< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
The sones of Leuy weren Gerson, Caath, and Merary.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
The sones of Chaath weren Amram, Isaar, Ebron, and Oziel.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
The sones of Amram weren Aaron, Moyses, and Marie. The sones of Aaron weren Nadab,
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
and Abyu, Eleazar, and Ythamar. Eleazar gendride Phynees, and Phynees gendride Abisue,
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Abisue gendride Bocci, and Bocci gendride Ozi,
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Ozi gendride Zaraie, and Zaraie gendride Meraioth.
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Forsothe Meraioth gendride Amarie, Amarie gendride Achitob,
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Achitob gendride Sadoch, Sadoch gendride Achymaas, Achymaas gendride Azarie,
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Azarie gendride Johannam,
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Johannam gendride Azarie; he it is that was set in preesthod, in the hows which Salomon bildide in Jerusalem.
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Forsothe Azarie gendride Amarye, and Amarie gendride Achitob,
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Achitob gendride Sadoch, Sadoch gendride Sellum,
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Sellum gendride Helchie,
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Helchie gendride Azarie, Azarie gendride Saraie, Saraie gendride Josedech.
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
Forsothe Josedech yede out, whanne the Lord translatide Juda and Jerusalem bi the hondis of Nabugodonosor kyng.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Therfor the sones of Leuy weren Gerson, Caath, and Merary.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
And these weren the names of the sones of Gerson; Lobeni, and Semei.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
The sones of Caath weren Amram, and Isaar, and Ebron, and Oziel.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
The sones of Merari weren Moli, and Musi. Sotheli these weren the kynredis of Leuy bi the meynees of hem;
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
Gerson; Lobony, his sone; Jaath, his sone; Zama, his sone;
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
Joaith, his sone; Addo, his sone; Zara, his sone; Jethrai, his sone.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
The sones of Caath; Amynadab, his sone; Chore, his sone;
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
Azyra, his sone; Helcana, his sone; Abiasaph, his sone;
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
Aser, his sone; Caath, his sone; Vriel, his sone; Azias, his sone; Saul, his sone.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
The sones of Helchana weren Amasay, and Achymoth, and Helcana.
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
The sones of Helcana; Saphay, his sone;
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
Naath, his sone; Heliab, his sone; Heroam, his sone; Helcana, his sone.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
The sones of Samuel; the firste gendrid Nasen, and Abia.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Sotheli the sones of Merari; Moli, his sone; Lobeny, his sone; Semey, his sone;
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
Oza, his sone; Sama, his sone; Aggias, his sone; Azaya, his sone;
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
These it ben whiche Dauid ordeynede on the syngeris of the hows of the Lord, sithen the arke of the Lord was set;
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
and thei mynystriden bifor the tabernacle of witnessyng, and sungun, til Salomon bildide the hows of the Lord in Jerusalem; forsothe thei stoden bi her ordre in seruyce.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
Sotheli thes it ben that stoden nyy with her sones. Of the sones of Caath; Heman the chauntor, the sone of Joel, sone of Samuel,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
sone of Helcana, sone of Joroam, sone of Heliel,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
sone of Thou, sone of Suph,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
sone of Helcana, sone of Mabath, sone of Amasi, sone of Helcana, sone of Joel, sone of Azarie, sone of Sophonye, sone of Caath,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
sone of Asyr, sone of Abiasaph,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
sone of Chore, sone of Isaar, sone of Caath, sone of Leuy, sone of Israel.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
And hise britheren; Asaph, that stood at the riythalf of hym, Asaph, the sone of Barachie,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
sone of Samaa, sone of Mychael, sone of Basye, sone of Melchie, sone of Atthay,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
sone of Zara, sone of Adala,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
sone of Edan, sone of Zama, sone of Semey,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
sone of Geth, sone of Gerson, sone of Leuy.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
Forsothe the sones of Merary, the britheren of hem, weren at the leftside; Ethan, the sone of Chusi, sone of Abdi, sone of Moloch, sone of Asabie,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
sone of Amasie, sone of Helchie,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
sone of Amasay, sone of Bonny, sone of Soomer,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
sone of Moli, sone of Musi, sone of Merarie, sone of Leuy.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
And dekenes, the britheren of hem, that weren ordeyned in to al the seruyce of the tabernacle of the hows of the Lord.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
Forsothe Aaron and hise sones brenten encense on the auter of brent sacrifices, and on the auter of encense, in to al the werk `of the hooli of hooli thingis; and that thei schulden preie for Israel, by alle thingis whiche Moises, the seruaunt of God, comaundide.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
Sotheli these ben the sones of Aaron; Eleazar, his sone; Phynes, his sone;
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
Abisue, his sone; Bocci, his sone; Ogzi, his sone; Zara, his sone; Meraioth, his sone;
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
Amarias, his sone; Achitob, his sone;
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
Sadoch, his sone; Achimaas, his sone.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
And these weren the dwelling places, bi the townes and coostis of hem, that is, of the sones of Aaron, bi the kynredis of Caathitis; for tho bifelden to hem bi lot.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
Therfor the children of Israel yauen to hem Ebron in the lond of Juda, and the subarbis therof bi cumpas;
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
sotheli thei yauen the feeldis and townes of the citees to Caleph, sone of Jephone.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Forsothe thei yauen citees to the sones of Aaron, Ebron to refuyt; and thei yauen Lobna,
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
with hise subarbis, and Jether, and Escamo, with her subarbis, but also Helon, and Dabir, with her subarbis; also thei yauen Asan,
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
and Bethsames, and the subarbis of tho.
