< 1 Nyakati 4 >

1 Uzao wa Yuda ulikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri, na Shobali.
Dagiti kaputotan ni Juda ket da Perez, Hezron, Carmi, Hur, ken Sobal.
2 Shobali alikuwa baba wa Reaya. Reaya alikuwa baba wa Yahathi. Yahathi alikuwa baba wa Ahumai na Lahadi. Hawa walikuwa mababu wa koo za Wasorathi.
Ni Sobal ti ama ni Reayas, Ni Reayas ti ama ni Jahat. Ni Jahat ti ama da Ahumai ken Lahad. Dagitoy dagiti nagtaudan dagiti puli ti Zora.
3 Hawa walikuwa mababu wa ukoo katika mji wa Etamu: Yezreeli, Ishma, na Idbashi. Babu yao alikuwa Haselelponi.
Dagitoy dagiti nagtaudan dagiti puli idiay siudad ti Etam: Ni Jezreel, Isma, ken Idbas. Ti nagan ti kabsatda a babai ket Hazzelelponi.
4 Penueli alikuwa babu wa koo katika mji wa Gedori. Ezeri alikuwa muanzilishi wa koo katika Husha. Hawa walikuwa uzao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi na muanzilishi wa Bethelehemu.
Ni Penuel ti nagtaudan dagiti puli iti siudad ti Gedor. Ni Ezer ti nagtaudan dagiti puli iti Husa. Dagitoy dagiti kaputotan ni Hur, ti inauna nga anak ni Efrata ken iti nagtaudan ti Betlehem.
5 Ashuri baba wa Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
Addaan iti dua nga assawa ni Asur nga ama ni Tekoa, isuda Hela ken ni Naara.
6 Naara alimzalia Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahashtari. Hawa walikua wana wa Naara.
Impasngay ni Naara da Ahuzzam, Heper, Temeni, ken ni Haahastari. Dagitoy dagiti annak a lallaki ni Naara.
7 Wana wa Hela walikua Serethi, Ishari, Ethnani,
Dagiti annak a lallaki ni Hela ket da Zeret, Izhar, Etnan,
8 na Kozi, alikua baba wa Anubu na Sobeba, na koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu.
ken Koz, nga ama da Anub ken Zobeba, ken dagiti puli a nagtaud kenni Aharhel a putot a lalaki ni Harum.
9 Yabesi aliheshimika zaidi ya kaka zake. Mama yake alimuita Yabesi. Alisema, “Kwasababu nimemzaa katika huzuni.”
Ni Jabez ket ad-adda a mararaem ngem kadagiti kakabsatna. Pinanaganan isuna ti inana iti Jabez. Kinunana, “Gapu ta impasngayko isuna iti kinasaem”
10 Yabesi akamuita Mungu wa Israeli na kusema, “Kama tu utanibariki mimi, ongeza mipaka yangu, na mkono wako ukuwa juu yangu. Ukifanya hivi utaninusuru na mabaya, ili kwamba niwe huru na huzuni!” Kwa hivyo Mungu akamjalia maombi yake.
Immawag ni Jabez iti Dios ti Israel ket kinunana, “No laeng koma bendisionannak ken ilawlawam ti masakupak. Ti imam koma iti adda kaniak; iyadayonak iti pakadangrak tapno saanak koma nga agsagaba iti ut-ut!” Ket impaay ti Dios kenkuana ti kararagna.
11 Kelubu kaka wa Shuha akawa baba wa Mehiri, aliyekuwa baba wa Eshtoni.
Ni Kelub a kabsat a lalaki ni Sua ti akin-putot kenni Mehir, nga ama ni Eston.
12 Eshtoni akawa baba wa Beth-Rafa, Pasea, na Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi. Hawa ni wanaume walioishi Reka.
Ni Eston ti ama da Bet Rafa, Paseas, ken Tehinna, a nangirugi iti siudad ti Nahas. Dagitoy dagiti lallaki a nagnanaed idiay Reca.
13 Wana wa Kenazi walikua Othinieli na Seraia. Wana wa Othinieli walikuwa Hathathi na Meonothai.
Dagiti putot a lallaki ni Kenaz ket da Otniel, ken Seraias. Dagiti putot a lallaki ni Otniel ket da Hatat ken Meonotai.
14 Meonothai akawa baba wa Ofara, na Seraia akawa baba wa Yohabu, mwanzilishi wa Ge Harashimu, ambao watu wake walikua wahunzi.
Ni Meonotai ti ama ni Opras, ket ni Seraias ti ama ni Joab, ti nagtaudan ti Ge Harasim, a dagiti tattaona ket kumikitikit.
