< 1 Nyakati 4 >
1 Uzao wa Yuda ulikuwa Peresi, Hesroni, Karmi, Huri, na Shobali.
son: descendant/people Judah Perez Hezron and Carmi and Hur and Shobal
2 Shobali alikuwa baba wa Reaya. Reaya alikuwa baba wa Yahathi. Yahathi alikuwa baba wa Ahumai na Lahadi. Hawa walikuwa mababu wa koo za Wasorathi.
and Reaiah son: child Shobal to beget [obj] Jahath and Jahath to beget [obj] Ahumai and [obj] Lahad these family [the] Zorathite
3 Hawa walikuwa mababu wa ukoo katika mji wa Etamu: Yezreeli, Ishma, na Idbashi. Babu yao alikuwa Haselelponi.
and these father Etam Jezreel and Ishma and Idbash and name sister their Hazzelelponi
4 Penueli alikuwa babu wa koo katika mji wa Gedori. Ezeri alikuwa muanzilishi wa koo katika Husha. Hawa walikuwa uzao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi na muanzilishi wa Bethelehemu.
and Penuel father Gedor and Ezer father Hushah these son: child Hur firstborn Ephrathah father Bethlehem Bethlehem
5 Ashuri baba wa Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
and to/for Ashhur father Tekoa to be two woman: wife Helah and Naarah
6 Naara alimzalia Ahuzamu, Heferi, Temeni na Ahashtari. Hawa walikua wana wa Naara.
and to beget to/for him Naarah [obj] Ahuzzam and [obj] Hepher and [obj] Temeni and [obj] Haahashtari these son: child Naarah
7 Wana wa Hela walikua Serethi, Ishari, Ethnani,
and son: child Helah Zereth (and Zohar *Q(K)*) and Ethnan
8 na Kozi, alikua baba wa Anubu na Sobeba, na koo zilizotoka kwa Aharheli mwana wa Harumu.
and Koz to beget [obj] Anub and [obj] [the] Zobebah and family Aharhel son: child Harum
9 Yabesi aliheshimika zaidi ya kaka zake. Mama yake alimuita Yabesi. Alisema, “Kwasababu nimemzaa katika huzuni.”
and to be Jabez to honor: honour from brother: male-sibling his and mother his to call: call by name his Jabez to/for to say for to beget in/on/with pain
10 Yabesi akamuita Mungu wa Israeli na kusema, “Kama tu utanibariki mimi, ongeza mipaka yangu, na mkono wako ukuwa juu yangu. Ukifanya hivi utaninusuru na mabaya, ili kwamba niwe huru na huzuni!” Kwa hivyo Mungu akamjalia maombi yake.
and to call: call to Jabez to/for God Israel to/for to say if: surely yes to bless to bless me and to multiply [obj] border: boundary my and to be hand: power your with me and to make: do from distress: harm to/for lest to hurt me and to come (in): fulfill God [obj] which to ask
11 Kelubu kaka wa Shuha akawa baba wa Mehiri, aliyekuwa baba wa Eshtoni.
and Chelub brother: male-sibling Shuhah to beget [obj] Mehir he/she/it father Eshton
12 Eshtoni akawa baba wa Beth-Rafa, Pasea, na Tehina, ambaye alianzisha mji wa Nahashi. Hawa ni wanaume walioishi Reka.
and Eshton to beget [obj] Beth-rapha Beth-rapha and [obj] Paseah and [obj] Tehinnah father Ir- (Ir)-nahash these human Recah
13 Wana wa Kenazi walikua Othinieli na Seraia. Wana wa Othinieli walikuwa Hathathi na Meonothai.
and son: child Kenaz Othniel and Seraiah and son: child Othniel Hathath (and Meonothai *X*)
14 Meonothai akawa baba wa Ofara, na Seraia akawa baba wa Yohabu, mwanzilishi wa Ge Harashimu, ambao watu wake walikua wahunzi.
