< 1 Nyakati 3 >

1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
Voici les fils de David qui lui naquirent à Hébron; le premier-né fut: Amnon, fils de la Jezraélite Achinaam; le second, Damniel (Daluia), fils d'Abigaïl du Carmel;
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
Le troisième, Absalon, fils de Moha (Maacha), fille de Tholmé, roi de Gedsur; le quatrième, Adonias (Ornia), fils d'Aggith;
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
Le cinquième, Saphatia, fils d'Abital; le sixième, Jethram, fils de sa femme Agla.
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
Il en eut six à Hébron, et il y régna sept ans et demi; après quoi, il régna trente-trois ans à Jérusalem.
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
Voici ceux qui lui naquirent en Jérusalem: Samaa, Sobab, Nathan et Salomon. Quatre fils de Bethsabée, fille d'Amiel.
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
Puis, Ebaar, Elisa, Eliphaleth,
7 Noga, Nefegi, Yafia,
Nagé, Naphec, Japhie,
8 Elishama, na Elifeleti.
Elisama, Eliada et Eliphala; en tout: neuf.
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
Tous fils de David, outre les fils de ses concubines, et Thamar, leur sœur.
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Fils de Salomon: Roboam, Abias son fils, Asa son fils, Josaphat son fils,
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
Joram son fils, Ochozias son fils, Joas son. fils,
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
Amasias son fils, Azarias son fils, Joathan son fils,
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
Achaz son fils, Ezéchias son fils, Manassé son fils,
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
Amon son fils, Josias son fils.
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
Fils de Josias: Joanan le premier-né, Joacin le second, Sédécias le troisième, et Salum le quatrième.
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
Fils de Joacin: Jéchonias son fils, Sédécias son fils.
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
Fils de Jéchonias: Asir, Salathiel son fils,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
Melchiram, Phadaïas, Fanesar, Jécimie, Hosamath et Nabadias.
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
Fils de Phadaïas: Zorobabel et Sémeï. Fils de Zorobabel: Mosollam et Ananias; Salometh fut leur sœur.
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
Il eut encore: Asubé, Ool, Barachie, Asadie et Asobed; cinq fils.
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
Fils d'Ananias: Phalettie, Jésias son fils, Raphal son fils, Orna son fils, Abdias son fils, et Séchénias son fils.
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
Fils de Sechénias: Samaïe. Fils de Samaie: Battus, Johel, Berri, Noadie et Saphat; six issus de Sechénias.
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
Fils de Noadie: Elithenan, Ezécie, Ezricam; trois.
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
Fils d'Elithenan: Odolie, Eliasebon, Phadaïe, Acub, Joanan, Dalaaïe et Anan; sept.

< 1 Nyakati 3 >