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
Sotheli of the lynage of Beniamyn thei yauen Gabee, and the subarbis therof, and Alamach with hise subarbis, Anathot also with hise subarbis; alle the citees weren threttene with her subarbis, bi the kynredis of hem.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
Forsothe to the sones of Caath, residues of her kynrede, thei yauen of the half lynage of Manasses ten citees `in to possessioun.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
Sotheli to the sones of Gerson bi her kynredis thei yauen fourtene citees in Basan, of the lynage of Ysacar, and of the lynage of Aser, and of the lynage of Neptalym, and of the lynage of Manasses.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Forsothe to the sones of Merary by her kynredis thei yauen bi lottis twelue citees, of the lynage of Ruben, of the lynage of Gad, and of the lynage of Zabulon.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
And the sones of Israel yauen to dekenes citees and subarbis of tho;
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
and thei yauen bi lot, of the sones of the lynage of Juda, and of the lynage of the sones of Symeon, and of the lynage of the sones of Beniamyn, these citees, which the dekenes clepiden bi her names;
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
and of hem that weren of the kynrede of the sones of Caath, and in the termes of hem weren the citees of the lynage of Effraym.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
And the sones of Israel yauen to hem citees of refuyt; Sichem with hise subarbis in the hil of Effraym, and Gazer with hise subarbis, also Hicmaan with hise subarbis,
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
and Betheron also.
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
Also of the lynage of Dan thei yauen Ebethe, Gebethor, and Heialan, and Helon, with her subarbis, and Gethremon bi the same maner.
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
Forsothe of the half lynage of Manasses thei yauen Aner, and the subarbis therof, Balaam, and the subarbis therof; that is, to hem that weren residue of the kynrede of the sones of Caath.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Sotheli to the sones of Gerson thei yauen of the kynrede of half the lynage of Manasses, Gaulon in Basan, and the subarbis therof, and Astoroth with hise subarbis.
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
Of the lynage of Isachar thei yauen Cedes, and the subarbis therof, and Daberith with hise subarbis; also Samoth,
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
and his subarbis, `and Anem with hise subarbis.
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
Also of the linage of Aser thei yauen Masal with hise subarbis, and Abdon also,
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
and Asach, and the subarbis therof, and Roob with hise subarbis.
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
Sotheli of the lynage of Neptalym thei yauen Cedes in Galilee, and the subarbis therof, Amon with hise subarbis, and Cariathiarym, and subarbis therof.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
Sotheli to the residue sones of Merary thei yauen of the lynage of Zabulon, Remon, and subarbis therof, and Thabor with hise subarbis.
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
Also biyende Jordan, euene ayens Jerico, ayens the eest of Jordan, thei yauen of the lynage of Ruben, Bosor in the wildirnesse with hise subarbis, and Jasa with hise subarbis,
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
also Cademoth, and hise subarbis, and Myphaat with hise subarbis.
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
Also and of the lynage of Gad thei yauen Ramoth in Galaath, and the subarbis therof, Manaym with hise subarbis,
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
but also Esebon with hise subarbis, and Jezer with hise subarbis.

< 1 Nyakati 6 >