< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Os filhos de Levi foram: Gérson, Coate, e Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Os filhos de Coate: Anrão, Izar, Hebrom e Uziel.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
Os filhos de Anrão: Arão, Moisés, e Miriã. E os filhos de Arão foram: Nadabe, Abiú, Eleazar, e Itamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
E Eleazar gerou a Fineias, Fineias gerou a Abisua;
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Abisua gerou a Buqui, Buqui gerou a Uzi;
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Uzi gerou a Zeraías, Zeraías gerou a Meraiote;
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Meraiote gerou a Amarias, Amarias gerou a Aitube;
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Aitube gerou a Zadoque, Zadoque gerou a Aimaaz;
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Aimaaz gerou a Azarias, Azarias gerou a Joanã;
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Joanã gerou a Azarias (este é o que administrou o sacerdócio na casa que Salomão edificou em Jerusalém);
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Azarias gerou a Amarias, Amarias gerou a Aitube;
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Aitube gerou a Zadoque, Zadoque gerou a Salum;
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Salum gerou a Hilquias, Hilquias gerou a Azarias;
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Azarias gerou a Seraías, Seraías, gerou a Jeozadaque.
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
E Jeozadaque foi [levado cativo] quando O SENHOR levou Judá e a Jerusalém como prisioneiros, pela mão de Nabucodonosor.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Os filhos de Levi foram: Gérson, Coate, e Merari.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
E estes são os nomes dos filhos de Gérson: Libni, e Simei.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Os filhos de Coate: Anrão, Izar, Hebrom, e Uziel.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Os filhos de Merari: Mali, e Musi. Estas são as famílias de Levi, segundo seus pais.
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
De Gérson: seu filho Libni, seu filho Jaate, seu filho Zima.
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
Seu filho Joabe, seu filho Ido, seu filho Zerá, e seu filho Jeaterai.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Os filhos de Coate foram: seu filho Aminadabe, seu filho Corá, seu filho Assir,
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
Seu filho Elcana, seu filho Ebiasafe, seu filho Assir,
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
Seu filho Taate, seu filho Uriel, seu filho Uzias, e seu filho Saul.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
E os filhos Elcana foram: Amasai e Aimote.
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
[Quanto] a Elcana, os filhos de Elcana foram: seu filho Zofai, seu filho Naate,
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
Seu filho Eliabe, seu filho Jeroão, e seu filho Elcana.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
E os filhos de Samuel foram: o primogênito Vasni, e Abias.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Os filhos de Merari: Mali, seu filho Libni, seu filho Simei, seu filho Uzá,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
Seu filho Simeia, seu filho Hagias, e seu filho Asaías.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
Estes, pois, são os que Davi constituiu para o ofício da música da casa do Senhor, depois que a arca teve repouso.
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
E eles serviam diante da tenda do tabernáculo da congregação com cânticos, até que Salomão edificou a casa do SENHOR em Jerusalém; e estiveram segundo seu costume em seu serviço.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
Estes, pois, foram os que ali estavam com seus filhos: dos filhos dos coatitas, Hemã, o cantor, filho de Joel, filho de Samuel,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
Filho de Elcana, filho de Jeroão, filho de Eliel, filho de Toá,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
Filho de Zufe, filho de Elcana, filho Maate, filho de Amasai,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
Filho de Elcana, filho de Joel, filho de Azarias, filho de Sofonias,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
Filho de Taate, filho de Assir, filho de Ebiasafe, filho de Corá,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
Filho de Izar, filho de Coate, filho de Levi, filho de Israel.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
E seu irmão Asafe estava à sua direita; Asafe era, filho de Berequias, filho de Simeia,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
Filho de Micael, filho de Baaseias, filho de Malquias,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
Filho de Etni, filho de Zerá, filho de Adaías,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
Filho de Etã, filho de Zima, filho de Simei;
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
Filho de Jaate, filho de Gérson, filho de Levi.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
E seus irmãos, os filhos de Merari, estavam à esquerda; [eram eles]: Etã, filho de Quisi, filho de Abdi, filho de Maluque,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
Filho de Hasabias, filho de Amazias, filho de Hilquias,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
Filho de Anzi, filho de Bani, filho de Semer,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
Filho de Mali, filho de Musi, filho de Merari, filho de Levi.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
E seus irmãos, os Levitas, foram postos para todo o serviço do tabernáculo da casa de Deus.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
E Arão e seus filhos ofereciam incenso sobre o altar do holocausto e sobre o altar do incenso, para toda a obra do lugar santíssimo, e para fazer expiação sobre Israel, conforme tudo quanto Moisés, servo de Deus, havia mandado.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
E estes foram os filhos de Arão: seu filho Eleazar, seu filho Fineias, seu filho Abisua,
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
Seu filho Buqui, seu filho Uzi, seu filho Zeraías,
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
Seu filho Meraiote, seu filho Amarias, seu filho Aitube,
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
Seu filho Zadoque, e seu filho Aimaaz.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
E estas foram suas habitações, conforme seus acampamentos e seus termos, dos filhos de Arão da família dos coatitas, porque eles foram sorteados.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
Deram-lhes, pois, a Hebrom na terra de Judá, e seus campos ao redor dela.
