< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Levis Sønner: Gerson, Kehat og Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Kehats Sønner: Amram, Jizhar, Hebron og Uzziel.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
Amrams Børn: Aron, Moses og Mirjam. Arons Sønner: Nadab, Abihu, Eleazar og Itamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Eleazar avlede Pinehas; Pinehas avlede Abisjua;
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
Abisjua avlede Bukki; Bukki avlede Uzzi;
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
Uzzi avlede Zeraja; Zeraja avlede Merajot;
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Merajot avlede Amarja; Amarja avlede Ahitub;
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
Ahitub avlede Zadok; Zadok avlede Ahima'az;
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
Ahima'az avlede Azarja; Azarja avlede Johanan;
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
Johanan avlede Azarja, der var Præst i det Tempel, Salomo byggede i Jerusalem;
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Azarja avlede Amarja; Amarja avlede Ahitub;
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
Ahitub avlede Zadok; Zadokavlede Sjallum;
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
Sjallum avlede Hilkija; Hilkija avlede Azarja;
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
Azarja avlede Seraja; Seraja avlede Jozadak,
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
Men Jozadak drog med, da HERREN lod Juda og Jerusalem føre i Landflygtighed af Nebukadnezar.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Levis ønner: Gerson, Kehat og Me'rari.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
Navnene på Gersons Sønner var følgende: Libni og Sjim'i.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Kehats Sønner: Amram, Jizhar, Hebron og Uzziel.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Meraris Sønner: Mali og Nusji. Det er Leviternes Slægter efter deres Fædrenehuse.
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
Fra Gerson nedstammede: Hans Søn Libni, hans Søn Jahat, hans Søn Zimma,
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
hans Søn Joa, hans Søn Iddo, hans Søn Zera og hans Søn Jeateraj.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Kehats Sønner: Hans Søn Amminadab, hans Søn Kora, hans Søn Assir,
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
hans Søn Elkana, hans Søn Ebjasaf, hans Søn Assir,
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
hans Søn Tahat, hans Søn Uriel, hans Søn Uzzija og hans Søn Sja'ul.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
Elkanas Sønner: Amasaj og Ahimot,
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
hans Søn Elkana, hans Søn Zofaj, hans Søn Tohu,
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
hans Søn Eliab, hans Søn Jeroham, hans SønElkana oghans Søn Samuel.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
Samoels Sønner: Joel, den førstefødte, og den anden Abija.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Meraris Sønner: Mali, hans Søn Libni, hans Søn Sjim'i, hans Søn Uzza,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
hans Søn Sjim'a, hans Søn Haggija og hans Søn Asaja.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
Følgende er de, hem David overdrog Sangen i HERRENs Hus, efter at Arken havde fået et Hvilested,
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
ogsom gjorde Tjeneste foran Åbenbaringsteltets Bolig som Sangere, indtil Salomo byggede HERRENs Hus i Jerusalem; de udførte deres Tjeneste efter de Forskrifter, der var dem givet.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
De, som udførfe denne Tjeneste, og deres Sønner var følgende: Af Hehatiterne Sangeren Heman, en Søn af Joel, en Søn af Samuel,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
en Søn af Elkana, en Søn af Jeroham, en Søn af Eliel, en Søn af Toa,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
en Søn af Zuf, en Søn af Elkana, en Søn af Mahat, en Søn af Amasaj,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
en Søn af Elkaoa, en Søn af Joel, en Søn af Azarja, en Søn af Zefanja,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
en Søn af Tahat, en Søn af Assir, en Søn af Ebjasaf, en Søn af Hora,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
en Søn af Jizhar, en Søn af Kehat, en Søn af Levi, en Søn af Israel.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
Hans Broder Asaf, der havde Plads til højre for ham: Asaf, en Søn af Berekja, en Søn af Sjim'a,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
en Søn af Mikael, en Søn af Ba'aseja, en Søn af Malkija,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
en Søn af Etni, en Søn af Zera, en Søn af Adaja,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
en Søn af Etan, en Søn af Zimma, en Søn af Sjim'i,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
en Søn af Jahat, en Søn af Gerson, en Søn af Levi.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
