< 1 Nyakati 6 >
1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Les fils de Lévi furent Gerson, Caath et Mérari;
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Les fils de Caath, Amram, Isaar, Hébron et Oziel;
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
Les fils d’Amram, Aaron, Moïse et Marie; les fils d’Aaron Nadab et Abiu, Eléazar et Ithamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Eléazar engendra Phinéès, et Phinéès engendra Abisué.
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Abisué engendra Bocci, et Bocci engendra Ozi.
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Ozi engendra Zaraïas, et Zaraïas engendra Méraïoth.
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Méraïoth engendra Amarias, et Amarias engendra Achitob.
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Achitob engendra Sadoc, et Sadoc engendra Achimaas.
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Achimaas engendra Azarias, Azarias engendra Johanan.
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Johanan engendra Azarias: ce fut lui qui remplit les fonctions du sacerdoce dans la maison que bâtit Salomon à Jérusalem.
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Or Azarias engendra Amarias, et Amarias engendra Achitob.
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Achitob engendra Sadoc, et Sadoc engendra Sellum.
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Sellum engendra Helcias, et Helcias engendra Azarias.
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Azarias engendra Saraïas, et Saraïas engendra Josédec.
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
Or Josédec sortit du pays, quand le Seigneur déporta Juda et Jérusalem par l’entremise de Nabuchodonosor.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Les fils de Lévi furent donc Gerson, Caath et Mérari;
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
Les fils de Gerson, Lobni et Séméi;
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Les fils de Caath, Amram, Isaar, Hébron et Oziel;
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Les fils de Mérari, Moholi et Musi. Mais voici la parenté des enfants de Lévi, selon leurs familles:
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
Gerson, dont le fils, Lobni, dont le fils, Jahath, dont le fils, Zamma,
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
Dont le fils, Joab, dont le fils, Addo, dont le fils, Zara, dont le fils, Jethraï;
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Les fils de Caath: Aminadab, son fils, dont le fils, Coré, dont le fils Asir,
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
Dont le fils, Elcana, dont le fils, Abiasaph, dont le fils, Asir,
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
Dont le fils, Thahath, dont le fils, Uriel, dont le fils, Ozias, dont le fils, Saül.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
Les fils d’Elcana: Amasaï, Achimoth,
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
Et Elcana; les fils d’Elcana: Sophaï, son fils, dont le fils, Nahath,
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
Dont le fils, Eliab, dont le fils, Jéroham, dont le fils, Elcana.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
Les fils de Samuel: le premier-né, Vasseni, et Abia;
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Mais les fils de Mérari, Moholi, dont le fils, Lobni, dont le fils, Séméi, dont le fils, Oza,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
Dont le fils, Sammaa, dont le fils, Haggia, dont le fils, Asaïa.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
Voilà ceux que David établit sur les chantres de la maison du Seigneur, depuis que l’arche eut été placée.
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
Et ils servaient devant le tabernacle de témoignage, chantant, jusqu’à ce que Salomon eût bâti la maison du Seigneur dans Jérusalem; mais ils exerçaient ce ministère suivant leur rang.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
Or voici ceux qui servaient avec leurs fils d’entre les fils de Caath: Héman, le chantre, fils de Johel, fils de Samuel,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
Fils d’Elcana, fils de Jéroham, fils d’Eliel, fils de Thohu,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
Fils de Suph, fils d’Elcana, fils de Mahath, fils d’Amasa,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
Fils d’Elcana, fils de Joël, fils d’Azarias, fils de Sophonias,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
Fils de Thahath, fils d’Asir, fils d’Abiasaph, fils de Coré,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
Fils d’Isaar, fils de Caath, fils de Lévi, fils d’Israël.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
Et son frère Asaph, qui se tenait à sa droite; Asaph, fils de Barachias, fils de Samaa,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
Fils de Michaël, fils de Basaïas, fils de Melchias,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
Fils d’Athanaï, fils de Zara, fils d’Adaïa,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
Fils d’Ethan, fils de Zamma, fils de Séméi,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
Fils de Jeth, fils de Gerson, fils de Lévi;
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
Mais les fils de Mérari, leurs frères, qui se tenaient à la gauche, étaient: Ethan, fils de Cusi, fils d’Abdi, fils de Maloch,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
Fils d’Hasabias, fils d’Amasias, fils d’Helcias,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
Fils d’Amasaï, fils de Boni, fils de Somer,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
