< 1 Nyakati 3 >

1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
Et ce sont ici les fils de David qui lui naquirent à Hébron: le premier-né, Amnon, d’Akhinoam, la Jizreélite; le second, Daniel, d’Abigaïl, la Carmélite;
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
le troisième, Absalom, fils de Maaca, fille de Talmaï, roi de Gueshur; le quatrième, Adonija, fils de Hagguith;
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
le cinquième, Shephatia, d’Abital; le sixième, Jithream, d’Égla, sa femme:
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
les six lui naquirent à Hébron. Et il régna là sept ans et six mois, et il régna 33 ans à Jérusalem.
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
– Et ceux-ci lui naquirent à Jérusalem: Shimha, et Shobab, et Nathan, et Salomon, quatre de Bath-Shua, fille d’Ammiel;
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
et Jibkhar, et Élishama, et Éliphéleth,
7 Noga, Nefegi, Yafia,
et Nogah, et Népheg, et Japhia,
8 Elishama, na Elifeleti.
et Élishama, et Éliada, et Éliphéleth, neuf:
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
tous étaient fils de David, outre les fils des concubines, – et Tamar, leur sœur.
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Et le fils de Salomon: Roboam; – Abija, son fils; Asa, son fils; Josaphat, son fils;
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
Joram, son fils; Achazia, son fils; Joas, son fils;
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
Amatsia, son fils; Azaria, son fils; Jotham, son fils;
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
Achaz, son fils; Ézéchias, son fils; Manassé, son fils;
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
Amon, son fils; Josias, son fils.
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
Et les fils de Josias: le premier-né, Jokhanan; le second, Jehoïakim; le troisième, Sédécias; le quatrième, Shallum.
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
– Et les fils de Jehoïakim: Jéconias, son fils; Sédécias, son fils.
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
– Et les fils de Jéconias: Assir; Shealthiel, son fils;
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
et Malkiram, et Pedaïa, et Shenatsar, Jekamia, Hoshama, et Nedabia.
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
– Et les fils de Pedaïa: Zorobabel et Shimhi. Et les fils de Zorobabel: Meshullam et Hanania, et Shelomith, leur sœur;
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
et Hashuba, et Ohel, et Bérékia, et Hasadia, [et] Jushab-Hésed, cinq.
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
– Et les fils de Hanania: Pelatia et Ésaïe; les fils de Rephaïa, les fils d’Arnan, les fils d’Abdias, les fils de Shecania.
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
Et les fils de Shecania: Shemahia; et les fils de Shemahia: Hattush, et Jighal, et Bariakh, et Nearia, et Shaphath, six.
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
– Et les fils de Nearia: Élioénaï, et Ézéchias, et Azrikam, trois.
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
– Et les fils d’Élioénaï: Hodavia, et Éliashib, et Pelaïa, et Akkub, et Jokhanan, et Delaïa, et Anani, sept.

< 1 Nyakati 3 >