< 1 Nyakati 4 >
1 Uzao wa Yuda ulikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri, na Shobali.
Synowie Judowi: Fares, Hesron, i Charmi, i Hur, i Sobal.
2 Shobali alikuwa baba wa Reaya. Reaya alikuwa baba wa Yahathi. Yahathi alikuwa baba wa Ahumai na Lahadi. Hawa walikuwa mababu wa koo za Wasorathi.
A Rejasz, syn Sobalowy spłodził Jahata, a Jahat spłodził Achuma, i Laada. Teć są rodzaje Zaratego.
3 Hawa walikuwa mababu wa ukoo katika mji wa Etamu: Yezreeli, Ishma, na Idbashi. Babu yao alikuwa Haselelponi.
Ci też są z ojca Etama: Jezreel, i Jesema, i Idbas; a imię siostry ich Selelfuni.
4 Penueli alikuwa babu wa koo katika mji wa Gedori. Ezeri alikuwa muanzilishi wa koo katika Husha. Hawa walikuwa uzao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi na muanzilishi wa Bethelehemu.
A Faunuel ojciec Giedory, i Ezer ojciec Hosy. Cić są synowie Hura, pierworodnego Efraty, ojca Betlehemczyków.
5 Ashuri baba wa Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
A Assur, ojciec Tekui, miał dwie żony: Chelę i Naarę.
6 Naara alimzalia Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahashtari. Hawa walikua wana wa Naara.
I urodziła mu Naara Achusama, i Hefera, i Temana, i Achastara. Cić są synowie Naary.
7 Wana wa Hela walikua Serethi, Ishari, Ethnani,
Synowie zasię Cheli: Seret, Jesochar, i Etnan.
8 na Kozi, alikua baba wa Anubu na Sobeba, na koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu.
A Kos spłodził Anuba, i Hasoboba, i dom Acharchela, syna Harumy.
9 Yabesi aliheshimika zaidi ya kaka zake. Mama yake alimuita Yabesi. Alisema, “Kwasababu nimemzaa katika huzuni.”
A Jabes był zacniejszy nad braci swych, któremu matka jego dała imię Jabes, mówiąc: Bom go w boleści urodziła.
10 Yabesi akamuita Mungu wa Israeli na kusema, “Kama tu utanibariki mimi, ongeza mipaka yangu, na mkono wako ukuwa juu yangu. Ukifanya hivi utaninusuru na mabaya, ili kwamba niwe huru na huzuni!” Kwa hivyo Mungu akamjalia maombi yake.
I wzywał Jabes Boga Izraelskiego, mówięc: Jeźli błogosławiąc błogosławić mi będziesz, a rozszerzysz granice moje, a będzie ręka twoja ze mną, a wybawisz mię od złego, abym utrapiony nie był. I wypełnił to Bóg, o co go prosił.
11 Kelubu kaka wa Shuha akawa baba wa Mehiri, aliyekuwa baba wa Eshtoni.
A Chelub, brat Sucha, spłodził Mechyra; ten jest ojcem Estona.
12 Eshtoni akawa baba wa Beth-Rafa, Pasea, na Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi. Hawa ni wanaume walioishi Reka.
A Eston spłodził Betrafa, i Paseacha, i Techynna, ojca miasta Nahas. Cić są mężowie Rechy.
13 Wana wa Kenazi walikua Othinieli na Seraia. Wana wa Othinieli walikuwa Hathathi na Meonothai.
A synowie Kienazowi: Otonijel, i Seraja; a synowie Otonijelowi: Hatat i Meanataj.
14 Meonothai akawa baba wa Ofara, na Seraia akawa baba wa Yohabu, mwanzilishi wa Ge Harashimu, ambao watu wake walikua wahunzi.
A Meanataj spłodził Ofra, a Serajasz spłodził Joaba, ojca w dolinie mieszkających rzemieślników; bo rzemieślnicy byli.
