< 1 Nyakati 5 >
1 Wana wa Rubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli - sasa Rubeni alikuwa mzaliwa wa kwanza wa Israeli, lakini haki yake ya mzaliwa wa kwanza ilipewa kwa wana wa Yusufu mwana wa Israeli kwa sababu Rubeni alinajisi kochi la baba yake. Hivyo hajanakiliwa kama mwana wa kwanza.
Liubene da Ya: igobe ea magobo mano. (E da ea ada ea gidisedagi uda afae amo adole laiba: le, Ya: igobe da ea magobo mano nana lamu ilegei amo ema imunu bugi. Amo nana da Yousefe ea lai.
2 Yuda alikuwa mwenye nguvu kuliko kaka zake, na kiongozi ata toka kwake. Lakini haki ya mzaliwa wa kwanza ilikuwa ya Yusufu -
Yuda fi da gasa fili, eno fi huluane ouligima: ne, ouligisu dunu ilegei.)
3 wana wa Rubeni, mzaliwa wa kwanza wa Israeli alikuwa Hanoki, Palu, Hezroni, na Karmi.
Liubene da Ya: igobe ea magobo mano galu. Egefelali da Ha: inoge, Ba: liu, Heselone amola Gami.
4 Uzao wa Yoeli ulikuwa huu: Mwana wa Yoeli alikuwa Shemaia. Mwana wa Shemaia alikuwa Gogi. Mwana wa Gogi alikuwa Shimei.
Youele egaga fifi misi da Siema: ia, Siema: ia egefe Goge, Goge egefe Simiai,
5 Mwana wa Shimei alikuwa Mika. Mwana wa Mika alikuwa Reaia. Mwana wa Reaia alikuwa Baali.
Simiai egefe Maiga, Maiga egefe Lia: ia, Lia: ia egefe Ba: ile amola
6 Mwana wa Baali alikuwa Bera, ambaye Tiligathi Pileseri alimpeleka matekani kule Assiria. Bera alikuwa kiongozi katika kabila la Rubeni.
Ba: ile egefe Biela. Asilia hina bagade Digala: de Bilisa da Biela mugululi asi. Biela da Liubenaide fi ouligisu esalu.
7 Ndugu wa Bera kwa makabila yao ni hawa wafuatao, wameorodheshwa katika nakala za uzao wao: Yeieli wa kwanza, Zekaria, na
Ilia sosogo fifi asi da agoane dedene legei. Yiaiele da bisilua galu. Amalu Segalaia,
8 Bela mwana wa Azazi mwana wa Shema mwana wa Yoeli. Waliishi Aroeri, kwa umbali wa Nebo na Baali Meoni,
Youele egefe da Sima, Sima egefe da A: isa: se, A:isa: se egefe da Bila. Ilia da soge amo da Aloua moilai amola Nibou amola Ba: ile Mione moilaiga dogoa dialu fi dialu.
9 na mwanzo wa mashariki mwa jangwa lenye umbali wa hadi Mto Efarati. Hii ni kwa sababu walikuwa na mifugo mingi katika nchi ya Gileadi.
Eso maba gusudili, ilia soge amo da ahoana hafoga: i sogega asili, Iufala: idisi Hano amoga doaga: i, amo sogega fi dialu. Bai ilia ohe fi Gilia: de soge ganodini fofoi da bagohamedafa ba: i.
10 Katika siku za Sauli, kabila la Rubeni lilishambulia Wahagiri na kuwa shinda. Wakaishi ndani ya hema za Wahagiri katika nchi yote mashariki mwa Gileadi.
Solo ea Isala: ili soge ouligibi esoga, ilia da Hagalaide dunu doagala: lalu, hasali dagoi. Ilia da Gilia: de soge amoga gusudili soge huluane amo ganodini Hagalaide dunu ilia diasu huluane sugui amola amo ganodini fi dialu. Ga: de Egaga Fifi Misi
11 Kabila la Gadi liliishi karibu nao, katika nchi ya Bashani umbali wa Saleka.
Ga: de fi dunu da Liubene fi gadenene dafulili fi dialebe ba: i. Ilia da Ba: isia: ne soge ganodini esalu amola soge alalo da Sa: lega amoga dialebe ba: i.
12 Viongozi wao walikuwa Yoeli, aliyekuwa kichwa wa ukoo, na Shafamu alikuwa kichwa wa ukoo mwingine, na Yanai na Shafati walikuwa wa Bashani.
Youele da bisilua, amola ilibi bagia da Sia: fa: me. Amo fa: no, Ya: nai amola Sia: ifa: de da Ga: de fi Ba: isia: ne soge ganodini ouligisu.
13 Ndugu zao, kwa familia za baba yao, walikuwa Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, na Eberi - jumla saba wote.
Ilia sosogo fi dunu da Maiga: le, Misiala: me, Siba, Youla: iai, Ya: iga: ne, Sia amola Ibe. Huluane da fesuale mabu.
14 Hawa watu walio tajwa hapo juu ni uzao wa Abihaili, na Abihaili alikuwa mwana wa Huri. Huri alikuwa mwana w a Yaroa. Yaroa alikuwa mwana wa Gileadi. Gileadi alikuwa mwana wa Mikaeli. Mikaeli alikuwa mwana wa Yeshishai. Yeshishai alikuwa mwana wa Yado. Yado alikuwa mwana wa Buzi.
Amo huluane da A: biha: ile egefelali. A: biha: ile eda da Hiulai, Hiulai eda da Yaloua, Yaloua eda da Gilia: de, Gilia: de eda da Maiga: le, Maiga: le eda da Yisisia: iai, Yisisia: iai eda da Yadou amola Yadou eda da Base.
