< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Synowie Lewiego: Gerszom, Kehat i Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
A synowie Kehata: Amram, Ishar, Chebron i Uzziel.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
A dzieci Amrama: Aaron, Mojżesz i Miriam. Synowie Aarona: Nadab, Abihu, Eleazar i Itamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Eleazar spłodził Pinchasa, a Pinchas spłodził Abiszuę.
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Abiszua spłodził Bukkiego, a Bukki spłodził Uzziego.
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Uzzi spłodził Zerachiasza, a Zerachiasz spłodził Merajota.
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Merajot spłodził Amariasza, a Amariasz spłodził Achituba.
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Achitub spłodził Sadoka, a Sadok spłodził Achimaasa.
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Achimaas spłodził Azariasza, a Azariasz spłodził Jochanana.
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Jochanan spłodził Azariasza. On to sprawował urząd kapłański w świątyni, którą Salomon zbudował w Jerozolimie.
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Azariasz spłodził Amariasza, a Amariasz spłodził Achituba.
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Achitub spłodził Sadoka, a Sadok spłodził Szalluma.
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Szallum spłodził Chilkiasza, a Chilkiasz spłodził Azariasza.
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Azariasz spłodził Serajasza, a Serajasz spłodził Jehocadaka.
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
A Jehocadak trafił [do niewoli], gdy PAN uprowadził Judę i Jerozolimę przez Nabuchodonozora.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Synowie Lewiego: Gerszom, Kehat i Merari.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
A to [są] imiona synów Gerszoma: Libni i Szimei.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
A synowie Kehata: Amram, Ishar, Chebron i Uzziel.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Synowie Merariego: Machli i Muszi. A to są rody Lewitów według ich ojców.
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
Od Gerszoma: jego syn Libni, jego syn Jachat, jego syn Zimma;
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
Jego syn Joach, jego syn Iddo, jego syn Zerach, jego syn Jeatraj.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Synowie Kehata: jego syn Amminadab, jego syn Korach, jego syn Assir;
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
Jego syn Elkana, jego syn Ebiasaf, jego syn Assir;
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
Jego syn Tachat, jego syn Uriel, jego syn Uzjasz, jego syn Saul.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
Synowie Elkany: Amasaj, Achimot i Elkana.
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
Synowie Elkany: jego syn Sofaj, jego syn Nachat;
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
Jego syn Eliab, jego syn Jerocham, jego syn Elkana.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
Synowie Samuela: pierworodny Waszni i Abiasz.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Synowie Merariego: Machli, jego syn Libni, jego syn Szimei, jego syn Uzza;
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
Jego syn Szimea, jego syn Chaggiasz, jego syn Asajasz.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
To są ci, których Dawid ustanowił do prowadzenia śpiewu w domu PANA, odkąd spoczęła [tam] arka.
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
I posługiwali śpiewem przed przybytkiem, [czyli] Namiotem Zgromadzenia, aż Salomon zbudował dom PANA w Jerozolimie. Stawali do swojej służby według swego porządku.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
A oto ci, którzy stawali wraz ze swoimi synami: spośród synów Kehata – śpiewak Heman, syn Joela, syna Samuela;
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
Syna Elkany, syna Jerochama, syna Eliela, syna Toacha;
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
Syna Sufa, syna Elkany, syna Machata, syna Amasaja;
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
Syna Elkany, syna Joela, syna Azariasza, syna Sofoniasza;
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
Syna Tachata, syna Assira, syna Ebiasafa, syna Koracha;
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
Syna Ishara, syna Kehata, syna Lewiego, syna Izraela.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
Oraz jego brat Asaf, który stawał po jego prawicy. Asaf, syn Berechiasza, syna Szimei;
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
Syna Mikaela, syna Baasejasza, syna Malkiasza;
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
Syna Etniego, syna Zeracha, syna Adajasza;
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
Syna Etana, syna Zimmy, syna Szimejego;
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
Syna Jachata, syna Gerszoma, syna Lewiego.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
A ich bracia, synowie Merariego, [stawali] po lewej stronie: Etan, syn Kisziego, syna Abdiego, syna Malluka;
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
Syna Chaszabiasza, syna Amaziasza, syna Chilkiasza.