Fils de Moholi, fils de Musi, fils de Mérari, fils de Lévi.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
Les Lévites, leurs frères, étaient aussi désignés pour tout le service du tabernacle de la maison du Seigneur.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
Mais Aaron et ses fils offraient ce qui se brûle sur l’autel de l’holocauste et sur l’autel du parfum, pour toute l’œuvre du Saint des Saints, et afin qu’ils priassent pour Israël, selon tout ce qu’avait ordonné Moïse, serviteur de Dieu.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
Or ceux-ci sont les fils d’Aaron: Eléazar, son fils, dont le fils, Phinéès, dont le fils, Abisué,
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
Dont le fils, Bocci, dont le fils, Ozi, dont le fils, Zaraïas,
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
Dont le fils, Méraïoth, dont le fils, Amarias, dont le fils, Achitob,
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
Dont le fils, Sadoc, dont le fils Achimaas.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
Et voici leurs habitations dans les bourgs et les environs, c’est-à-dire les habitations des enfants d’Aaron, selon les familles des Caathites; car c’est à eux qu’elles étaient échues par le sort.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
On leur donna donc Hébron, dans la terre de Juda, et ses faubourgs tout autour;
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Mais les campagnes de la ville et les villages, on les donna à Caleb, fils de Jéphoné.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Quant aux fils d’Aaron, on leur donna les villes de refuge, Hébron, et Lobna et ses faubourgs;
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
Jéther aussi et Esthémo, avec leurs faubourgs; et même Hélon et Dabir, avec leurs faubourgs,
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
Et encore Asan et Bethsémès, et leurs faubourgs;
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
Et de la tribu de Benjamin, Gabée et ses faubourgs, Almath avec ses faubourgs, comme aussi Anathoth avec ses faubourgs; en tout, treize villes, selon leurs familles.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
Mais aux enfants de Caath, qui restaient de sa famille, on donna en possession, sur la demi-tribu de Manassé, dix villes;
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
Et aux enfants de Gersom, selon leurs familles, sur la tribu d’Issachar, sur la tribu d’Aser, sur la tribu de Nephthali, et sur la tribu de Manassé, en Basan, treize villes.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Quant aux enfants de Mérari, on leur donna par le sort, selon leurs familles, sur la tribu de Ruben, sur la tribu de Gad, et sur la tribu de Zabulon, douze villes.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Ainsi les enfants d’Israël donnèrent aux Lévites ces villes et leurs faubourgs;
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
Et ils donnèrent par le sort sur la tribu des enfants de Juda, et sur la tribu des enfants de Siméon, et sur la tribu des enfants de Benjamin, ces mêmes villes qu’ils appelèrent de leurs noms,
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
Et pour ceux qui étaient de la famille des enfants de Caath, il y eut des villes dans leur territoire de la tribu d’Ephraïm.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
Ils leur donnèrent donc j des villes de refuge, Sichem avec ses faubourgs, dans la montagne d’Ephraïm, et Gazer avec ses faubourgs;
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
Jecmaam aussi avec ses faubourgs, et Béthoron également;
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
En outre, Hélon avec ses faubourgs, et Gethremmon de la même manière.
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
Mais sur la demi-tribu de Manassé, Aner et ses faubourgs, et Baalam et ses faubourgs, furent donnés, savoir, à ceux qui restaient de la famille de Caath.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Et aux enfants de Gersom, sur la famille de la demi-tribu de Manassé, ce fut Gaulon en Basan et ses faubourgs, et Astharoth avec ses faubourgs,
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
Sur la tribu d’Issachar, Cédés et ses faubourgs, et Dabéreth avec ses faubourgs;
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
Ramoth aussi et ses faubourgs, et Anem avec ses faubourgs;
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
Mais sur la tribu d’Aser, Masal avec ses faubourgs, et Abdon également;
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
Hucac aussi et ses faubourgs, et Rohob avec ses faubourgs;
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
Mais sur la tribu de Nephthali, Cédés en Galilée et ses faubourgs, Hamon avec ses faubourgs, et Cariathaïm et ses faubourgs.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
De plus, aux enfants de Mérari, qui restaient encore, furent donnés, sur la tribu de Zabulon, Remmono et ses faubourgs, et Thabor avec ses faubourgs;
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
Au delà du Jourdain, vis-à-vis de Jéricho, contre l’orient du Jourdain, ce fut sur la tribu de Ruben: Bosor, dans le désert, avec ses faubourgs, et Jassa avec ses faubourgs;
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
Cadémoth aussi et ses faubourgs, et Méphaat avec ses faubourgs;
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
De même que sur la tribu de Gad, Ramoth en Galaad et ses faubourgs, et Manaïm avec ses faubourgs;
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
Et de plus, Hésébon avec ses faubourgs, et Jézer avec ses faubourgs.