< 1 Nyakati 5 >

1 Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
Reuben was the oldest son of Jacob. Therefore, he should have received the special rights/privileges that belonged to firstborn sons. But he had sex with his father’s slave wife, so [his father] gave the rights if a firstborn son to the sons of Reubers younger brother Joseph. And in the family records, Reuben is not mentioned first, like the firstborn sons always are.
2 Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
Although Judah became more influential than his brothers, and a ruler of the tribe descended from him, Joseph’s family received the rights that belonged to firstborn sons.
3 wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
But Reuben was Jacob’s oldest son. Reuben’s sons were Hanoch, Pallu, Hezron, and Carmi.
4 Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
[Another descendant of Reuben was Joel]. Joel’s son was Shemaiah. Shemaiah’s son was Gog. Gog’s son was Shimei.
5 Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
Shimei’s son was Micah. Micah’s son was Reaiah. Reaiah’s son was Baal.
6 Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
Baal’s son was Beerah. Beerah was a leader of the tribe/descendants of Reuben. But Tiglath-Pileser the king of Assyria captured him and took him to Assyria.
7 Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
The names of these clans are listed here according to what is written in their family records. The first [name written was] Jeiel. Then Zechariah,
8 Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
and then Bela. Bela was the son of Azaz, and Azaz was the son of Shema, and Shema was the son of Joel. Reuben’s clan was very large. Some of them lived near Aroer [city] as far [north] as Nebo [town] and Baal-Meon [city].
9 na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
Some of them lived further east, as far as the edge of the desert [south of] the Euphrates River. [They went there] because they had a huge amount of cattle, [with the result that there was not enough pastureland for them] in [the] Gilead [region].
10 Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
When Saul was king [of Israel], Bela’s clan fought against the descendants of Hagar and defeated them. After that, Bela’s clan lived in the tents that the descendants of Hagar had lived in previously, in all the area east of [the] Gilead [region].
11 Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
The tribe of Gad lived near the tribe of Reuben; they lived in [the] Bashan [region], all the way [east] to Salecah [town].
12 Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
Joel was their chief; Shapham was his assistant; other leaders were Janai and Shaphat.
13 Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
Other members of the tribe belonged to seven clans, whose leaders were Michael, Meshullam, Sheba, Jorai, Jacan, Zia, and Eber.
14 Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
They were descendants of Abihail. Abihail was Huri’s son. Huri was Jaroah’s son. Jaroah was Gilead’s son. Gilead was Michael’s son. Michael was Jeshishai’s son. Jeshishai was Jahdo’s son. Jahdo was the son of Buz.
15 Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
Ahi was Abdiel’s son. Abdiel was Guni’s son. Ahi was the leader of their clan.
16 Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
The descendants of Gad lived in the towns in Gilead and Bashan regions, and on all the pastureland on [the] Sharon [plain].
17 Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
All of those names were written in the records of the clans of Gad during the time that Jotham was the king of Judah and Jeroboam was the king of Israel.
18 Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
There were 44,760 soldiers from the tribes of Reuben and Gad and [the eastern] half of the tribe of Manasseh. They all carried shields and swords and bows [and arrows]. They [were all trained to] fight well in battles.
19 Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
They attacked the descendants of Hagar and the people of Jetur, Naphish, and Nodab [cities].
20 Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
The men from those three tribes prayed to God during the battles, requesting him to help them. So he helped them, because they trusted in him. He enabled them to defeat [IDM] the descendants of Hagar and all those who were helping them.
21 Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
They took the animals that belonged to the descendants of Hagar: They took 50,000 camels, 250,000 sheep, and 2,000 donkeys. They also captured 100,000 people.
22 Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
But many descendants of Hagar were killed because God helped the people of the tribes of Reuben, Gad, and Manasseh. After that, those three tribes lived in that area until [the army of] Babylonia [captured them and] took them away to Babylon.
23 Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
There were many people who belonged to the eastern half of the tribe of Manasseh. They lived in [the] Bashan [region east of the Jordan River], as far [north] as Baal-Hermon, Senir, and Hermon Mountain.
24 Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
Their clan leaders were Epher, Ishi, Eliel, Azriel, Jeremiah, Hodaviah, and Jahdiel. They were all strong, brave, and famous soldiers, and leaders of their clans.
25 Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
But they sinned against God, the one whom their ancestors had worshiped. They began to worship the gods/idols that the people of that region had worshiped, the people whom God had enabled them to destroy!
26 Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.
So the God whom the Israelis [worshiped] caused Pul, the king of Assyria, to conquer those tribes. Pul’s other name was Tiglath-Pileser. His [army] captured the people of the tribes of Reuben, Gad, and the eastern half of the tribe of Manasseh, and took them to [various places in Assyria]: Halah, Habor, Hara and near the Gozan River. [They have lived in those places from that time] to the present time.

< 1 Nyakati 5 >