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Porém o território da cidade e suas aldeias foram dadas a Calebe, filho de Jefoné.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
E aos filhos de Arão deram as [seguintes] cidades de refúgio: Hebrom, e Libna com seus campos; Jathir e Estemoa com seus campos;
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
Hilém com seus campos; Debir com seus campos;
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
Asã com seus campos; e a Bete-Semes com seus campos;
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
E da tribo de Benjamim, a Geba com seus campos; Alemete com seus campos; e Anatote com seus campos. Todas as suas cidades, [repartidas] por suas famílias, foram treze cidades.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
Mas aos filhos de Coate, que restaram da família daquela tribo, [deram] por sorteio dez cidades da meia tribo de Manassés.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
E aos filhos de Gérson, segundo suas famílias, [deram] treze cidades da tribo de Issacar, da tribo de Aser, da tribo de Naftali, e da tribo de Manassés, em Basã.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
E aos filhos de Merari, segundo suas famílias, [deram] por sorteio doze cidades da tribo de Rúben, da tribo de Gade, e da tribo de Zebulom.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Assim os filhos de Israel deram aos Levitas estas cidades com seus campos.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
E deram-lhes por sorteio, da tribo dos filhos de Judá, da tribo dos filhos de Simeão, e da tribo dos filhos de Benjamim, estas cidades, as quais mencionaram por seus nomes.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
E quanto ao [resto] das famílias dos filhos de Coate deram-lhes cidades com seus termos da tribo de Efraim.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
E deram-lhes das cidades de refúgio, a Siquém e seus campos nas montanhas de Efraim, e a Gezer com seus campos,
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
A Jocmeão com seus campos, a Bete-Horom com seus campos,
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
A Aijalom com seus campos, e a Gate-Rimom com seus campos;
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
Da meia tribo de Manassés, a Aner com seus campos, e a Bileã com seus campos, para os que restaram da família dos filhos de Coate.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Aos filhos de Gérson [deram] da família da meia tribo de Manassés, a Golã em Basã com seus campos e a Astarote com seus campos;
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
E da tribo de Issacar, a Quedes com seus campos, a Daberate com seus campos,
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
A Ramote com seus campos, e a Aném com seus campos;
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
E da tribo de Aser a Masal com seus campos, a Abdom com seus campos,
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
A Hucoque com seus campos, e a Reobe com seus campos.
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
E da tribo de Naftali, a Quedes na Galileia com seus campos, a Hamom com seus campos, e a Quiriataim com seus campos.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
E aos que restaram dos filhos de Merari, [deram] da tribo de Zebulom, a Rimono com seus campos, e a Tabor com seus campos;
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
E dalém do Jordão de Jericó, ao oriente do Jordão, [deram] da tribo de Rúben, a Bezer no deserto com seus campos; a Jaza com seus campos.
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
A Quedemote com seus campos, e a Mefaate com seus campos;
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
E da tribo de Gade, a Ramote em Gileade com seus campos, a Maanaim com seus campos,
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
A Hesbom com seus campos, e a Jazer com seus campos.

< 1 Nyakati 6 >