< 1 Nyakati 3 >

1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
ואלה היו בני דויד אשר נולד לו בחברון הבכור אמנן לאחינעם היזרעאלית שני דניאל לאביגיל הכרמלית׃
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
השלשי לאבשלום בן מעכה בת תלמי מלך גשור הרביעי אדניה בן חגית׃
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
החמישי שפטיה לאביטל הששי יתרעם לעגלה אשתו׃
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
ששה נולד לו בחברון וימלך שם שבע שנים וששה חדשים ושלשים ושלוש שנה מלך בירושלם׃
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
ואלה נולדו לו בירושלים שמעא ושובב ונתן ושלמה ארבעה לבת שוע בת עמיאל׃
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
ויבחר ואלישמע ואליפלט׃
7 Noga, Nefegi, Yafia,
ונגה ונפג ויפיע׃
8 Elishama, na Elifeleti.
ואלישמע ואלידע ואליפלט תשעה׃
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
כל בני דויד מלבד בני פילגשים ותמר אחותם׃
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
ובן שלמה רחבעם אביה בנו אסא בנו יהושפט בנו׃
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
יורם בנו אחזיהו בנו יואש בנו׃
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
אמציהו בנו עזריה בנו יותם בנו׃
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
אחז בנו חזקיהו בנו מנשה בנו׃
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
אמון בנו יאשיהו בנו׃
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
ובני יאשיהו הבכור יוחנן השני יהויקים השלשי צדקיהו הרביעי שלום׃
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
ובני יהויקים יכניה בנו צדקיה בנו׃
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
ובני יכניה אסר שאלתיאל בנו׃
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
ומלכירם ופדיה ושנאצר יקמיה הושמע ונדביה׃
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
ובני פדיה זרבבל ושמעי ובן זרבבל משלם וחנניה ושלמית אחותם׃
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
וחשבה ואהל וברכיה וחסדיה יושב חסד חמש׃
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
ובן חנניה פלטיה וישעיה בני רפיה בני ארנן בני עבדיה בני שכניה׃
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
ובני שכניה שמעיה ובני שמעיה חטוש ויגאל ובריח ונעריה ושפט ששה׃
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
ובן נעריה אליועיני וחזקיה ועזריקם שלשה׃
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
ובני אליועיני הודיוהו ואלישיב ופליה ועקוב ויוחנן ודליה וענני שבעה׃

< 1 Nyakati 3 >