las ciudades de acogimiento, á Sichêm con sus ejidos en el monte de Ephraim, y á Gezer con sus ejidos,
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
Y á Jocmeam con sus ejidos, y á Beth-oron con sus ejidos,
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
Y á Ajalón con sus ejidos, y á Gath-rimmón con sus ejidos.
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
De la media tribu de Manasés, á Aner con sus ejidos, y á Bilam con sus ejidos, para los del linaje de los hijos de Coath que habían quedado.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Y á los hijos de Gersón [dieron] de la familia de la media tribu de Manasés, á Golan en Basán con sus ejidos y á Astharoth con sus ejidos;
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
Y de la tribu de Issachâr, á Cedes con sus ejidos, á Dobrath con sus ejidos,
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
Y á Ramoth con sus ejidos, y á Anem con sus ejidos;
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
Y de la tribu de Aser, á Masal con sus ejidos, y á Abdón con sus ejidos,
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
Y á Ucoc con sus ejidos, y á Rehob con sus ejidos;
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
Y de la tribu de Nephtalí, á Cedes en Galilea con sus ejidos, y á Ammón con sus ejidos, á Chîriath-jearim con sus ejidos.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
Y á los hijos de Merari que habían quedado, [dieron] de la tribu de Zabulón á Rimmono con sus ejidos, y á Thabor con sus ejidos;
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
Y de la otra parte del Jordán de Jericó, al oriente del Jordán, [dieron], de la tribu de Rubén, á Beser en el desierto con sus ejidos; y á Jasa con sus ejidos,
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
Y á Chêdemoth con sus ejidos, y á Mephaath con sus ejidos;
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
Y de la tribu de Gad, á Ramot en Galaad con sus ejidos, y á Mahanaim con sus ejidos,
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
Y á Hesbón con sus ejidos, y á Jacer con sus ejidos.

< 1 Nyakati 6 >