< 1 Nyakati 6 >
1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
레위의 아들들은 게르손과, 그핫과, 므라리요,
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
그핫의 아들들은 아므람과, 이스할과, 헤브론과, 웃시엘이요,
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
아므람의 자녀는 아론과 모세와 미리암이요 아론의 아들들은 나답과, 아비후와, 엘르아살과, 이다말이며
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
엘르아살은 비느하스를 낳았고, 비느하스는 아비수아를 낳았고,
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
아비수아는 북기를 낳았고, 북기는 웃시를 낳았고,
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
웃시는 스라히야를 낳았고, 스라히야는 므라욧을 낳았고,
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
므라욧은 아마랴를 낳았고, 아마랴는 아히둡을 낳았고,
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
아히둡은 사독을 낳았고, 사독은 아히마아스를 낳았고,
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
아히마아스는 아사랴를 낳았고, 아사랴는 요하난을 낳았고,
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
요하난은 아사랴를 낳았으니 이 아사랴는 솔로몬이 예루살렘에 세운 전에서 제사장의 직분을 행한 자며
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
아사랴는 아마랴를 낳았고, 아마랴는 아히둡을 낳았고,
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
아히둡은 사독을 낳았고, 사독은 살룸을 낳았고,
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
살룸은 힐기야를 낳았고, 힐기야는 아사랴를 낳았고,
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
아사랴는 스라야를 낳았고, 스라야는 여호사닥을 낳았으며,
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
여호와께서 느부갓네살의 손으로 유다와 예루살렘 백성을 옮기실 때에 여호사닥도 갔었더라
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
레위의 아들들은 게르손과, 그핫과, 므라리며
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
게르손의 아들의 이름은 립니와, 시므이요,
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
그핫의 아들들은 아므람과, 이스할과, 헤브론과, 웃시엘이요,
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
므라리의 아들들은 말리와, 무시라 이 레위 사람의 집들이 그 종족을 따라 이러하니
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
게르손에게서 난 자는 곧 그 아들 립니요, 그 아들은 야핫이요, 그 아들은 심마요,
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
그 아들은 요아요, 그 아들은 잇도요, 그 아들은 세라요, 그 아들은 여아드래며,
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
그핫에게서 난 자는 곧 그 아들 암미나답이요, 그 아들은 고라요, 그 아들은 앗실이요,
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
그 아들은 엘가나요, 그 아들은 에비아삽이요, 그 아들은 앗실이요,
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
그 아들은 다핫이요, 그 아들은 우리엘이요, 그 아들은 웃시야요, 그 아들은 사울이며,
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
엘가나의 아들들은 아마새와, 아히못이라
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
엘가나로 말하면 그 자손은 이러하니 그 아들은 소배요, 그 아들은 나핫이요,
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
그 아들은 엘리압이요 그 아들은 여로함이요, 그 아들은 엘가나며,
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
사무엘의 아들들은 맏아들 요엘이요, 다음은 아비야며,
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
므라리에게서 난 자는 말리요, 그 아들은 립니요, 그 아들은 시므이요, 그 아들은 웃사요,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
그 아들은 시므아요, 그 아들은 학기야요, 그 아들은 아사야더라
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
언약궤가 평안한 곳을 얻은 후에 다윗이 이 아래의 무리를 세워 여호와의 집에서 찬송하는 일을 맡게 하매
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
솔로몬이 예루살렘에서 여호와의 전을 세울 때까지 저희가 회막 앞에서 찬송하는 일을 행하되 그 반열대로 직무를 행하였더라
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
직무를 행하는 자와 그 아들들이 이러하니 그핫의 자손 중에 헤만은 찬송하는 자라 저는 요엘의 아들이요, 요엘은 사무엘의 아들이요,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
사무엘은 엘가나의 아들이요, 엘가나는 여로함의 아들이요, 여로함은 엘리엘의 아들이요, 엘리엘은 도아의 아들이요,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
도아는 숩의 아들이요, 숩은 엘가나의 아들이요, 엘가나는 마핫의 아들이요, 마핫은 아마새의 아들이요,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
아마새는 엘가나의 아들이요, 엘가나는 요엘의 아들이요, 요엘은 아사랴의 아들이요, 아사랴는 스바냐의 아들이요,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
스바냐는 다핫의 아들이요, 다핫은 앗실의 아들이요, 앗실은 에비아삽의 아들이요, 에비아삽은 고라의 아들이요,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
고라는 이스할의 아들이요, 이스할은 그핫의 아들이요, 그핫은 레위의 아들이요, 레위는 이스라엘의 아들이며,
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
헤만의 형제 아삽은 헤만의 우편에서 직무를 행하였으니 저는 베레갸의 아들이요, 베레갸는 시므아의 아들이요,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
시므아는 미가엘의 아들이요, 미가엘은 바아세야의 아들이요, 바아세야는 말기야의 아들이요,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