15 Wana wa Kalebu mwana wa Yefune walikua Iru, Ele na Namu. Wana wa Ela alikua Kenazi.
Dagiti putot a lallaki ni Caleb a putot ni Jefonne ket da Iru, Ela, ken Naam. Ti putot a lalaki ni Ela ket ni Kenaz.
16 Wana wa Yehaleli walikua Zifi, Zifa, Tiriya, na Azareli.
Dagiti putot a lallaki ni Jehallel ket da Zif, Zifa, Tiria, ken Asarel.
17 Wana wa Ezra walikua Yetheri, Meredi, Eferi, na Yaloni.
18 Mke wake Meredi wa Kimisri alimzalia Miriamu, Shamai, na Ishibahi, aliyekua baba wa Eshitemoa. Hawa walikua wana wa Bithia, binti wa Farao, ambaye Meredi alimuoa. Mke wa Kiyahudi wa Meredi alimzalia Yeredi, ambaye alikua baba wa Gedore; Heberi, aliyekua baba wa Soko; na Yekuthieli aliyekua baba wa Zanoa.
Dagiti putot a lallaki ni Ezra ket da Jeter, Mered, Efer, ken Jalon. Ti asawa ni Mered a taga Egipto ket impasngayna da Miriam, Sammai, ken ni Isba, nga akin putot kenni Estimoa. Dagitoy dagiti annak a lallaki ni Bitias, a putot a babai ti Faraon nga inasawa ni Mered. Ti Judio nga asawa ni Mered ket impasngayna ni Jered, nga ama ni Gedor; ni Heber, nga ama da Soco; ken ni Jekutiel, nga ama ni Zanoas.
19 Kati ya watoto wawili wa mke wa Hodia, dada wa Nahamu, mmoja wao kawa baba wa Keila Mgarimite. Mwingine alikua Eshitemoa Mmakathite.
Kadagiti dua nga annak a lallaki ti asawa ni Hodias, a kabsat a babai ni Naham, ti maysa ti akin-putot kenni Keila a Garmeta. Ti maysa pay ket ni Estemoa a Maacatita.
20 Wana wa Shimoni walikua Amnoni, Rina, Beni Hanani, na Tilon. Wana wa Ishi walikua Zohethi na Beni Zoheti.
Dagiti putot a lallaki ni Simon ket da Amnon, Rinna, Ben Hanan, ken Tilon. Dagiti putot a lallaki ni Isi ket da Zohet, ken ni Ben Zohet.
21 Uzao wa Shela mwana wa Yuda, Ulikua ni Eri baba wa Leka, Laada baba wa Maresha na koo za wafanyakazi wa kushona kule Beth Ashbea,
Dagiti kaputotan ni Sela, a putot a lalaki ni Juda, ket da Er nga ama ni Leca, ni Laadan nga ama ni Maresas ken nagtaudan dagiti puli dagiti agar-aramid kadagiti lino idiay Bet Asbea,
22 Yoakimu, Wanaume wa Kozeba, na Yoashi na Sarafi, waliokua na mali huko Moabu, lakini walirudi Bethlehemu. ( Maelezo haya yametoka kwenye nakala za zamani.)
Ni Jokim, dagiti lallaki ti Cozeba, ken da Joas ken Saraf, nga addaan kadagiti sanikua idiay Moab, ngem nagsublida idiay Betlehem. (Daytoy a pakaammo ket manipud kadagiti kadaanan a nakaisuratan.)
23 Baadhi ya watu hawa walikuwa ni wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera na wakawa wafanyakazi wa Mfalme.
Dagiti dadduma kadagitoy a tattao ket isuda dagiti agdamdamili nga agnanaed idiay Netaim ken Gedera ken nagtrabahoda a para iti ari.
24 Uzao wa Simeoni ulikua Jamini, Jaribu, Zera, na Shauli.
Dagiti kaputotan ni Simeon ket da Nemuel, Jamin, Jarib, Zera, ken Saul.
25 Shalumu alikua mwana wa Shauli, Mibisamu mwana wa Shalumu, na Mishima mwana wa Mibisamu.
Ni Sallum ti putot a lalaki ni Saul, Ni Midsam ti putot a lalaki ni Sallum, ken ni Misma ti putot a lalaki ni Mibsam.
26 Ukoo wa Mishima ulikua Hamueli mwana wake, Zakuri mjukuu wake, na Shimei kitukuu chake.
Dagiti kaputotan ni Misma ket ni Hammuel a putotna a lalaki, ni Zaccur nga apokona, kenni Simei nga apokona iti tumeng.