15 Wana wa Kalebu mwana wa Yefune walikua Iru, Ele na Namu. Wana wa Ela alikua Kenazi.
Synowie zasię Kaleba, syna Jefumi: Hyru, Ela, i Nahain; a syn Ela jest Kienaz.
16 Wana wa Yehaleli walikua Zifi, Zifa, Tiriya, na Azareli.
A synowie Jehaleleela: Zyf i Zyfa, Tyryja, i Azarel.
17 Wana wa Ezra walikua Yetheri, Meredi, Eferi, na Yaloni.
A synowie Ezry: Jeter, i Mered, i Efer, i Jalon; a żona Merodowa urodziła Miryjama, i Samaja, i Isbacha, ojca Estemoa.
18 Mke wake Meredi wa Kimisri alimzalia Miriamu, Shamai, na Ishibahi, aliyekua baba wa Eshitemoa. Hawa walikua wana wa Bithia, binti wa Farao, ambaye Meredi alimuoa. Mke wa Kiyahudi wa Meredi alimzalia Yeredi, ambaye alikua baba wa Gedore; Heberi, aliyekua baba wa Soko; na Yekuthieli aliyekua baba wa Zanoa.
Żona też jego Judaja urodziła Jereda, ojca Giedor, i Hebera, ojca Socho, i Jekutyjela, ojca Zanoach. Cić są synowie Betii, córki Faraonowej, którą był pojął Mered.
19 Kati ya watoto wawili wa mke wa Hodia, dada wa Nahamu, mmoja wao kawa baba wa Keila Mgarimite. Mwingine alikua Eshitemoa Mmakathite.
A synowie żony Hodyjaszowej, siostry Nahama, ojca Ceili: Garmi i Estemoa Mahatczyk.
20 Wana wa Shimoni walikua Amnoni, Rina, Beni Hanani, na Tilon. Wana wa Ishi walikua Zohethi na Beni Zoheti.
A synowie Symonowi: Amnon, i Rynna, Benchanan i Tylon; a synowie Isy: Zochet i Bensochet.
21 Uzao wa Shela mwana wa Yuda, Ulikua ni Eri baba wa Leka, Laada baba wa Maresha na koo za wafanyakazi wa kushona kule Beth Ashbea,
Synowie Seli, syna Judowego: Her, ojciec Lecha i Laada, ojciec Maraa; i rodzaje domów tych, którzy robili około bisioru w domu Asbeat,
22 Yoakimu, Wanaume wa Kozeba, na Yoashi na Sarafi, waliokua na mali huko Moabu, lakini walirudi Bethlehemu. ( Maelezo haya yametoka kwenye nakala za zamani.)
I Joakim i mężowie Chozeby, i Joaz i Saraf, którzy panowali w Moab, i Jasubi Lechem; ale te rzeczy są dawne.
23 Baadhi ya watu hawa walikuwa ni wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera na wakawa wafanyakazi wa Mfalme.
Cić są garncarze, którzy mieszkali w sadach i między płotami, którzy tam przy królu dla robót jego mieszkali.
24 Uzao wa Simeoni ulikua Jamini, Jaribu, Zera, na Shauli.
Synowie Symeonowi: Namuel, i Jamin, i Jaryb, Zera, Saul.
25 Shalumu alikua mwana wa Shauli, Mibisamu mwana wa Shalumu, na Mishima mwana wa Mibisamu.
Sallum syn jego, Mabsam syn jego, Misma syn jego.
26 Ukoo wa Mishima ulikua Hamueli mwana wake, Zakuri mjukuu wake, na Shimei kitukuu chake.
A synowie Mismy: Hamuel syn jego, Zachur syn jego, Semej syn jego.
27 Shimei alikua na wana kumi na sita na mabinti sita. Kaka yake hakua na watoto wengi, Hivyo koo zao hazikuongezeka kwa idadi kubwa kama wato wa Yuda walivyoongezeka.
