< 1 Nyakati 6 >

1 Wana wa Levi walikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Levis Sønner vare: Gersom, Kahath og Merari.
2 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Men Kahaths Sønner vare: Amram, Jizehar og Hebron og Ussiel.
3 Wana wa Amramu walikuwa Aruni, Musa, Miriamu. Wana wa Aruni walikuwa Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.
Og Amrams Børn vare: Aron og Mose og Maria; og Arons Sønner vare: Nadab og Abihu, Eleasar og Ithamar.
4 Eleazari akawa baba wa Finehasi, na Finehasi akawa baba wa Abishua.
Eleasar avlede Pinehas, Pinehas avlede Abisua,
5 Abishua akawa baba wa Buki, na Buki akawa baba wa Uzi.
og Abisua avlede Bukki, og Bukki avlede Ussi,
6 Uzi akawa baba wa Zerahia, na Zerahia akawa baba wa Meraioti.
og Ussi avlede Seraja, og Seraja avlede Merajoth,
7 Meraioti akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Merajoth avlede Amarja, og Amarja avlede Ahitub,
8 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Ahimazi.
og Ahitub avlede Zadok, og Zadok avlede Ahimaaz,
9 Ahimazi akawa baba wa Azaria, na Azaria akawa baba wa Yohanani.
og Ahimaaz avlede Asaria, og Asaria avlede Johanan,
10 Yohanani akawa baba wa Azaria, aliye hudumu katika hekalu alilo lijenga Sulemani ndaniya Yerusalemu.
og Johanan avlede Asaria, ham, som havde Præsteembede i det Hus, som Salomo havde bygget i Jerusalem.
11 Azaria akawa baba wa Amaria, na Amaria akawa baba wa Ahitubi.
Og Asaria avlede Amaria, og Amaria avlede Ahitub,
12 Ahitubi akawa baba wa Zadoki, na Zadoki akawa baba wa Shalumu.
og Ahitub avlede Zadok, og Zadok avlede Sallum,
13 Shalumu akawa baba wa Hilikia, na Hilikia akawa baba wa Azaria.
og Sallum avlede Hilkia, og Hilkia avlede Asaria,
14 Azaria akawa baba Seraia, na Seraia akawa baba wa Yehozadaki.
og Asaria avlede Seraja, og Seraja avlede Jozadak;
15 Yehozadaki akaenda matekani Yahweh alipo wapeleka utumwani Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Nebukadneza.
men Jozadak gik med, der Herren lod Juda og Jerusalem bortføre ved Nebukadnezar.
16 Wana wa Levi walikuwa Gerishomu, Kohathi, na Merari.
Levis Sønner vare: Gersom, Kahath og Merari.
17 Wana wa Gerishomu walikuwa Libini na Shimei.
Og Gersoms Sønners Navne ere disse: Libni og Simei.
18 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Men Kahaths Sønner vare: Amram og Jizehar og Hebron og Ussiel.
19 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Hawa walikuwa koo za Walawi kwa familia za baba zao.
Meraris Sønner vare: Maheli og Musi; og disse ere Leviternes Slægter efter deres Fædre.
20 Uzao wa Gerishomu ulianza na mwanae Libini. Mwana wa Libini alikuwa Jahathi. Mwanae alikuwa Zima.
Gersoms Søn var Libni, hans Søn var Jahath, hans Søn var Simma,
21 Mwanae alikuwa Yoa. Mwanae alikuwa alikuwa Ido. Mwanae alikuwa Zera. Mwanae alikuwa Yeatherai.
hans Søn var Joa, hans Søn var Iddo, hans Søn var Sera, hans Søn var Jeathraj.
