< 1 Nyakati 3 >
1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
Estos son los hijos de David, que le nacieron en Hebrón: Amnón el primogénito, de Ahinoam jezreelita; el segundo Daniel, de Abigail de Carmelo;
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
el tercero, Absalón, hijo de Maaca hija de Talmai rey de Gesur; el cuarto, Adonías hijo de Haguit;
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
el quinto, Sefatías, de Abital; el sexto, Itream, de Egla su mujer.
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
Estos seis le nacieron en Hebrón, donde reinó siete años y seis meses; y en Jerusalén reinó treinta y tres años.
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
Estos cuatro le nacieron en Jerusalén: Simea, Sobab, Natán, y Salomón, de Bet-súa hija de Amiel.
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
Y otros nueve: Ibhar, Elisama, y Elifelet,
8 Elishama, na Elifeleti.
Elisama, Eliada, y Elifelet.
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
Todos estos fueron los hijos de David, sin los hijos de las concubinas. Y Tamar fue hermana de ellos.
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Hijo de Salomón fue Roboam, cuyo hijo fue Abías, cuyo hijo fue Asa, cuyo hijo fue Josafat;
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
cuyo hijo fue Joram, cuyo hijo fue Ocozías, cuyo hijo fue Joás;
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
cuyo hijo fue Amasías, cuyo hijo fue Azarías, cuyo hijo fue Jotam;
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
cuyo hijo fue Acaz, cuyo hijo fue Ezequías, cuyo hijo fue Manasés;
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
cuyo hijo fue Amón, cuyo hijo fue Josías.
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
Y los hijos de Josías: Johanán su primogénito, el segundo Joacim, el tercero Sedequías, el cuarto Salum.
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
Los hijos de Joacim: Jeconías su hijo, cuyo hijo fue Sedequías.
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
Y los hijos de Jeconías: Asir, cuyo hijo fue Salatiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
Malquiram, Pedaías, Senazar, y Jecamías, Hosama, y Nedabías.
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
Y los hijos de Pedaías: Zorobabel, y Simei. Y los hijos de Zorobabel: Mesulam, Hananías, y Selomit su hermana.
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
Y de Mesulam: Hasuba, Ohel, y Berequías, Hasadías, y Jusab-hesed; cinco en todos.
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
Los hijos de Hananías: Pelatías, y Jesaías, hijo de Refaías, hijo de Arnán, hijo de Abdías, hijo de Secanías.
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
Hijo de Secanías fue Semaías; y los hijos de Semaías fueron Hatús, Igal, Barías, Nearías, y Safat; seis.
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
Los hijos de Nearías fueron estos tres: Elioenai, Ezequías, y Azricam.
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
Los hijos de Elioenai fueron estos siete: Hodavías, Eliasib, Pelaías, Acub, Johanán, Dalaías, y Anani.