< 1 Nyakati 5 >
1 Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
Also the sones of Ruben, the firste gendrid sone of Israel; for he was the first gendrid sone of Israel, but whanne he hadde defoulid the bed of his fadir, the dignitye of his firste gendryng was youun to the sones of Joseph, the sone of Israel; and Ruben was not arettid in to the firste gendrid sone.
2 Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
Forsothe Judas, that was the strongeste among hise britheren, prynces weren gaderid of his generacioun; forsothe the `riyt of firste gendryng was arettid to Joseph.
3 wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
Therfor the sones of Ruben, the firste gendrid sone of Israel, weren Enoch, and Phallu, Esrom, and Charmy.
4 Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
The sones of Johel weren Samaie; his sone, Gog; his sone, Semey;
5 Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
his sone, Mycha; his sone, Rema; his sone, Baal;
6 Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
his sone, Bera; whom Theglatphalassar, kyng of Assyriens, ledde prisoner; and he was prince in the lynage of Ruben.
7 Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
Sotheli hise britheren, and al the kynrede, whanne thei weren noumbrid bi her meynees, hadden princes Jehiel, and Zacharie.
8 Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
Forsothe Bala, the sone of Achaz, sone of Sama, sone of Johel, he dwellide in Aroer til to Nebo and Beelmoon;
9 na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
and he dwellide ayens the eest coost, til to the ende of deseert, `and to the flood Eufrates. And he hadde in possessioun myche noumbre of beestis in the lond of Galaad.
10 Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
Forsothe in the daies of Saul the sones of Ruben fouyten ayens Agarenus, and killide hem; and dwelliden for hem in the tabernaclis of hem, in al the coost that biholdith to the eest of Galaad.
11 Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
Sotheli the sones of Gad euene ayens hem dwelliden in the lond of Basan til to Selca;
12 Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
Johel was in the bygynnyng, and Saphan was the secounde; also Janahi and Saphan weren in Basan.
13 Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
Also her britheren bi the housis of her kynredis, Mychael, and Mosollam, and Sebe, and Jore, and Jachan, and Zie, and Heber, seuene.
14 Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
These weren the sones of Abiahel, the sone of Vry, sone of Jaro, sone of Galaad, sone of Mychael, sone of Esesi, sone of Jeddo, sone of Buz.
15 Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
Also the britheren of the sone of Abdiel, sone of Gumy, was prince of the hows in hise meynees.
16 Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
And thei dwelliden in Galaad, and in Basan, and in the townes therof, in alle the subarbis of Arnon, til to the endis.
17 Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
Alle these weren noumbrid in the daies of Joathan, kyng of Juda, and in the daies of Jeroboam, kyng of Israel.
18 Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
The sones of Ruben, and of Gad, and of half the lynage of Manasses, weren men werriours, berynge scheeldis and swerdis, and beendynge bouwe, and tauyt to batels, foure and fourti thousynde seuene hundrid and sixti,
19 Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
and thei yeden forth to batel, and fouyten ayens Agarenus. Forsothe Ethureis, and Napheis,
20 Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
and Nadab, yauen help to hem; and Agarenus, and alle men that weren with hem, weren bitakun in to the hondis of Ruben, and Gad, and Manasses; for thei clepiden inwardli the Lord, while thei fouyten, and the Lord herde hem, for thei `hadden bileuyd in to him.
21 Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
And thei token alle thingis whiche Agarenus hadden in possessioun, fifti thousynde of camels, and twei hundrid and fifty thousynde of scheep, twei thousynde of assis, and an hundrid thousynde persoones of men;
22 Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
for many men weren woundid and felden doun; for it was the batel of the Lord. And thei dwelliden for Agarenus til to the conquest.
23 Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
Also the sones of the half lynage of Manasses hadden in possessioun the lond, fro the endis of Basan til to Baal Hermon, and Sanyr, and the hil of Hermon; for it was a greet noumbre.
24 Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
And these weren the princes of the hows of her kynrede; Epher, and Jesi, and Heliel, and Esryel, and Jeremye, and Odoie, and Jedihel, strongeste men and myyti, and nemyd duykis in her meynees.
25 Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
Forsothe thei forsoken the God of her fadris, and diden fornycacioun after the goddis of puplis of the lond, whiche the Lord took awei bifor hem.
26 Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.
And the Lord God of Israel reiside the spirit of Phul, kyng of Assiriens, and the spirit of Theglatphalasser, kyng of Assur; and he translatide Ruben, and Gad, and the half lynage of Manasses, and brouyte hem in to Ale, and Abor, and Aram, and in to the ryuer of Gozam, til to this dai.