22 Uzao wa Kohathi ulianza na mwanae Aminadabu. Mwanae alikuwa Kora. Mwanae alikuwa Asiri.
Kahaths Efterkommere vare: Hans Søn Amminadab, dennes Søn Kora, dennes Søn Assir,
23 Mwanae alikuwa Elikana. Mwanae alikuwa Ebiasa. Mwanae alikuwa Asiri.
dennes Søn Elkana og hans Søn Abiasaf og hans Søn Assir,
24 Mwanae alikuwa Tahathi. Mwanae alikuwa Urieli. Mwanae alikuwa uzia. Mwanae alikuwa Shauli.
dennes Søn Thahath, dennes Søn Uriel, dennes Søn Ussia og dennes Søn Saul.
25 Wana wa Elikana walikuwa Amasai, Ahimothi, na Elikana.
Og Elkanas Sønner vare: Amasaj og Ahimoth.
26 Mwana wa huyu Elikana wa pili alikuwa Zofai. Mwanae alikuwa Nahathi.
Dennes Søn var Elkana, Elkanas Søn var Zofaj, og hans Søn var Nahath.
27 Mwanae alikuwa Eliabu. Mwanae alikuwa Yehoramu. Mwanae alikuwa Elikana.
Dennes Søn var Eliab, dennes Søn var Jeroham, dennes Søn var Elkana.
28 Wana wa Samwali walikuwa mzaliwa wa kwanza, Yoeli, na Abija, wa pili.
Og Samuels Sønner vare: den førstefødte Vasni, og Abija.
29 Mwana wa Merari alikuwa Mahili. Mwanae alikuwa Libini.
Meraris Efterkommere vare: Maheli, dennes Søn Libni, dennes Søn Simei, og hans Søn Ussa,
30 Mwanae alikuwa Shimei. Mwanae alikuwa Uza. Mwanae alikuwa Shimea. Mwanae alikuwa Hagia. Mwana alikuwa Asaia.
dennes Søn Simea, dennes Søn Hagija og hans Søn Asaja.
31 Haya ndio majina ya wanaume ambao Daudi waliwaeka kusimamia muziki katika nyumba ya Yahweh, baada ya sanduku kuja hapo.
Og disse ere de, som David ansatte til Sangens Tjeneste i Herrens Hus, efter at Arken var kommen til Hvile.
32 Walitumika kwa kuimba mbele ya hema, hema la kukutania, mpaka Sulemani alipo jenga nyumba ya Yahweh ndani ya Yerusalemu. Walikamilisha wajibu wao kwa kadiri ya maelekezo waliopewa.
Og de gjorde Tjeneste ved Sangen foran Forsamlingens Pauluns Tabernakel, indtil Salomo byggede Herrens Hus i Jerusalem, og de forestode deres Tjeneste efter deres bestemte Vis.
33 Hawa walitumika pamoja na wana wao. Katika makabila ya Wakohathi alitoka Hemani mwana muziki. Babu zake walikuwa hawa, kurudi nyuma ya wakati: Hemani alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Samweli.
Og disse ere de, som der stode med deres Sønner: Af Kahathiterens Sønner: Sangeren Heman, en Søn af Joel, der var en Søn af Samuel,
34 Samweli alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Yerohamu. Yerohamu alikuwa mwana wa Elieli. Elieli alikuwa mwana wa Toa.
en Søn af Elkana, en Søn af Jeroham, en Søn af Eliel, en Søn af Thoa,
35 Toa alikuwa mwana wa Zufi. Zufi alikuwa mwana wa Elikana. Elikana alikuwa mwana wa Mahathi. Mahathi alikuwa mwana wa Amasai. Amasai alikuwa mwana wa Elikana.
en Søn af Zuf, en Søn af Elkana, en Søn af Mahath, en Søn af Amasaj,
36 Elikana alikuwa mwana wa Yoeli. Yoeli alikuwa mwana wa Azaria. Azaria alikuwa mwana wa Zefania.
en Søn af Elkana, en Søn af Joel, en Søn af Asaria, en Søn af Zefania,
37 Zefania alikuwa mwana wa Tahathi. Tahathi alikuwa mwana wa Asiri. Asiri alikuwa mwana wa Ebiasa. Ebiasa alikuwa mwana wa Kora.
en Søn af Thahat, en Søn af Asir, en Søn af Abiasaf, en Søn af Kora,
38 Kora alikuwa mwana wa Izhari. Izhari alikuwa mwana wa Kohathi. Kohathi alikuwa mwana wa Levi. Levi alikuwa mwana wa Israeli.
en Søn af Jizehar, en Søn af Kahath, en Søn af Levi, en Søn af Israel.