Deres Brødre, Meraris Sønner, der havde Plads til venstre: Etan, en, Søn af Kisji en Søn af Abdi, en af Malluk,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
en Søn af Hasjabja, en Søn af Amazja, en Søn af Hilkija,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
en Søn af Amzi, en Søn af Bani, en Søn af Sjemer,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
en Søn af Mali en Søn af Musji, en Søn af Merari, en Søn af Levi.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
Deres Brød Leviterne var pligtige at gøre alt Arbejdet ved Guds Hus's Bolig;
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
men Aron og hans Sønner ofrede Røgofre på Brændofferalteret og Røgofferalteret, de udførte alt Arbejde i det Allerhelligste og skaffede Israel Soning, ganske som Guds Tjener Moses havde påbudt.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
Arons Sønner var følgende: Hans Søn Eleazar, hans Søn Pinehas, hans Søn Abisjua,
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
hans Søn Bukki, hans Søn Uzzi, hans Søn Zeraja,
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
hans Søn Merajot, hans Søn Amarja, hans Søn Ahitub,
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
hans Søn Zadok og hans Søn Ahima'az.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
Deres Boliger, deres Teltlejre i deres Område var følgende: Arons Sønner af Kehatiternes Slægt - thi, for dem faldt Loddet først
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
gav man Hebron i Judas Land med tilhørende Græsmarker;
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
men Byens Landområde og Landsbyer gav, man Haleb, Jefunnes Søn.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Arons Sønner gav, man Tilflugtsbyen Hebron, Libna. med Græsmarker. Jattir, Esjtemoa, med Græsmarker,
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
Hilen med Græsmarker, Debir med Græsmarker,
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
Asjan med Græsmarker, Jutta med Græsmarker og Bet-Sjemesj med Græsmarker:
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
Af Benjamins Stamme: Gibeon med Græsmarker, Geba med Græsmarker, Alemet med Græsmarker og Anatot med Græsmarker. I alt tretten Byer med Græsmarker.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
Kehats øvrige Sønner tilfaldt efter deres Slægter ved Lodkastning ti Byer af Efraims og Dans Stammer og Manasses halve Stamme.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
Gersons Sønner tilfaldt efter deres Slægter tretten Byer af Issakars, Asers og Naftalis Stammer og Manasses halve Stamme i Basan.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Meraris Sønner tilfaldt efter deres Slægter ved Lodkastning tolv Byer af Rubens, Gads og Zebulons Stammer.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Så gav Israeliterne Leviterne Byerne med Græsmarker.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
De gav dem ved Lodkastning af Judæernes, Simeoniternes og Benjaminiternes Stammer de ovenfor nævnte Byer.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
Kehatiternes Slægter fik de dem ved Lodkastning tildelte Byer af Efraims Stamme;
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
man gav dem Tilflugtsbyen Sikem med Græsmarker i Efraims Bjerge, Gezer med Græsmarker,
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
Jokmeam med Græsmarker. Bet-Horon med Græsmarker,
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
Ajjalon med Græsmarker og Gat: Rimmon med Græsmarker;
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
af Manasses halve Stamme Aner med Græsmarker og Jibleam med Græsmarker; det tilfaldt de øvrige Hehatiters Slægter.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Gersoniterne efter deres Slægter tilfaldt af den anden Halvdel af Manasses Stamme Golan i Basan med Græsmarker og Asjtarot med Græsmarker;
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
af Issakars Stamme Kedesj med Græsmarker, Dobrat med Græsmarker,
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
Jarmut med Græsmarker og En-Gannim med Græsmarker;
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
af Asers Stamme Masjal med Græsmarker, Abdon med Græsmarker,
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
Hukok med Græsmarker og Rehob med Græsmarker;
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
af Naftalis Stamme Bedesj i Galilæa med Græsmarker, Hammot med Græsmarker og Kirjatajim med Græsmarker.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
De øvrige Leviter, Merariterne, tilfaldt af Zebulons Stamme Rimmon med Græsmarker og Tabor med Græsmarker;
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
og hinsides Jordan over for Jeriko, østen for Jordan, af Rubens Stamme Bezer i Ørkenen med Græsmarker, Jaza med Græsmarker,
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
Kedemot med Græsmarker og Mefa'at med Græsmarker;
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
af Gads Stamme Ramot i Gilead med Græsmarker, Mahanajim med Græsmarker,
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
Hesjbon med Græsmarker og Ja'zer med Græsmarker.

< 1 Nyakati 6 >