27 Shimei alikua na wana kumi na sita na mabinti sita. Kaka yake hakua na watoto wengi, Hivyo koo zao hazikuongezeka kwa idadi kubwa kama wato wa Yuda walivyoongezeka.
Addaan iti sangapulo ket innem a putot a lallaki ni Semei ken innem a putot a babbai. Awan iti adu a putot dagiti kakabsatna a lallaki, isu a saan nga immadu iti kasta unay dagiti pulida a kas kadagiti tattao ti Juda.
28 Waliishi Beasheba, Molada, na Hazari Shuali.
Nagnaedda idiay Beerseba, Molada, ken idiay Hazar Sual.
29 Pia waliishi Bilha, Ezemu, Toladi,
Nagnaedda met idiay Bilha, Ezem, Tolad,
30 Bethueli, Horma, Zikilagi,
Betuel, Horma, Ziklag,
31 Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, na Shaaraimu. Hii ilikua miji yao mpaka utawala wa Daudi.
Bet Marcabot, Hazar Susim, Bet Biri, ken Saaraim. Dagitoy dagiti siudadda agingga iti panagturay ni David.
32 Vijiji vyao vitano vilikua Etamu, Aini, Tocheni, na Ashani,
Dagiti lima a purpurokda ket ti Etam, Ain, Rimmon, Tocen, ken Asan,
33 pamoja na mipaka ya vijiji kwa umbali wa Baali. Haya yalikua makazi yao, na walitunza kumbukumbu za uzao wao.
agraman dagiti adda iti ruar dagiti purpurok agingga iti Baal. Dagitoy dagiti nagnanaedanda, ket indulinda dagiti listaan dagiti kapuonanda.
34 Viongozi wa ukoo walikua Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia,
Dagiti mangidadaulo ti pulida ket da Mesobab, Jamlec, ni Josas a putot a lalaki ni Amazias,
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia mwana wa Asieli,
ni Joel, ni Jehu a putot a lalaki ni Josibias a putot a lalaki ni Seraias a putot a lalaki ni Asiel,
36 Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia,
ni Elioenai, Jaakobas, Jeshohaias, Asaias, Adiel, Jesimiel, Benaias,
37 na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaia mwana wa Shimiri mwana wa Shemaia.
ken ni Zisa a putot a lalaki ni Sifi a putot a lalaki ni Allon a putot a lalaki ni Jedaias a putot a lalaki ni Simri a putot a lalaki ni Semaias.
38 Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi wa koo zao, na koo zao ziliongezeka sana.
Dagitoy a nadakamat a nagnagan ket isuda dagiti mangidadaulo kadagiti pulida, ket immadu iti kasta unay dagiti pulida.
39 Walienda karibu na Gedori, mashariki mwa bonde, kutafuta malisho ya mifugo yao.
Nagturongda iti asideg ti Gedor, iti daya a paset ti tanap, tapno agsapulda iti pagpaarabanda kadagiti arbanda.
40 Walipata malisho mengi na mazuri. Nchi ilikua tambarare, tulivu na ya amani. Wahamu waliishi hapo awali.
Nakasarakda iti nawadwad ken nasayaat a pagpaaraban. Nalawa, naulimek, ken natalna ti daga. Dagiti Hamita ti immun-una a nagnaed sadiay.
41 Hao walio orodheshwa hapo kwa majina walikuja katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda, na wakashambulia makazi ya Wahamu na Wameuni, ambao pia walikua hapo. Waliwaangamiza kabisa na kuishi hapo sababu walipata malisho kwa ajili ya mifugo yao.
Dagitoy a nailista iti naganda ket immay kadagiti al-aldaw ni Hezekias nga ari ti Juda, ket rinautda ti pagnanaedan dagiti Hamita ken dagiti Meunita, nga adda met sadiay. Dinadaelda ida a naan-anay ket nagnaedda sadiay gapu ta nakasarakda ti pagpaaraban kadagiti arbanda.
42 Wanaume mia tano wa kabila la Simeoni walienda katika mlima Seiri, na viongozi wao Pelatia, Nearia, Refaia, na Uzieli, wana wa Ishi.
Napan iti Bantay Seir dagiti limagasut a lallaki manipud iti tribu ni Simeon a kadduada dagiti panguloda, a da Pelatias, Nearias, Refaias, ken Uzzel, dagiti putot a lallaki ni Isi.
43 Waliwashinda wakimbizi wa Waamaleki waliobakia, na wakaishi hapo hadi siku hii.
Pinarmekda dagiti nabatbati pay a nakalibas nga Amalekita, ket agnaedda sadiay agingga iti daytoy nga aldaw.

< 1 Nyakati 4 >