말기야는 에드니의 아들이요, 에드니는 세라의 아들이요,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
아다야는 에단의 아들이요, 에단은 심마의 아들이요, 심마는 시므이의 아들이요,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
시므이는 야핫의 아들이요, 야핫은 게르손의 아들이요, 게르손은 레위의 아들이며,
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
저희의 형제 므라리의 자손 중 그 좌편에서 직무를 행하는 자는 에단이라 에단은 기시의 아들이요, 기시는 압디의 아들이요 압디는 말룩의 아들이요,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
말룩은 하사뱌의 아들이요, 하사뱌는 아마시야의 아들이요, 아마시야는 힐기야의 아들이요,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
힐기야는 암시의 아들이요, 암시는 바니의 아들이요, 바니는 세멜의 아들이요,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
세멜은 말리의 아들이요, 말리는 무시의 아들이요, 무시는 므라리의 아들이요, 므라리는 레위의 아들이며,
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
저희의 형제 레위 사람들은 하나님의 집 장막의 모든 일을 맡았더라
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
아론과 그 자손들은 번제단과 향단 위에 분향하며 제사를 드리며 지성소의 모든 일을 하여 하나님의 종 모세의 모든 명대로 이스라엘을 위하여 속죄하니
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
아론의 자손들은 이러하니라 그 아들은 엘르아살이요, 그 아들은 비느하스요, 그 아들은 아비수아요
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
그 아들은 북기요, 그 아들은 웃시요, 그 아들은 스라히야요
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
그 아들은 므라욧이요, 그 아들은 아마랴요, 그 아들은 아히둡이요
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
그 아들은 사독이요, 그 아들은 아히마아스더라
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
저희의 거한 곳은 사방 지경 안에 있으니 그 향리는 아래와 같으니라 아론 자손 곧 그핫 족속이 먼저 제비 뽑았으므로
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
저희에게 유다 땅의 헤브론과 그 사방 들을 주었고
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
그 성의 밭과 향리는 여분네의 아들 갈렙에게 주었으며
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
아론 자손에게 도피성을 주었으니 헤브론과 립나와 그 들과 얏딜과 에스드모아와 그 들과
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
힐렌과 그 들과 드빌과 그 들과
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
아산과 그 들과 벧세메스와 그 들이며
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
또 베냐민 지파 중에서는 게바와 그 들과 알레멧과 그 들과 아나돗과 그 들을 주었으니 그핫 족속의 얻은 성이 모두 열 셋이었더라
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
그핫 자손의 남은 자에게는 므낫세 반 지파 족속 중에서 제비뽑아 열 성을 주었고
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
게르손 자손에게는 그 족속대로 잇사갈 지파와 아셀 지파와 납달리 지파와 바산에 있는 므낫세 지파 중에서 열 세 성을 주었고
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
므라리 자손에게는 그 족속대로 르우벤 지파와 갓 지파와 스불론 지파 중에서 제비 뽑아 열 두 성을 주었더라
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
이스라엘 자손이 이 모든 성과 그 들을 레위 자손에게 주되
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
유다 자손의 지파와 시므온 자손의 지파와 베냐민 자손의 지파 중에서 이 위에 기록한 여러 성을 제비 뽑아 주었더라
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
그핫 자손의 몇 족속은 에브라임 지파 중에서 성을 얻어 영지를 삼았으며
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
또 저희에게 도피성을 주었으니 에브라임 산중 세겜과 그 들과 게셀과 그 들과
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
욕므암과 그 들과 벧호론과 그 들과
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
아얄론과 그 들과 가드림몬과 그 들이며
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
또 그핫 자손의 남은 족속에게는 므낫세 반 지파중에서 아넬과 그 들과 빌르암과 그 들을 주었더라
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
게르손 자손에게는 므낫세 반 지파 족속 중에서 바산의 골란과 그 들과 아스다롯과 그 들을 주었고
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
또 잇사갈 지파 중에서 게데스와 그 들과 다브랏과 그 들과
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
라못과 그 들과 아넴과 그 들을 주었고
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
아셀 지파 중에서 마살과 그 들과 압돈과 그 들과
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
후곡과 그 들과 르홉과 그 들을 주었고
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
납달리 지파 중에서 갈릴리의 게데스와 그 들과 함몬과 그 들과 기랴다임과 그 들을 주었더라
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
므라리 자손의 남은 자에게는 스불론 지파 중에서 림모노와 그 들과 다볼과 그 들을 주었고
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
또 요단 건너 동편 곧 여리고 맞은편 르우벤 지파 중에서 광야의 베셀과 그 들과 야사와 그 들과
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
그데못과 그 들과 메바앗과 그 들을 주었고
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
또 갓 지파 중에서 길르앗의 라못과 그 들과 마하나임과 그 들과
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
헤스본과 그 들과 야셀과 그 들을 주었더라