and Meonothai to beget [obj] Ophrah and Seraiah to beget [obj] Joab father Ge (Ge)-harashim for artificer to be
15 Wana wa Kalebu mwana wa Yefune walikua Iru, Ele na Namu. Wana wa Ela alikua Kenazi.
and son: child Caleb son: child Jephunneh Iru Elah and Naam and son: child Elah and Kenaz
16 Wana wa Yehaleli walikua Zifi, Zifa, Tiriya, na Azareli.
and son: child Jehallelel Ziph and Ziphah Tiria and Asarel
17 Wana wa Ezra walikua Yetheri, Meredi, Eferi, na Yaloni.
and son: child Ezrah Jether and Mered and Epher and Jalon and to conceive [obj] Miriam and [obj] Shammai and [obj] Ishbah father Eshtemoa
18 Mke wake Meredi wa Kimisri alimzalia Miriamu, Shamai, na Ishibahi, aliyekua baba wa Eshitemoa. Hawa walikua wana wa Bithia, binti wa Farao, ambaye Meredi alimuoa. Mke wa Kiyahudi wa Meredi alimzalia Yeredi, ambaye alikua baba wa Gedore; Heberi, aliyekua baba wa Soko; na Yekuthieli aliyekua baba wa Zanoa.
and woman: wife his [the] Judahite wife to beget [obj] Jered father Gedor and [obj] Heber father Soco and [obj] Jekuthiel father Zanoah and these son: child Bithiah daughter Pharaoh which to take: marry Mered
19 Kati ya watoto wawili wa mke wa Hodia, dada wa Nahamu, mmoja wao kawa baba wa Keila Mgarimite. Mwingine alikua Eshitemoa Mmakathite.
and son: child woman: wife Hodiah sister Naham father Keilah [the] Garmite and Eshtemoa [the] Maacathite
20 Wana wa Shimoni walikua Amnoni, Rina, Beni Hanani, na Tilon. Wana wa Ishi walikua Zohethi na Beni Zoheti.
and son: child Shimon Amnon and Rinnah Ben-hanan Ben-hanan (and Tilon *Q(K)*) and son: descendant/people Ishi Zoheth and Ben-zoheth Ben-zoheth
21 Uzao wa Shela mwana wa Yuda, Ulikua ni Eri baba wa Leka, Laada baba wa Maresha na koo za wafanyakazi wa kushona kule Beth Ashbea,
son: child Shelah son: child Judah Er father Lecah and Laadah father Mareshah and family Beth-(ashbea) service: work [the] fine linen to/for Beth-(ashbea) (Beth)-ashbea
22 Yoakimu, Wanaume wa Kozeba, na Yoashi na Sarafi, waliokua na mali huko Moabu, lakini walirudi Bethlehemu. ( Maelezo haya yametoka kwenye nakala za zamani.)
and Jokim and human Cozeba and Joash and Saraph which rule: to rule to/for Moab and Lehem Lehem and [the] word: deed ancient/taken
23 Baadhi ya watu hawa walikuwa ni wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera na wakawa wafanyakazi wa Mfalme.
they(masc.) [the] to form: potter and to dwell Netaim and Gederah with [the] king in/on/with work his to dwell there
24 Uzao wa Simeoni ulikua Jamini, Jaribu, Zera, na Shauli.
son: child Simeon Nemuel and Jamin Jarib Zerah Shaul
25 Shalumu alikua mwana wa Shauli, Mibisamu mwana wa Shalumu, na Mishima mwana wa Mibisamu.
Shallum son: child his Mibsam son: child his Mishma son: child his
26 Ukoo wa Mishima ulikua Hamueli mwana wake, Zakuri mjukuu wake, na Shimei kitukuu chake.
and son: descendant/people Mishma Hammuel son: descendant/people his Zaccur son: descendant/people his Shimei son: descendant/people his
27 Shimei alikua na wana kumi na sita na mabinti sita. Kaka yake hakua na watoto wengi, Hivyo koo zao hazikuongezeka kwa idadi kubwa kama wato wa Yuda walivyoongezeka.