Ten Semej miał synów szesnaście, i córek sześć; ale bracia jego nie mieli wiele synów, tak, że wszystkiej rodziny ich nie było tak wiele, jako synów Judowych.
28 Waliishi Beasheba, Molada, na Hazari Shuali.
I mieszkali w Beerseba i w Molada, i w Hasersual,
29 Pia waliishi Bilha, Ezemu, Toladi,
I w Bela, i w Asem, i w Etolad,
30 Bethueli, Horma, Zikilagi,
I w Betul, i w Horma, i w Sycelegu,
31 Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, na Shaaraimu. Hii ilikua miji yao mpaka utawala wa Daudi.
I w Bet Marchabot, i w Hasersusa, i w Betbirze, i w Saaraim. Te miasta ich były, póki królował Dawid.
32 Vijiji vyao vitano vilikua Etamu, Aini, Tocheni, na Ashani,
A wsi ich były: Etam, i Hain, Remnon, i Tochen i Asan przy tych pięciu miastach;
33 pamoja na mipaka ya vijiji kwa umbali wa Baali. Haya yalikua makazi yao, na walitunza kumbukumbu za uzao wao.
I wszystkie wsi ich, które były około tych miast aż do Baal; teć były mieszkaniem ich według narodu ich.
34 Viongozi wa ukoo walikua Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia,
A Mosobab, i Jamlech, i Josa, syn Amazyjaszowy;
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia mwana wa Asieli,
I Joel, i Jehu, syn Josabijasza, syna Serajaszowego, syna Asyjelowego;
36 Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia,
I Elichenaj, i Jakóba, i Jesochaja, i Asaja, i Adyjel, i Jesymijel, i Banajas;
37 na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaia mwana wa Shimiri mwana wa Shemaia.
I Sysa, syn Syfy, syna Allonowego, syna Jodajaszowego, syna Symry, i syna Semajaszowego.
38 Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi wa koo zao, na koo zao ziliongezeka sana.
Ci mianowani postanowieni są za książęta w narodach swych, a domy ojców ich rozmnożyły się bardzo.
39 Walienda karibu na Gedori, mashariki mwa bonde, kutafuta malisho ya mifugo yao.
Przetoż ruszyli się, aby szli do Gador, aż na wschód słońca onej doliny, aby szukali paszy bydłu swemu.
40 Walipata malisho mengi na mazuri. Nchi ilikua tambarare, tulivu na ya amani. Wahamu waliishi hapo awali.
I znaleźli obfite i wyborne pasze, a ziemię przestronną i spokojną i rodzajną; bo tam naród Chamów mieszkał przedtem.
41 Hao walio orodheshwa hapo kwa majina walikuja katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda, na wakashambulia makazi ya Wahamu na Wameuni, ambao pia walikua hapo. Waliwaangamiza kabisa na kuishi hapo sababu walipata malisho kwa ajili ya mifugo yao.
Przetoż przyszedłszy ci z imienia opisani za dni Ezechyjasza, króla Judzkiego, poburzyli namioty ich i przybytki ich, które tam były znalezione; a wymordoealiich, i nie masz ich aż do dnia tego, i osiedli miejsce ich; bo tam mieli paszy dla bydeł swoich.
42 Wanaume mia tano wa kabila la Simeoni walienda katika mlima Seiri, na viongozi wao Pelatia, Nearia, Refaia, na Uzieli, wana wa Ishi.
A z onych synów Symeonowych niektórzy szli na górę Seir, pięć set mężów, a Faltyjasz, i Necharyjasz, i Rafajasz, i Husel, synowie Isy, byli wodzami ich.
43 Waliwashinda wakimbizi wa Waamaleki waliobakia, na wakaishi hapo hadi siku hii.
I wymordowali ostatki, które były uszły z Amalekitów, a mieszkali tam aż po dziś dzień.