< 1 Nyakati 3 >
1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
Estos son los hijos de David, que le nacieron en Hebrón: Ammón el primogénito, de Acinoam de Jezrael. El segundo, Daniel, de Abigail del Carmelo.
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
El tercero, Absalom, hijo de Maaca hija de Tolmai rey de Gessur: el cuatro, Adonías, hijo de Aggit:
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
El quinto, Safatias, de Abital: el sexto, Jetraham, de Egla su mujer.
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
Estos seis le nacieron en Hebrón, donde reinó siete años y seis meses: y en Jerusalem reinó treinta y tres años.
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
Estos cuatro le nacieron en Jerusalem: Simmaa, Sobab, Natán, y Salomón de Bet-sua, hija de Ammiel.
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
Y otros nueve; Jebaar, Elisama,
Elifalet, Nogé, Nefeg, Jafía,
8 Elishama, na Elifeleti.
Elisama, Eliada, y Elifalet.
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
Todos estos fueron los hijos de David, sin los hijos de las concubinas. Y Tamar fue hermana de ellos.
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Hijo de Salomón fue Roboam, cuyo hijo fue Abiá, cuyo hijo fue Asa, cuyo hijo fue Josafat,
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
Cuyo hijo fue Joram, cuyo hijo fue Ocozías, cuyo hijo fue Joas,
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
Cuyo hijo fue Amasías, cuyo hijo fue Azarías, cuyo hijo fue Joatam,
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
Cuyo hijo fue Acaz, cuyo hijo fue Ezequías, cuyo hijo fue Manasés,
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
Cuyo hijo fue Amón, cuyo hijo fue Josías.
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
Y los hijos de Josías fueron Johanán su primogénito, el segundo Joacim, el tercero Sedecías, el cuarto Sellum.
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
Los hijos de Joacim fueron Jeconías su hijo, cuyo hijo fue Sedecías.
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
Y los hijos de Jeconías fueron Asir, cuyo hijo fue Salatiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
Melquiram, Padaia, Senneser, y Jecemia, Hosama, y Nadabia.
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
Y los hijos de Padaia fueron Zorobabel, y Semeí. Y los hijos de Zorobabel fueron Mosollam, Jananías, y Salomit su hermana;
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
Y Hasaba, Ohol, Baraquías, Hasadias, y Josabhesed, todos cinco.
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
Los hijos de Jananías fueron Paltias, y Jesaías, hijo de Rafaias, hijo de Arnán, hijo de Abdías, hijo de Sequenías.
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
Hijo de Sequenías fue Semeías. Y los hijos de Semeías fueron Harus, Jegaal, Barias, Naarias, Safat, seis.
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
Los hijos de Naarias fueron estos tres, Elioenai, Ezequías, y Ezricam.
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
Los hijos de Elioenai fueron estos siete, Oduias, Eliasub, Pelaías, Accub, Johanán, Dalaias, Anani.