15 Ahi mwana wa Abidieli mwana wa Guni, alikuwa kichwa cha familia ya baba yake.
A: ihai (A: badaiele egefe amola Giunai ea aowa) e da ilia sosogo fi fada: i dunu esalu.
16 Waliishi Gileadi, Bashani, katika miji, na katika nchi zote za malisho ya Sharoni kwa umbali wa mipaka yake.
Ga: de fi dunu da Gilia: de soge, Ba: isia: ne soge, la: ididili dialebe moilai amola Sia: lane ohe fi ilia ha: i nasu soge, amo ganodini fi dialu.
17 Hawa wote waliorodheshwa katika nakaka za uzao katika siku za Yothamu mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.
Amo fi dunu huluane, ilia dio da Yuda hina bagade Youda: ne amola Isala: ili hina bagade Yelouboua: me elea ouligibi esoga, dedene legei dialu.
18 Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase walikuwa na wana jeshi elfu arobaini na nne walio fuzu kwa vita, walio beba ngao na upanga, na pinde na mishale.
Liubene fi amola Ga: de fi amola Ma: na: se fi dogoa momogi fi, ilia dadi gagui dunu amo da gegemusa: momagei, ilia idi da 44,760 agoane. Ilia huluane da gasa bagade dunu. Ilia da da: igene gasu, gegesu gobihei amola oulali amo huluane amoga gegemusa: dawa: i. Ilia huluane da gegesu hou adoba: i dagoi.
19 Waliwashambulia Wahagri, Yeturi, Nafishi, na Nodabu.
Ilia da Ha: galaide, Yide, Na: ifisie amola Nouda: be, amo fi doagala: le, hasalasi.
20 Walipokea msaada wa Kimungu dhidi yao. Katika hili Wahagri na wote walio kuwa nao walishindwa. Hii ni kwa sababu Waisraeli walipaza sauti katika vita, na yeye akawajibu, kwa sababu waliweka tumaini lao kwake.
Gode da ilia gegesu noga: le fidibiba: le, ilia da Ha: galaide fi dunu amola ilia fuli gala: su dunu huluane amo hasalasi. Bai ilia da gegesu ganodini, Godema wele sia: i. Ilia da Gode Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le, Gode da ilia sia: ne gadosu amo nabawane didili hamoi.
21 Walikamata wanya wao, pamoja na ngamia elfu hamsini, kondoo 250, 000, punda elfu mbili, na wanaume 100, 000.
Ilia da Ha: galaide fi ilia ohe fofoi huluane samogei dagoi. Ilia samogei da ga: mele 50,000 agoane, sibi 250,000 agoane amola dougi 2,000 agoane. Amola ilia da Ha: galaide dunu 100,000 agoane gagulaligili, hiouginana misi.
22 Kwa sababu Mungu aliwapigania, waliua maadui wengi. Waliishi katika nchi yao mpaka mateka.
Amola ilia da eno Ha: galaide dunu bagohamedafa medole legei. Bai Gode da ilia gegesu noga: le fidi. Ilia amo soge lale fi amogainini ilia da mugululi asi ba: i.
23 Baadhi ya watu wa kabila la Manase waliishi katika nchi ya Bashani kwa umbali wa Hermoni na Seniri (hiyo ni, Mlima Hermoni).
Ma: na: se sosogo fi dogoa mogi dunu da bagohame ba: i. Ilia da Ba: isia: ne, Ba: ile Hemone, Sine amola Hemone Goumi amo soge la: diga la: diga dogoa fifi lai.
24 Hawa walikuwa viongozi wa familia zao: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia, na Yahdieli. Walikuwa wenye nguvu na wanaume wa jasiri, wanaume maharufu, viongozi wa familia zao.
Ma: na: se sosogo fi amoga fada: i dunu da Ifia, Isiai, Ilaiele, A:saliele, Yelemaia, Houdafaia amola Yadiele. Ilia da nimi gesa: i dadi gagui dunu amola mimogo dunu galu. Ilia da Ma: na: se sosogo fi fada: i dunu esalu.
25 Lakini walikuwa sio wa aminifu kwa Mungu wa babu zao. Badala yake, waliabudu miungu ya watu waio nchi, ambao Mungu aliwaangamiza mbele yao.
Be ilia da ilia aowalalia Godema baligi fa: su. Ilia da Ga: ina: ne sogega gusuba: i ahoanoba, Gode da Ga: ina: ne ogogosu ‘gode’ liligi amo gugunufinisi. Be ilia da amo mae dawa: le, bu amo ogogosu ‘gode’ ilima fa: no bobogei.
26 Mungu wa Israeli alimchochea Puli mfalme wa Assiria ( ambaye pia uitwa Tiligathi Pileseri, mfalme wa Assiria). Aliwa peleka matekani Warubeni, Wagadi, na nusu ya kabila la Manase. Aliwaleta kwa Hala, Habori, Hara, na kwenye mto wa Gozani, ambapo wapo adi leo.
Amaiba: le, Isala: ili fi ilia Gode da Asilia soge hina bagade (Digala: de Bilisa) amo e da amo dunuma gegema: ne sesei. E da Liubene fi dunu, Ga: de fi dunu amola Ma: na: se fi dogoa mogi fi dunu huluane mugululi hiouginana asi. E da ili huluane Ha: ila, Ha: ibo, Hala amola Gousa: ne Hano, amo sogega hiougili asi. Ilia da wali amogawi fi diala.