< 1 Nyakati 5 >

1 Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
Сынове же Рувима первенца Израилева: яко той первенец: и внегда ему взыти на ложе отца своего, даде благословение его сыну своему Иосифу, сыну Израилеву, и не бысть (той) вменен в первенство,
2 Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
яко Иуда силен крепостию и в братии своей, и в вожда из него, и благословение Иосифу.
3 wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
Сынове Рувима первенца Израилева: Енох и Фаллус, Асрон и Хармий.
4 Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
Сынове Иоилевы: Семей и Ванеа сын его. Сынове же Гога сына Семеина:
5 Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
сын его Миха, сын его Риха, сын его Ваал,
6 Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
Векра сын его, егоже пресели Фаглафалласар царь Ассирииский: сей бысть князь колена Рувимова.
7 Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
И братия его во отечестве своем, в исчислениих своих, по родом их, князь Иоиль и Захариа,
8 Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
и Валек сын Азузов, сын Саммы, сын Иоилев: той обита во Ароире и в Наване и Веелмаоне,
9 na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
и противу востока обита даже до входа пустыни, от реки Евфрата, яко скот их мног в земли Галаадстей.
10 Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
Во дни же Саула возведоша брань противу Агарян: и падоша в руках их обитающии в жилищах своих вси к востоку Галаадску.
11 Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
Сынове Гадовы прямо их обиташа в земли Васани до Селха:
12 Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
Иоиль первенец, и Сафам вторый, и Ианин книжник Васанский.
13 Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
И братия их, по домом отечеств их: Михаил и Мосоллам, и Савей и Иора, и Иохан и Иовиа и Овид, седмь.
14 Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
Сии сынове Авихаила сына Рувиина, и Адди, сына Галаадова, сына Михаилова, сына Иессеина, сына Иедаина, сына Вузова,
15 Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
брата сына Авдиилова, сына Гуниина, князь дому отечеств их.
16 Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
Обиташа в Галааде, в Васане и в весех их и во всех окрестных Саронских, даже до исхода.
17 Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
Вси сии сочтени быша во дни Иоафама царя Иудина и во дни Иеровоама царя Израилева.
18 Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
Сынове Рувимовы и Гадовы и полплемене Манассиина (биша) сынове сильни, мужие носяще щиты и мечы и напрязающе луки и научени брани, четыредесять и четыри тысящы и седмь сот и шестьдесят, исходящии на ополчение.
19 Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
И твориша брань со Агаряны и Итуреаны, и Нафисеаны и Надавеаны,
20 Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
и укрепишася над ними: и предашася в руце их Агаряне и вся обитания их, зане к Богу воззваша во брани, и услыша их, зане уповаша на Него.
21 Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
И плениша имения их, велблюдов пятьдесят тысящ, и овец двести пятьдесят тысящ, и ослов две тысящы, и душ человеческих сто тысящ:
22 Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
ранении же мнози падоша, зане (бысть) от Бога брань: и вселишася вместо их даже до преселения.
23 Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
И полплемене Манассиина вселишася в земли от Васана даже до Ваала Ермоня и Санира и горы Аермонски: и сии в Ливане умножишася.
24 Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
И сии (быша) князи дому отечеств их: Гофер и Иеси, и Елиил и Иеремиа, и Иодуиа и Иедиил, мужие сильни в крепости, мужие именитии, князи по домом отечеств своих.
25 Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
И оставиша Бога отец своих и соблудиша вслед богов людий земли, ихже потреби Бог от лица их:
26 Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.
и воздвиже Бог Израилев дух Фула царя Ассирийска и дух Фаглафалласара царя Ассирийска, и пресели Рувима и Гада и полплемене Манассиина, и введе их во Аллан и Иовор, и во Аран и на реку Гозан, даже до дне сего.

< 1 Nyakati 5 >