39 Msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliye simama mkono wake wa kuume. Asafu alikuwa mwana Berekia. Berekia alikuwa mwana wa Shimea.
Og hans Broder Asaf stod ved hans højre Side; Asaf var en Søn af Berekia, der var en Søn af Simea,
40 Shimea alikuwa mwana Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Baaseia. Baaseia alikuwa mwana wa Malikiya.
en Søn af Mikael, en Søn af Baaseja, en Søn af Malkija,
41 Malikiya alikuwa mwana wa Ethini. Ethini alikuwa mwana wa Zera. Zera alikuwa mwana wa Adaia.
en Søn af Ethni, en Søn af Sera, en Søn af Adaja,
42 Adaia alikuwa mwana wa Ethani. Ethani alikuwa mwana wa Zima. Zima alikuwa mwana wa Shimei.
en Søn af Ethan, en Søn af Simma, en Søn af Simei,
43 Shimei alikuwa mwana wa Yahathi. Yahathi alikuwa mwana wa Gerishomu. Gerishomu alikuwa mwana wa Levi.
en Søn af Jahath, en Søn af Gersom, en Søn af Levi.
44 Upande wa mkono wa koshoto wa Hemani walikuwa wasaidizi wake wana wa Merari. Alikuwa Ethani mwana wa Kishi. Kishi alikuwa mwana wa Abdi. Abdi alikuwa mwana wa Maluki.
Og Meraris Børn, deres Brødre, stode ved den venstre Side: Ethan, en Søn af Kisi, der var en Søn af Abdi, en Søn af Malluk,
45 Maluki alikuwa mwana wa Hashabia. Hashabia alikuwa mwana wa Amazia. Amazia alikuwa mwana wa Hilikia.
en Søn af Husabja, en Søn af Amazia, en Søn af Hilkia,
46 Hilikia alikuwa mwana wa Amzi. Amzi alikuwa mwana wa Bani. Bani alikuwa mwana wa Shemeri.
en Søn af Amzi, en Søn af Bani, en Søn af Samer,
47 Shemeri alikuwa mwana wa Mahili. Mahili alikuwa mwana wa Mushi. Mushi alikuwa mwana wa Merari. Merari alikuwa mwana wa Levi.
en Søn af Maheli, en Søn af Musi, en Søn af Merari, en Søn af Levi.
48 Walawi, alipangiwa kufanya kazi zote za hema, nyumba ya Mungu.
Og deres Brødre Leviterne vare givne dem til alle Haande Tjeneste i Guds Huses Tabernakel.
49 Aruni na wana wake walitoa sadaka katika madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketeza; na sadaka katika madhabahu ya uvumba kwa kazi zote katika pa patakatifu. Hizi sadaka zilifanya maombezi kwa ajili ya Waisraeli, kwa kadiri ya yote ambayo Musa mtumishi wa Mungu aliwaamuru.
Men Aron og hans Sønner gjorde Røgoffer paa Brændofferets Alter og paa Røgofferalteret, de vare beskikkede til al Gerning i det Allerhelligste og til at gøre Forligelse for Israel efter alt det, som Mose, Guds Tjener, havde befalet.
50 Uzao wa Aruni una kumbukwa kama ifuatavyo: Mwana wa Aruni alikuwa Eleazari. Mwana Eleazari alikuwa Finehasi. Mwana wa Finehasi alikuwa Abishua.