and to/for Shimei son: child six ten and daughter six and to/for brother: male-sibling his nothing son: child many and all family their not to multiply till son: descendant/people Judah
28 Waliishi Beasheba, Molada, na Hazari Shuali.
and to dwell in/on/with Beersheba Beersheba and Moladah and Hazar-shual Hazar-shual
29 Pia waliishi Bilha, Ezemu, Toladi,
and in/on/with Bilhah and in/on/with Ezem and in/on/with Tolad
30 Bethueli, Horma, Zikilagi,
and in/on/with Bethuel and in/on/with Hormah and in/on/with Ziklag
31 Bethi Markabothi, Hazari Susimi, Bethi Biri, na Shaaraimu. Hii ilikua miji yao mpaka utawala wa Daudi.
and in/on/with Beth-marcaboth Beth-marcaboth and in/on/with Hazar-susim Hazar-susim and in/on/with Beth-biri Beth-biri and in/on/with Shaaraim these city their till to reign David
32 Vijiji vyao vitano vilikua Etamu, Aini, Tocheni, na Ashani,
and court their Etam and Ain Rimmon and Tochen and Ashan city five
33 pamoja na mipaka ya vijiji kwa umbali wa Baali. Haya yalikua makazi yao, na walitunza kumbukumbu za uzao wao.
and all court their which around [the] city [the] these till Baal this seat their and to enroll they to/for them
34 Viongozi wa ukoo walikua Meshobabu, Yamileki, Yoshahi mwana wa Amazia,
and Meshobab and Jamlech and Joshah son: child Amaziah
35 Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia mwana wa Seraia mwana wa Asieli,
and Joel and Jehu son: child Joshibiah son: child Seraiah son: child Asiel
36 Elioenai, Yaakoba, Yeshohaia, Asaia, Adieli, Yesimieli, Benaia,
and Elioenai and Jaakobah and Jeshohaiah and Asaiah and Adiel and Jesimiel and Benaiah
37 na Ziza mwana wa Shifi mwana wa Aloni mwana wa Yedaia mwana wa Shimiri mwana wa Shemaia.
and Ziza son: child Shiphi son: child Allon son: child Jedaiah son: child Shimri son: child Shemaiah
38 Hawa walio orodheshwa kwa majina walikua viongozi wa koo zao, na koo zao ziliongezeka sana.
these [the] to come (in): come in/on/with name leader in/on/with family their and house: household father their to break through to/for abundance
39 Walienda karibu na Gedori, mashariki mwa bonde, kutafuta malisho ya mifugo yao.
and to go: went to/for entrance Gedor till to/for east [the] valley to/for to seek pasture to/for flock their
40 Walipata malisho mengi na mazuri. Nchi ilikua tambarare, tulivu na ya amani. Wahamu waliishi hapo awali.
and to find pasture rich and pleasant and [the] land: country/planet broad: wide hand: to and to quiet and at ease for from Ham [the] to dwell there to/for face: before
41 Hao walio orodheshwa hapo kwa majina walikuja katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda, na wakashambulia makazi ya Wahamu na Wameuni, ambao pia walikua hapo. Waliwaangamiza kabisa na kuishi hapo sababu walipata malisho kwa ajili ya mifugo yao.
and to come (in): come these [the] to write in/on/with name in/on/with day Hezekiah king Judah and to smite [obj] tent their and [obj] ([the] Meunite *Q(K)*) which to find there [to] and to devote/destroy them till [the] day: today [the] this and to dwell underneath: stand them for pasture to/for flock their there
42 Wanaume mia tano wa kabila la Simeoni walienda katika mlima Seiri, na viongozi wao Pelatia, Nearia, Refaia, na Uzieli, wana wa Ishi.
and from them from son: descendant/people Simeon to go: went to/for mountain: mount (Mount) Seir human five hundred and Pelatiah and Neariah and Rephaiah and Uzziel son: child Ishi in/on/with head: leader their
43 Waliwashinda wakimbizi wa Waamaleki waliobakia, na wakaishi hapo hadi siku hii.
and to smite [obj] remnant [the] survivor to/for Amalek and to dwell there till [the] day: today [the] this