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
Syna Amsjego, syna Baniego, syna Szamera;
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
Syna Mochliego, syna Musziego, syna Merariego, syna Lewiego.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
A ich bracia, Lewici, [byli] ustanowieni do wszelkiej posługi w przybytku domu Boga.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
Aaron zaś i jego synowie palili kadzidło na ołtarzu całopalenia i na ołtarzu kadzenia, [byli odpowiedzialni] za wszelką posługę w Miejscu Najświętszym i za dokonywanie przebłagania za Izraela według wszystkiego, co nakazał Mojżesz, sługa Boży.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
A oto synowie Aarona: jego syn Eleazar, jego syn Pinchas;
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
Jego syn Abiszua, jego syn Bukki, jego syn Uzzi, jego syn Zerachiasz;
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
Jego syn Merajot, jego syn Amariasz, jego syn Achitub;
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
Jego syn Sadok, jego syn Achimaas.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
A to są ich mieszkania według ich wieży w ich obszarze, [to jest] synów Aarona, według rodu Kehatytów. Był [to] bowiem ich los.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
Oddano im Hebron w ziemi Judy wraz z pastwiskami dokoła niego;
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Lecz pola miasta i jego wsie dano Kalebowi, synowi Jefunnego.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Synom Aarona zaś dano spośród miast Judy [miasta] schronienia: Hebron, Libnę z jego pastwiskami, Jattir i Esztemoę wraz z ich pastwiskami;
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
I Chilen z jego pastwiskami, Debir z jego pastwiskami;
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
Aszan z jego pastwiskami i Bet-Szemesz z jego pastwiskami.
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
A od pokolenia Beniamina: Geba z jego pastwiskami, Alemet z jego pastwiskami i Anatot z jego pastwiskami. Wszystkich ich miast było trzynaście według ich rodzin.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
A pozostałym synom Kehata, spośród rodziny tego pokolenia, przypadło losem dziesięć miast od połowy pokolenia Manassesa.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
A synom Gerszoma według ich rodzin przypadło od pokolenia Issachara, od pokolenia Aszera, od pokolenia Neftalego i od pokolenia Manassesa w Baszanie – trzynaście miast.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Synom Merariego według ich rodzin przypadło losem od pokolenia Rubena, od pokolenia Gada i od pokolenia Zebulona – dwanaście miast.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Synowie Izraela dali Lewitom te miasta wraz z ich pastwiskami.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
A dali przez los od pokolenia synów Judy, od pokolenia synów Symeona i od pokolenia synów Beniamina te miasta, którym nadali ich imiona.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
A ci, którzy pochodzili z rodu synów Kehata, mieli miasta w granicach pokolenia Efraima.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
Dano im z miast schronienia: Sychem z jego pastwiskami na górze Efraim i Gezer z jego pastwiskami;
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
Jokmeam z jego pastwiskami, Bet-Choron z jego pastwiskami;
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
Ajjalon z jego pastwiskami i Gat-Rimmon z jego pastwiskami.
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
Od połowy pokolenia Manassesa: Aner z jego pastwiskami, Bileam z jego pastwiskami. [Dano to] rodzinie pozostałych synów Kehata.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Synom Gerszoma [dano] od połowy pokolenia Manassesa Golan w Baszanie z jego pastwiskami i Asztarot z jego pastwiskami;
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
Od pokolenia Issachara – Kedesz z jego pastwiskami, Daberat z jego pastwiskami;
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
Ramot z jego pastwiskami i Anem z jego pastwiskami.
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
Od pokolenia Aszera: Maszal z jego pastwiskami, Abdon z jego pastwiskami;
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
Chukok z jego pastwiskami i Rechob z jego pastwiskami.
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
Od pokolenia Neftalego: Kedesz w Galilei z jego pastwiskami, Chammon z jego pastwiskami i Kiriataim z jego pastwiskami.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
Pozostałym synom Merariego [dano] od pokolenia Zebulona Rimmon z jego pastwiskami i Tabor z jego pastwiskami.
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
A po drugiej stronie Jordanu koło Jerycha, na wschód od Jordanu, [dano] od pokolenia Rubena: Beser na pustyni z jego pastwiskami, Jahazę z jej pastwiskami;
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
Kedemot z jego pastwiskami i Mefaat z jego pastwiskami.
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
Od pokolenia Gada: Ramot w Gileadzie z jego pastwiskami, Machanaim z jego pastwiskami;
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
Cheszbon z jego pastwiskami i Jazer z jego pastwiskami.

< 1 Nyakati 6 >