Og disse ere Arons Efterkommere: Hans Søn var Eleasar, dennes Søn Pinehas, dennes Søn Abisua,
51 Mwana wa Abishua alikuwa Buki. Mwana wa Buki alikuwa Uzi. Mwana wa Buki alikuwa Zerahia.
dennes Søn Bukki, dennes Søn Ussi, dennes Søn Seraja,
52 Mwana wa Zerahia alikuwa Meraiothi. Mwana wa Meraiothi alikuwa Amaria. Mwana wa Amaria alikuwa Ahitubi.
dennes Søn Merioth, dennes Søn Amaria, dennes Søn Ahitub,
53 Mwana wa Ahitubi alikuwa Zadoki. Mwana wa Zadoki alikuwa Ahimazi.
dennes Søn Zadok, dennes Søn Ahimaaz.
54 Hizi ni sehemu ambazo wazao wa Aruni walipangiwa kuishi, wazao wa Aruni ambao walitoka katika koo za Wakohathi (maeneo ya kwanza yalikuwa yao).
Og disse vare deres Boliger efter deres Byer i deres Landemærke, for Arons Børn, efter Kahathiternes Slægt; thi denne Lod faldt for dem.
55 Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda na nchi ya malisho,
Og de gave dem Hebron i Judas Land og dens Marker trindt omkring den.
56 lakini maeneo ya mji na vijiji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.
Og Stadens Jord og dens Landsbyer gave de Kaleb, Jefunnes Søn.
57 Kwa wazao wa Aruni waliwapa: Hebroni ( mji wa makimblio), na Libina pamoja na nchi ya malisho, Yatiri, Eshitemoa pamoja na nchi ya malisho,
Saa gave de til Arons Børn Tilflugtsstæderne Hebron og Libna og dens Marker og Jathir og Esthemoa og dens Marker
58 Hileni pamoja na nchi ya malisho, na Debiri pamoja na nchi ya malisho.
og Hilen og dens Marker, Debir og dens Marker
59 Waliwapa uzao wa Aruni: Ashani pamoja na nchi ya malisho na Bethi Shemeshi pamoja na nchi ya malisho;
og Asan og dens Marker og Bethsemes og dens Marker
60 na kutoka katika kabila la Benjamini walipewa Geba pamoja na nchi ya malisho, Alemethi pamoja na nchi ya malisho, na Anothothi na nchi ya malisho. Jumla ya miji yao ilikuwa kumi na tatu.
og af Benjamins Stamme: Geba og dens Marker, Allemeth og dens Marker og Anathoth og dens Marker; alle deres Stæder vare tretten Stæder for deres Slægter.
61 Uzao mwengine wa Kohathi waliwapa kwa sehemu miji kumi kutoka kwa kabila la Manase.
Men de øvrige, Kahaths Børn, af Stammens Slægt tilfaldt af den halve Manasses Stammes Halvdel ved Lod ti Stæder.
62 Kwa uzao wa Gerishomu kwa koo zao tofauti walipewa miji kumi na tatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri, Naftali, na nusu ya kabila la Manase huko Bashani.
Og Gersoms Børn i deres Slægter havde af Isaskars Stamme og af Asers Stamme og af Nafthalis Stamme og af Manasses Stamme i Basan tretten Stæder.
63 Kwa uzao wa Merari walipewa miji kumi, kulingana na koo zao, kutoka kwa makabila ya Rubeni, Gadi, na Zebuluni.
Meraris Børn i deres Slægter havde af Rubens Stamme og af Gads Stamme og af Sebulons Stamme ved Lod tolv Stæder.
64 Hivyo watu wa Israeli walitoa hii miji pamoja na nchi za malisho kwa Walawi.
Saa gave Israels Børn Leviterne Stæderne og deres Marker.
65 Walitoa kwa sehemu miji iliyo tajwa awali kutoka katika kabila la Yuda, Simeoni, na Benjamini.
Og de gave ved Lod af Judas Børns Stamme og af Simeons Børns Stamme og af Benjamins Børns Stamme disse Stæder, som de nævnede ved Navn.
66 Kwa baadhi ya koo za Wakohathi walitoa miji kutoka kwa kabila la Efraimu.
Og de af Kahaths Børns Slægter fik Ejendoms Stæder af Efraims Stamme.
67 Waliwapa: Shekemu ( mji wa makimbilio) pamoja na nchi ya malisho katika milima ya Efraimu, Gezeri na nchi ya malisho,
Thi de gave dem Tilflugtsstæderne Sikem og dens Marker paa Efraims Bjerg og Geser og dens Marker
68 Jokimeamu pamoja na nchi ya malisho, Bethi Horoni pamoja na nchi ya malisho,
og Jokmeam og dens Marker og Beth-Horon og dens Marker
69 Aiyaloni pamoja na nchi ya malisho, na Gathi Rimoni pamoja na nchi ya malisho.
og Ajalon og dens Marker og Gath-Rimmon og dens Marker
70 Nusu ya kabila la Manase waliwapa Wakohathi: Aneri pamoja na nchi ya malisho na Bileamu pamoja na nchi ya malisho. Hizi zikawa mali za koo za Wakohathi.
og af den halve Manasses Stamme: Aner og dens Marker og Bileam og dens Marker. Dette var for de øvrige, Kahaths Børns Slægt.
71 Kwa uzao wa Gerishomu kutoka koo za nusu ya kabila la Manase, waliwapa: Golani huko Baashani na nchi ya malisho na Ashitarothi pamoja na nchi ya malisho.
Gersoms Børn gave de af den halve Manasses Stammes Slægt: Golan i Basan og dens Marker og Astharoth og dens Marker
72 Kabila la Isakari liliwapa uzao wa Gerishomu: Kedeshi pamoja na nchi ya malisho, Dabera pamoja na nchi ya malisho,
og af Isaskars Stamme: Kedes og dens Marker, Dobrath og dens Marker
73 Ramothi pamoja na nchi ya malisho, na Anemu pamoja na nchi ya malisho.
og Ramoth og dens Marker og Anem og dens Marker
74 Isakari alipokea kutoka kwa kabila la Asheri: Mashali pamoja na nchi ya malisho, Abdoni pamoja na nchi ya malisho,
og af Asers Stamme: Masal og dens Marker og Abdon og dens Marker,
75 Hukoki pamoja na nchi ya malisho, na Rehobu pamoja na nchi ya malisho.
og Hukok og dens Marker og Rekob og dens Marker
76 Walipokea kutoka kabila la Naftali: Kedeshi iliyo Galileya pamoja na nchi ya malisho, Hamoni pamoja na nchi ya malisho, na Kiriathaimu pamoja na nchi ya malisho.
og af Nafthalis Stamme: Kedes i Galilæa og dens Marker og Ham mon og dens Marker og Kirjathaim og dens Marker.
77 Kwa Walawi wengine, uzao wa Merari, walipewa kutoka kabila la Zebuluni: Rimono pamoja na nchi ya malisho na Tabori pamoja na nchi ya malisho.
De øvrige, Meraris Børn, gave de af Sebulons Stamme Rimono og dens Marker, Thabor og dens Marker.
78 Kwa wao pia walipewa, upande wa pili wa Yordani huko Yeriko, kwa upande wa mashariki mwa mto: Bezeri katika jangwa pamoja na nchi ya malisho, Yahzahi pamoja na nchi ya malisho,
Og paa hin Side Jordanen ved Jeriko, Østen for Jordanen, gave de dem af Rubens Stamme: Bezer i Ørken og dens Marker og Jahza og dens Marker
79 Kedemothi pamoka na nchi ya malisho, ma Mefathi pamoja na nchi ya malisho. Hizi zilitolewa kutoka kabila la Rubeni.
og Kedemoth og dens Marker og Mefat og dens Marker
80 Walawi walipokea kutoka kabila la Gadi: Ramothi ya Gileadi pamoja na nchi ya malisho, Mahanaimu pamoja na nchi ya malisho,
og af Gads Stamme Ramoth i Gilead og dens Marker og Mahanaim og dens Marker
81 Heshiboni pamoja na nchi ya malisho, na Yazeri pamoja na nchi ya malisho.
og Hesbon og dens Marker og Jaeser og dens Marker.

< 1 Nyakati 6 >